Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Green card lottery ni Umanamba mamboleo

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Wakoloni walitusafirisha kwa majahazi kama watumwa kwenda kwao kuwafanyia kazi bure (manamba) kwenye mashamba, viwanda na majumbani kwao, history mbaya sana hii kukumbukwa, maana sio tu kwenda kuwafanyia kazi wazungu bure lakini wengi wao walikufa njiani wakati wakisafirishwa kwa kutoswa majini, msongamano mkubwa, njaa na ugonjwa njiani.

LEO hii miaka 60 baada ya uhuru sababu zilezile za kusafirisha manamba kwenda Marekani, Ulaya na uarabuni ndio sababu hizihizi za watu kwenda huko kwa Green card lottery, Jamani hali hii ni mpaka lini? what are you looking for? Kilichobadilika tu leo ni kitu kimoja tu kutoka manamba walionunuliwa kwenye masoko ya watumwa hadi kwenda kwa green card na baadhi ya sifa za watu wanaohitajika kusafirishwa na aina ya usafiri. Wakati ule walihitaji watu vijana wenye nguvu za kufanya kazi za wakati ule na sasa hivi kwa kutumia green card wanahitaji watu vijana wenye afya wenye elimu na ujuzi maalum kwaajili ya kufanya kazi za wakati huu.

Hii ni kujitafutia balaa wewe mwenyewe na familia yako kwa matumaini feki kabisa huku ukijua kuwa utakwenda kule kufanyakazi kubwa na nyingi sana ili upate chochote kitu wakati nguvu, juhudi na akili hizo ungeweza hata kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu pamoja na kutoa mchango kwenye ujenzi wa taifa lako kwa njia za kodi, tozo na huduma kwa jamii yako.

Jaamaani, Si shauri uombe hiyo kitu, nyambafu!!!!
 
Kwani umelazimishwa? Hutaki acha! Sio lazima! Baki nyumbani kwenu huko tulia! Dunia haina mipaka ya kusema kwamba ni lazima uishi tu sehemu moja kama mti..kila mtu na mtazamo wake...wewe kama unaona Green card lottery ni ujinga ni kwako tu na mtazamo wako.. Usipangie watu maisha na makazi ya kuishi...Mungu alipotuumba alisema "Enendeni ulimwenguni kote mkaijaze Dunia" hakusema tubaki sehemu moja kama Mti, jiwe au jabali.
Hutaki green card Achaaaaaa!!!!! Hulazimishwi!!!! Kila mtu aishi anapo penda
Over!
 
Kwani umelazimishwa? Hutaki acha! Sio lazima! Baki nyumbani kwenu huko tulia! Dunia haina mipaka ya kusema kwamba ni lazima uishi tu sehemu moja kama mti..kila mtu na mtazamo wake...wewe kama unaona Green card lottery ni ujinga ni kwako tu na mtazamo wako.. Usipangie watu maisha na makazi ya kuishi...Mungu alipotuumba alisema "Enendeni ulimwenguni kote mkaijaze Dunia" hakusema tubaki sehemu moja kama Mti, jiwe au jabali.
Hutaki green card Achaaaaaa!!!!! Hulazimishwi!!!! Kila mtu aishi anapo penda
Over!
wengi hawana taarifa muhimu juu ya wanakotaka kwenda, shame on you.
 
Wakoloni walitusafirisha kwa majahazi kama watumwa kwenda kwao kuwafanyia kazi bure (manamba) kwenye mashamba, viwanda na majumbani kwao, history mbaya sana hii kukumbukwa, maana sio tu kwenda kuwafanyia kazi wazungu bure lakini wengi wao walikufa njiani wakati wakisafirishwa kwa kutoswa majini, msongamano mkubwa, njaa na ugonjwa njiani.

LEO hii sababu zilezile na manamba ndio hizihizi sa Green card lottery, Jamani hali hii ni mpaka lini? what are you looking for?

Hii ni kujitafutia balaa wewe mwenyewe na familia yako kwa matumaini feki kabisa huku ukijua kuwa utakwenda kule kufanyakazi kubwa na nyingi sana ili upate chochote kitu wakti nguvu, juhudi na akili hizo ungeweza kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu.

Si shauri uombe hiyo nyambafu
Wewe usiombe ili ubaki bongo upige pesa mingi.
 
Wakoloni walitusafirisha kwa majahazi kama watumwa kwenda kwao kuwafanyia kazi bure (manamba) kwenye mashamba, viwanda na majumbani kwao, history mbaya sana hii kukumbukwa, maana sio tu kwenda kuwafanyia kazi wazungu bure lakini wengi wao walikufa njiani wakati wakisafirishwa kwa kutoswa majini, msongamano mkubwa, njaa na ugonjwa njiani.

LEO hii sababu zilezile na manamba ndio hizihizi sa Green card lottery, Jamani hali hii ni mpaka lini? what are you looking for?

Hii ni kujitafutia balaa wewe mwenyewe na familia yako kwa matumaini feki kabisa huku ukijua kuwa utakwenda kule kufanyakazi kubwa na nyingi sana ili upate chochote kitu wakti nguvu, juhudi na akili hizo ungeweza kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu.

Si shauri uombe hiyo nyambafu
Kavulata: Unajua unachokisema au umekaririshwa? Niko Marekani, sikuja kwa kufungwa mnyororo,na hata nikitaka kuondoka hakuna kamba iliyonifunga.
Ushauri kila siku kwa vijana wa kitanzania, kama unaona opportunities zimebana Tanzania jaribu popote, nina mifano mingi mno, na nimeona kwa watu toka mataifa mbali mbali niliokutana nao US!
Ukiwa na focus, na documents halali na yote unayoyasikia kuhusu Marekani, ni mahali unaweza kufikisha ndoto zako, sisemi ni rahisi, lakini kuna nyenzo ambazo hupati katika nchi nyingi za Kiafrica.
Sijahonga au kumuona yoyote watoto wangu kupata mikopo ya vyuo vyao, sikuwa na connection zozote zile watoto wangu kupata white color jobs! In short mtoto wangu alikuwa recruited akiwa bado chuoni, na leo akiwa na miaka24 is making almost $ 85,000/ Wenzake aliowaacha bongo waliomaliza chuo wanasaka ajira!
Sasa sijui ni utumwa wa aina gani huo!
Ni kweli Marekani/ Canada zinataka nguvu kazi, lakini ukiingia huku ni juhudi zako na akili yako! Wengine wataenda juu, na wengine chini, sawasawa na wazawa! Anayenifyekea majani nyumbani kwangu ni mzungu! Maana sina muda! Na kila baada ya wiki mbili au tatu ananipigia simu kama yameota aje kufyeka! Na ameniambia ni fundi katika serikali yetu ya mtaa anatafuta pesa ya ziada! Hii ndio Marekani, simdharau najua anachotafuta!
Hivyo usikaririshwe na akina Lumumba.
Hulazimishwi ni akili yako tu! Wengine wanatumia hapo bongo wanatoka! Wengine mambo yanakataa! Maisha popote pale!
 
Wakoloni walitusafirisha kwa majahazi kama watumwa kwenda kwao kuwafanyia kazi bure (manamba) kwenye mashamba, viwanda na majumbani kwao, history mbaya sana hii kukumbukwa, maana sio tu kwenda kuwafanyia kazi wazungu bure lakini wengi wao walikufa njiani wakati wakisafirishwa kwa kutoswa majini, msongamano mkubwa, njaa na ugonjwa njiani.

LEO hii sababu zilezile na manamba ndio hizihizi sa Green card lottery, Jamani hali hii ni mpaka lini? what are you looking for?

Hii ni kujitafutia balaa wewe mwenyewe na familia yako kwa matumaini feki kabisa huku ukijua kuwa utakwenda kule kufanyakazi kubwa na nyingi sana ili upate chochote kitu wakti nguvu, juhudi na akili hizo ungeweza kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu.

Si shauri uombe hiyo nyambafu
Kila mtu anatafuta ugari wake,we mala ya mwisho umepereka ugali kwa jirani yako ni lini?
Kwenye maisha yetu haya ya bongo ,watu wenye viajira wanaolipwa kila mwezi,hufikiri maisha ni Raisi sana,
Hupenda kukejeri juhudi za watu wengine,usikejeri jombaa,
Watu Wana hustle balaa,
Leo nipo kwenye daladala,Kuna dada akawa anasimulia jinsi jana alivyofsnya kazi zake mapema,Ili leo asiwe na mambo mengi,alisafisha vyoo,na kupiga deki,eneo lake,alikuwa anasimulia kwa umakini kabisa,nikafikiria huyu huko kwenye zahanati analipwa Tsh ngapi?
Mshahara wake kwangu ni kama pesa ya kula bia kwa siku mbili tu!!au ni bill ya umeme na DStv tu kwa mwezi!!!
 
Wakoloni walitusafirisha kwa majahazi kama watumwa kwenda kwao kuwafanyia kazi bure (manamba) kwenye mashamba, viwanda na majumbani kwao, history mbaya sana hii kukumbukwa, maana sio tu kwenda kuwafanyia kazi wazungu bure lakini wengi wao walikufa njiani wakati wakisafirishwa kwa kutoswa majini, msongamano mkubwa, njaa na ugonjwa njiani.

LEO hii sababu zilezile na manamba ndio hizihizi sa Green card lottery, Jamani hali hii ni mpaka lini? what are you looking for?

Hii ni kujitafutia balaa wewe mwenyewe na familia yako kwa matumaini feki kabisa huku ukijua kuwa utakwenda kule kufanyakazi kubwa na nyingi sana ili upate chochote kitu wakti nguvu, juhudi na akili hizo ungeweza kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu.

Si shauri uombe hiyo nyambafu
akili yako inamyumbo
 
Kavulata: Unajua unachokisema au umekaririshwa? Niko Marekani, sikuja kwa kufungwa mnyororo,na hata nikitaka kuondoka hakuna kamba iliyonifunga.
Ushauri kila siku kwa vijana wa kitanzania, kama unaona opportunities zimebana Tanzania jaribu popote, nina mifano mingi mno, na nimeona kwa watu toka mataifa mbali mbali niliokutana nao US!
Ukiwa na focus, na documents halali na yote unayoyasikia kuhusu Marekani, ni mahali unaweza kufikisha ndoto zako, sisemi ni rahisi, lakini kuna nyenzo ambazo hupati katika nchi nyingi za Kiafrica.
Sijahonga au kumuona yoyote watoto wangu kupata mikopo ya vyuo vyao, sikuwa na connection zozote zile watoto wangu kupata white color jobs! In short mtoto wangu alikuwa recruited akiwa bado chuoni, na leo akiwa na miaka24 is making almost $ 85,000/ Wenzake aliowaacha bongo waliomaliza chuo wanasaka ajira!
Sasa sijui ni utumwa wa aina gani huo!
Ni kweli Marekani/ Canada zinataka nguvu kazi, lakini ukiingia huku ni juhudi zako na akili yako! Wengine wataenda juu, na wengine chini, sawasawa na wazawa! Anayenifyekea majani nyumbani kwangu ni mzungu! Maana sina muda! Na kila baada ya wiki mbili au tatu ananipigia simu kama yameota aje kufyeka! Na ameniambia ni fundi katika serikali yetu ya mtaa anatafuta pesa ya ziada! Hii ndio Marekani, simdharau najua anachotafuta!
Hivyo usikaririshwe na akina Lumumba.
Hulazimishwi ni akili yako tu! Wengine wanatumia hapo bongo wanatoka! Wengine mambo yanakataa! Maisha popote pale!
Daah! umenena, nini nafahamu kuwa furahi ya mtu haitokani na kuwa na pesa nyingi tu bali mjumuiko wa mambo mengi na hela ikiwemo. Nimekutana na kijana ambae huko majuu ambae analala kwenye gari yake maisha, nilipomuuliza kwanini kwanini huna chumba chako aliniambia ninafanya kazi shift 3 kwa siku hivyo muda wa kulala sina, hata hiyo nyumba naona nitapoteza pesa zangu bure wakati silali humo. Akanambia ana madeni mengi yanayohitaji ku service (kulipa) hivyo lazima afanye kazi zaidi ya 1 ili apate ziada. kaka kijana huyu hajawahi kula chakula cha nyumbani kwake zaidi ya kule fast foods mitaani, makato mengi na anashindwa kutuma pesa nyumbani maana wafyeka hela nyingi sana. kaka kuna mitaa/maduka/malls ukiingia mwenye ngozi nyeusi wanadhani huna pesa ya kuingia hapo bali unataka kuiba, ubaguzi bado haujakwisha tunalazimisha tu.

Nguvu, muda, juhudi, maarifa na akili mnazozitumia kumudu kuishi huko hata zingewekezwa japo nusu tu kwenye jangwa zingetoa matunda. Vijana wetu huku ni wavivu sana ni wavivu sana na ni wavivu sana ndio maana wanapata tamaa ya green card wakidhani huko US pesa ziko kwenye viroba tu ni za kuzoa na kutumia.

Kama asili na chanzo kikuu cha ushoga huko ni maisha magumu, watu wanaunganisha nguvu ili kumudu maisha bila kulazimika kuwa na watoto wa kutunza, yaani kuona mwanamke ni kuongeza ugumu kwenye ugumu. bahati mbaya mimi nimeishi huko sana tena vijijini kabisa ambako maisha ni kama haya hapa ya tandika na kwamtogole, kuchafu na idadi kubwa ya ombaomba wazungu mitaani ambao wanapatiwa nguo kule salvation army na kwingineko kwenye malls kama vile Walmart zenye madirisha ya watu maskini (wazungu) kupatiwa misaada.

kaka usiwadanganye watu ukawapa hope na kuja kuishia kuolewa na wanaume wenzao, wanaofanikiwa ni watu kidogo sana kati ya hao wahamianji. Wengi wao wanaishia kwenye vyombo vya usalama kufungwa na hata kuuliwa.
 
Bora huko mana hata mgao wa maji hakuna wala wa umeme!
Na hata ikitokea ajali ya ndege unajua uwezekano wa kuokolewa haraka ni mkubwa na sio usubiri kamba ikuvute!
wewe unafikiri kwanini huko marekani mtoto anaweza kuingia darasani na bunduki na kuua kila mtu humo? unafikiri hawana akili? hujiulizi mara mbilimbili? Upweke (loneliness) na stresses zimejaa huko. Wewe hujiulizi hata akina Kelly wako jela na wana mihela mingi? sio hela tu bali fikiria na mambo mengine kaka.
 
wewe unafikiri kwanini huko marekani mtoto anaweza kuingia darasani na bunduki na kuua kila mtu humo? unafikiri hawana akili? hujiulizi mara mbilimbili? Upweke (loneliness) na stresses zimejaa huko. Wewe hujiulizi hata akina Kelly wako jela na wana mihela mingi? sio hela tu bali fikiria na mambo mengine kaka.
Hizo ni very few cases
Huku kwetu mbona daily watu wanauana kisa mapenzi?so loneliness and stress is everywhere
Ukishindwa kucontrol your personal emotions,they will definetely strike back at you!
Kule bado ni far better off ukisimamia na social services and infrastructures!
 
Kila mtu anatafuta ugari wake,we mala ya mwisho umepereka ugali kwa jirani yako ni lini?
Kwenye maisha yetu haya ya bongo ,watu wenye viajira wanaolipwa kila mwezi,hufikiri maisha ni Raisi sana,
Hupenda kukejeri juhudi za watu wengine,usikejeri jombaa,
Watu Wana hustle balaa,
Leo nipo kwenye daladala,Kuna dada akawa anasimulia jinsi jana alivyofsnya kazi zake mapema,Ili leo asiwe na mambo mengi,alisafisha vyoo,na kupiga deki,eneo lake,alikuwa anasimulia kwa umakini kabisa,nikafikiria huyu huko kwenye zahanati analipwa Tsh ngapi?
Mshahara wake kwangu ni kama pesa ya kula bia kwa siku mbili tu!!au ni bill ya umeme na DStv tu kwa mwezi!!!
Kwenye akili yako wewe unadhani kule Marekani hakuna watu maskini, ombaomba, unadhani kuwa hakuna watoto wanaokaa chini darasani, hakuna wamachinga, hakuna malaya, hakuna wadokozi hakuna wanaume wanaoshikishwa ukuta wapate chochote, wanaodeki na kuosha mbwa. Akili na mawazo kama hayo ndiyo yanayowafanya watu wapande boti wafie kwenye maji na wewe umdharau huyo mama. Toka huko kaka, tembea uone.
 
Wengi wangapi? Kwa utafiti upi ulio ufanya kujua kwamba wengi hawana taarifa muhimu? You bogus! Usilete ndoto zako za mchana huku JF....
nina uhakika kuwa mimi nakuzidi kwenye kujua, hakiyaMungu naapa na nimekuzidi kwa mengi. Vijana wengi wanaadhirika kule, ninao ushahidi. Ni lazima tuwaambie ukweli kwamba kuna kupata na kukosa kule, yaani 70% kukosa na 30% kupata. Waambieni watu kuwa 80% ya waliofanikiwa wana kazi zaidi 2, wanalea vizee vya kizungu, wako kwenye mashamba ya apples, ng;ombe, kazi nguvu viwandani na poters/wapagazi kwenye maduka makubwa (malls).
 
Kwani umelazimishwa? Hutaki acha! Sio lazima! Baki nyumbani kwenu huko tulia! Dunia haina mipaka ya kusema kwamba ni lazima uishi tu sehemu moja kama mti..kila mtu na mtazamo wake...wewe kama unaona Green card lottery ni ujinga ni kwako tu na mtazamo wako.. Usipangie watu maisha na makazi ya kuishi...Mungu alipotuumba alisema "Enendeni ulimwenguni kote mkaijaze Dunia" hakusema tubaki sehemu moja kama Mti, jiwe au jabali.
Hutaki green card Achaaaaaa!!!!! Hulazimishwi!!!! Kila mtu aishi anapo penda
Over!
Wametuibia sasa mnawasifu, mazuzu
 
nina uhakika kuwa mimi nakuzidi kwenye kujua, hakiyaMungu naapa na nimekuzidi kwa mengi. Vijana wengi wanaadhirika kule, ninao ushahidi. Ni lazima tuwaambie ukweli kwamba kuna kupata na kukosa kule, yaani 70% kukosa na 30% kupata. Waambieni watu kuwa 80% ya waliofanikiwa wana kazi zaidi 2, wanalea vizee vya kizungu, wako kwenye mashamba ya apples, ng;ombe, kazi nguvu viwandani na poters/wapagazi kwenye maduka makubwa (malls).
Unajua wewe ni Mjinga! Hao vijana unaowasema hata hapa Tanzania wapo.

Your level of Stupidity render me speechless!

Baki na Negativity zako.
 
Back
Top Bottom