Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Naungana na wewe mkuu! Tumuweke nafasi ya nani hapo? Nipe hoja mzeeUnamuachaje okocha mzee? [emoji849]
Alicheza Afcon mara moja tu na sizani kama alikuwa na impact kubwa sanaPiter TINO yuko wapi hapo
Kwa mfumo huo jinsi ulivyo.. hapo kwenye mido ya chini(6) kuna wachezaji wawili wanagombea hapo ni toure yaya na essien, kwangu mimi toure yaya ni zaidi, hivyo hapo toa essien shusha chini toure yaya, mtie okocha atambe hapo juu, afanye kazi zake za msingi.Naungana na wewe mkuu! Tumuweke nafasi ya nani hapo? Nipe hoja mzee
Nakubali mkuu🙌🏻Kwa mfumo huo jinsi ulivyo.. hapo kwenye mido ya chini(6) kuna wachezaji wawili wanagombea hapo ni toure yaya na essien, kwangu mimi toure yaya ni zaidi, hivyo hapo toa essien shusha chini toure yaya, mtie okocha atambe hapo juu, afanye kazi zake za msingi.
Kweli anahitaji nafasiNwako Nkanu
Mjadala ni mzitoRigobert SongView attachment 2071093
Mwamba alikuwa anajua kweliWapi fadiga
L songMtandao wa GiveMeSport wametoa kikosi bora cha wachezaji ambao wamewahi kucheza Afcon mbalimbali. Je unaungana nao au unapingana nao? Kama unapingana nao, tuambie ni mchezaji gani amekosekana kikosini?
View attachment 2070654
Kalidou Fadiga, dah mkuu umenikumbusha mbali sanaWapi fadiga