Gray Mgonja, mwenye kuonja vinavyoonjwa!

Hivi inakuwaje hakuna anayetaka kumshitaki mwenziwe??;
1. List of Shame vs Dr. Slaa
2. Dr. Slaa vs Mtikila n.k.

Huko mahakamani haki haitendeki au wahusika wanaogopa kitu gani?

Ni hivi mkuu, hawa watu wanaujua kwa uzuri msemo huu "we are standing on slippery ground, don't push me!"
 
makala ya leo tanzania daima

Kwa hili, sitakuacha Mgonja
Kulwa Karedia



Mungu ibariki Tanzania.
 
Shutuma dhidi ya Mgonja ni za Kweli.Sio siri kwamba kwa njia moja au nyingine amewatumbukiza watanzania kwenye dimbwi la umaskini.Sasa ata achwa je huru?Kama angetaka kuwa salama asinge wadokolea watanzania.Kauli yake haikubaliki.
 
Only In Tanzania Kiongozi Jambazi kama Gray Mgonja anaweza kuongea maneno ya kipumbavu kama hayo na hakuna implications zozote dhidi yake, kusema ukweli we are doomed.
 
Na yeye "atuachie hazina yetu" akatumbue mapesa yake US huko...
 
Tunahitaji mfumo wa uongozi nchini ambao umma utakuwa na uwezo wa kuwawajibisha hata wateule wa rais
 
Only In Tanzania Kiongozi Jambazi kama Gray Mgonja anaweza kuongea maneno ya kipumbavu kama hayo na hakuna implications zozote dhidi yake, kusema ukweli we are doomed.

Geeque,
Good to see you again. Usiwe una lost muda mrefu hivyo.
 
Geeque,
Good to see you again. Usiwe una lost muda mrefu hivyo.
Nipo nipo Mazee Jasusi ila nilikuwa busy kidogo na mihangaiko ya hapa na pale lakini bado tupo tupo sana hapa kuendeleza mapambano, good to see u too my brotha.
 
 
..nadhani kwa suala la Gray Mgonja wananchi tutapiga kelele mpaka makoo yapasuke.

..ubadhirifu anaohusishwa nao unaihusu CCM na kampeni za kumchagua RAISI wetu wa sasa hivi.

..Gray Mgonja angekuwa ameiba bila kuwashirikisha CCM, na kuwagawia mtandao, basi angeingia kwenye matatizo kama yale yaliyomkuta Balozi.Costa Mahalu.
 
Mgonja: Niacheni na ufisadi wangu
.....
Najaribu kuikumbuka hii kauli...

Mgonja alitoa kauli hiyo mwishoni mwa wiki, alipotakiwa kueleza hatima ya azima yake ya kutaka kufungua kesi dhidi ya Katibu Mkuu wa CHADEMA, Dk. Willibrod Slaa na wenzake.
Hii kesi sijui anaifungua lini...
Nice to read these stuffs at this moment!

Uadilifu wangu...

Maneno hayo...!

“Nitafungua kesi mapema iwezekanavyo na si lazima mjue kampuni itakayosimamia kesi yangu na wala siwezi kutaja kiasi cha fidia nitakachodai, nitasema mahakamani fidia nitakayodai,” alisema Mgonja.
Mkwara mkali... Na soon atafungua kesi dhidi ya serikali...

Wengine waliotajwa katika kashfa hiyo na kuahidi kufungua kesi ni pamoja na aliyekuwa Waziri wa Nishati na Madini, Nazir Karamagi na Patric Rutabanzibwa.
Hawa bado tu...

Wengine waliotajwa katika kashfa hiyo lakini hawakusema kama wangekwenda mahakamani ni Rais Jakaya Kikwete, Rais mstaafu wa Awamu ya Tatu, Benjamin Mkapa.
Am speechless...

List hiyo hapo juu inanikumbusha mengi... Kumbe mmoja hatunaye! Lakini wengine taratibu tunaweza kuwafikia...!

Just recalling 🙂
 
Only In Tanzania Kiongozi Jambazi kama Gray Mgonja anaweza kuongea maneno ya kipumbavu kama hayo na hakuna implications zozote dhidi yake, kusema ukweli we are doomed.
Hapana, serikali yetu haijalala...
 
Wakuu,

Mbona siyo mimi niliyepost hii thread? Sijui mods na tecnician mnaseamaje hapa.Kuna mtu katumia jina langu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…