Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Mimi sina position yoyote, ni lumpen kama walivyo wengine, ninachotofautiana na wewe ni picha unayoichora kuhusu Marekani watanzania waione Marekani kupitia picha yako hiyo na picha unayoichora Tanzania ili Marekani waione Tanzania kupitia picha yako hiyo ofu.

Unachora picha kwamba Marekani maisha ni rahisi, hakuna asiyekuwa na kazi, hakuna ombaomba, hakuna maskini, hakuna anayeshindwa kuishi, hakuna uhalifu. Kisha unachora picha ya Tanzania isiyokuwa na jema hata moja, hakuna umeme, maji, chakula, shule Wala oxygen, hivyo hakufai kuishi. Huu ndio ugomvi wangu na wewe, basi. Waambie vijana ukweli, both sides of the coin ili wawe na informed choice badala ya kuwapa matumaini bandia.
 
We ni mkundyu unasema balanced view halafu unageneralize na kusema Marekani nchi ya mashoga na manamba , we mseng€ nini ?
 
Mwafrica anapigana kwenda Ulaya na USA kusurrender nguvu kazi, hii ni aina mpya ya ukoloni tofauti na ile ya kuswaga kwa mijeledi.

Ulaya na America zilijengwa kwa jasho na damu na watu kufanya kazi usiku na mchana, Mwafrica anataka ajengewe Africa kwa favor ya wazungu, Wachina, waarabu na wahindi, huku yeye ameweka mikono mifukoni anakula bata.

Wenye uwezo wa kubadiri hii hali ni sisi wenyewe WaAfrica kwa kuamua kujitoa kizazi hiki kwa manufaa ya kizazi kijacho.

Hawa viongozi wabovu wanaotusumbua ni sisi wenye uwezo wa kuwatoa na kuwaadabisha huku tukiset utaratibu na kuweka mambo sawa.
 
We ni mpuuz endelea kulipwa huku 5 kwa siku hapo lumumba , msukule mmoja wewe
Kama wewe unashikishwa ukuta kwa vilainishi unapenda na wengine waje wafanye hivyo. Wacha udalali bro!
 
Kama wewe unashikishwa ukuta kwa vilainishi unapenda na wengine waje wafanye hivyo. Wacha udalali bro!
Mkuu hata mimi nimegundua jambo hilo kwa huyu jamaa, kanogewa mchezo kaamua kutufanya sisi maadui zake wakubwa, maana si kwa mapovu na matusi anayotoa.........yeye aendelee kusukumiwa mwenyewe, asitake kulazimisha ushawishi kwa vijana wengine nao wakaharibiwe kama yeye. Haishangazi matusi kama haya ni shehemu ya maisha ya watu weusi huko marekani wanaojiita nigga wanaoishi magetoni kutokana na mfumo baguzi kuwanyima fursa ya kuelimika angalau wastaarabike kidogo. Wanaishia kukaa magetoni, kuvuta bangi na kufanya kazi za kutumia nguvu nyingi na akili kidogo, kwa hiyo unaweza kuelewa kwa nini huyu mtu kajaa matusi mdomoni, typical character ya mtu ambaye ni socially marginalized.....​
 
Watz wengi huwa mnahisi watu wanaoishi USA, Canada na Europe wanaringa,pia kufanikiwq ni juhudi za mtu na bahati,Kuna watu wako Tz wamesoma na wanamaisha mabovu.
 
Ukiwa na green card, bado unakuwa raia wa ulikotoka, ile ni visa sio pasi ya kusafiria ya nchi tofauti, ambayo ukiwa nayo basi si raia wa Tz.
Nmemuuliza huyo kenge aliyekuwa anazungumzia green card ni kuukana uraia wa nchi yako.
 
ℍ𝕚𝕧𝕚 𝔼𝔹𝕄 𝕜𝕖𝕤𝕙𝕒𝕗𝕦𝕟𝕘𝕦𝕝𝕚𝕨𝕒?
 
nyie ni pesa pesa pesa tu, hamuoni shida kusambaza na kutumia vilainishi. Tunajua hunajua tunajua sana kuwa ni ma pro ushoga, kama A=B na B=C kwanini ushangae A kuwa sawa na C?. Yaani wewe unnapenda sana Marekani, na marekani inapenda sana Ushoga, kwanini na wewe usiwe shoga? hesabu tu za kawaida.
 
Mzee kwa hili povu si bure wewe umeolewa na kibabu cha kimarekani, bwahahaha.......
Ni mulemule, utakuta kibabu cha kizungu kinakula pension yake ya kutosha, kinatafuta kijana wa kumpapasa na kumkung'ung'uta ampe fedha, unadhani vijana hawa wanaokimbia ukosefu wa umeme kwao watazikataa? ili iweje kwa mfano!
 
Kama wewe ni ME Mungu hakuwa mjinga kukuwekea govi kwa nini ulilitoa au haujalitoa??.......watz wengi ipo shida kwenye ufikiriaji wetu
 
Ungejaribu kutuelezea tabia ambazo zimefanya mpaka black Americans wamekuwa hivyo ningekuelewa lakini sio kila kitu kusingizia wazungu.

Labda tu kwa asiyejua lakini sehemu wanazokaa mablack zinajulikana ni fujo, uhuni Sasa hapo mafanikio ya kufika mbali yatapatikana wapi. Wewe mwenyewe chukulia hapa hapa Bongo tu tulinganishe kimafanikio watu wanaokaa Masaki na Buguruni Spengo tutengeneze ulinganifu.

Halafu Kuna watz ambao wameenda Marekani via DV Lottery na elimu zao na wanafanya mishe nyingine tofauti na elimu zao kwa kufanya biashara au hata kazi tofauti na elimu zao huko unyamwezini sema nini wabongo wengi ujuaji mwingi kwa vitu vilivyo wazi.

Mm nashauri watu, wadau ikitokea tena labda tuseme mwakani umeshinda DV Lottery nenda kapige interview ubalozi maana wanasema za kuambiwa changanya na zako na maisha yako yapo juu yako mwenyewe.
 
Kama wewe unashikishwa ukuta kwa vilainishi unapenda na wengine waje wafanye hivyo. Wacha udalali bro!
Mama yako na wewe punga ndio nawashikisha ukuta na kuwasugua bila vilainishi , kuuma wewe
 
Mama yako na wewe punga ndio nawashikisha ukuta na kuwasugua bila vilainishi , kuuma wewe
Watu kama nyiye ndo mnakwamisha mchakato wa uraia pacha nchini. Hebu fikiria mtu anasema nimeamua kuukana uraia wa tanzania kwasababu tz ni washenzi kwenye kila kitu chake kwakuwa eti kuna umaskini, hakuna umeme, hakuna maji, hakuna ushoga, hakuna demokrasia, nk. nani anakubali uraia pacha kuruhusu jitu bwabwa kama hili liwe na passport yetu? anatutukanisha, anakuja tz akiwa amevalia mavazi na vidani vyenye rangi za upinde (rain bow)
 
Tanzania Kuna fursa nyingi kwa vijana kuliko Marekani. Tofauti ni kuwa ukiwa Marekani lazima ukasane saaaana ili utoboe kitu ambacho kinawezekana hata Huku Tanzania. Diamond platinum, harmonìze, na wengine wako vile kwa kuzanana saaana wakiwa hapahapa Tanzania. Marekani Kuna waimbaji weeengi sana huko lakini wanaofanikiwa ni wachache. Dawa kubwa iwe ni kufanyakazi kila kitu kwa bidii sio kuhamia Marekani. Tuwaambie ukweli vijana badala ya kuwapa false hope (matumaini bandia). Kifupi Marekani Kuna maskini wengi sana kuliko Tanzania, Kuna wafungwa wengi sana kuliko Tanzania, Kuna wasiokuwa na kazi wengi sana kuliko Tanzania, Kuna mashoga wengi sana kuliko Tanzania na Kuna wasiokuwa na elimu wengi Sana kuliko Tanzania na Kuna wabwia unga wengi kuliko Huku kwetu,
 
Imagination just an illusion
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…