Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Watu wakichoka na maisha hapo bongo, kuibia ukitoka kazi unavamiwa ukiwa kwako wanaiba vitu dirishani,
Ukicha gari umepaki nje kesho utakuta boshen tu.
Huku unavamiwa unachomwa visu,chupa etc.
Ukikaa bar majambazi yanakimbizana huko yamepora mnaambiwa wateja wote mlale chini mnaibiwa kila kitu.
Hayo maisha gani?
Mnaamua kuhama tu ili angalau muokoe uhai.
Huku ni wapi mkuu
 
Namshulu mungu nimechaguliwa kuendelea na mchakato, naomba msaada Kwa ambae anafaham zaidi aniekekeze.
Mkuu kila la heri. I hope utapata. Watalamu watakuja kukupa hatua zinazofata.

Mimi sijabahatika mwaka huu. Japo kuna watu wanasema tusubiri tar 8 ambayo ni kesho. But sina uhakika.
 
Mkuu kila la heri. I hope utapata. Watalamu watakuja kukupa hatua zinazofata.

Mimi sijabahatika mwaka huu. Japo kuna watu wanasema tusubiri tar 8 ambayo ni kesho. But sina uhakika.
Hata mimi mkuu sijabahatika kushinda.

Ila ndio hivyo hakuna namna tusubiri next lottery October.

Hiyo ya mwezi wa nane sidhani kama ni kweli kwamba kuna kushinda mara ya pili tofauti na mwanzoni usiposhinda.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 
Watu wakichoka na maisha hapo bongo, kuibia ukitoka kazi unavamiwa ukiwa kwako wanaiba vitu dirishani,
Ukicha gari umepaki nje kesho utakuta boshen tu.
Huku unavamiwa unachomwa visu,chupa etc.
Ukikaa bar majambazi yanakimbizana huko yamepora mnaambiwa wateja wote mlale chini mnaibiwa kila kitu.
Hayo maisha gani?
Mnaamua kuhama tu ili angalau muokoe uhai.
Uhuni kama huo Huku Marekani ni zaidi ya hapo mara 3000 labda. Vijana wengi sana wako magerezani kwa vitendo hivyo. Kinachosaidia ni kwamba Mifumo ya mahakama inafayaazi vizuri. Hii ndio maana vijana wanaamua kuitafuta pesa kwa njia nyingine zote ikiwemo kufirwa badala ya kufanya uhalifu, maana watakamatwa.
 
Mkuu kila la heri. I hope utapata. Watalamu watakuja kukupa hatua zinazofata.

Mimi sijabahatika mwaka huu. Japo kuna watu wanasema tusubiri tar 8 ambayo ni kesho. But sina uhakika.
Asante.... tusikate tamaa ya kujaribu
 
Kavulata, nadhani kidogo umesema , tunaangalia mambo mengi tunapotaka nje ya nchi, wewe huangalii mambo mengi kama unavyoonyesha, nikiangalia kwa mtazamo wako huo Afrika hapakaliki pia! Sina haja ya kusema wewe unajua wazi!
ibu! Usiwe mwoga! Maisha ni popote pale, hata bongo kwa upande wako!
Ndugu naitaji kuja uko ,je waweza nisaidia kunitafutia mwajiri atakayenilipia full visa sponsorship.fani yangu ni tig welding.pia nipo tayali kwa kazi yoyote
 
Nchi ambayo hata wanaume wanaolewa, ndio hizo fursa unazozisema? Nenda ukaangalie kule kwenye magereza yao ukaone ni akina nani wamefungwa humo?
Kuna diaspora anaishi usa amekufumua marinda,wacada,wachina etc wanatamani wakaishi usa wewe kamq umeridhika kunywa maji ya kisima kaa Tz
 
Wewe usiombe ili ubaki bongo upige pesa mingi.
Wewe baki bongo ulipe hizo kodi na tozo kila corner kwa maendeleo ya Samia na genge lake! Nchi gani watu hawana ajira, mfumuko wa bei za vitu muhimu kama chakula, umeme, usafiri ndio huo haukamatiki .
Watu wanalalama kila
kukicha lakini ndio kwanza ukoo wa Samia wakina Mwigulu wananunua ma V8!! Hayo maendeleo ya nchi yatatoka wapi?
Waache vijana watafute maisha kokote duniani na baadae waende mwezini na Elon Musk!
 
Mkuu kila la heri. I hope utapata. Watalamu watakuja kukupa hatua zinazofata.

Mimi sijabahatika mwaka huu. Japo kuna watu wanasema tusubiri tar 8 ambayo ni kesho. But sina uhakika.
Mipango ya kuwa manamba kwa hiari. Huu ni muujiza mkuu, kweli elimu yetu haifai hata kidogo; Babu zetu hawakuwa na elimu hii ya darasani lakini walikataa kupelekwa Ulaya na Marekani kufanyakazi za kimanamba, Leo hii vijana wetu tunaosema wamesoma ndio wanajipeleka wenyewe wakawe manamba. Kiasi hikihiki ambacho vijana wetu wanalipwa Leo huko Ulaya na Marekani ndicho hichohicho Babu zao walikigomea enzi ya utumwa.

Sio kwamba watumwa walikuwa hawalipwi kabisa, walikuwa akilipwa pia lakini sio kama wanacholipwa wenzao weupe kwa kazi ileile.
 
Wakoloni walitusafirisha kwa majahazi kama watumwa kwenda kwao kuwafanyia kazi bure (manamba) kwenye mashamba, viwanda na majumbani kwao, history mbaya sana hii kukumbukwa, maana sio tu kwenda kuwafanyia kazi wazungu bure lakini wengi wao walikufa njiani wakati wakisafirishwa kwa kutoswa majini, msongamano mkubwa, njaa na ugonjwa njiani.

LEO hii miaka 60 baada ya uhuru sababu zilezile za kusafirisha manamba kwenda Marekani, Ulaya na uarabuni ndio sababu hizihizi za watu kwenda huko kwa Green card lottery, Jamani hali hii ni mpaka lini? what are you looking for? Kilichobadilika tu leo ni kitu kimoja tu kutoka manamba walionunuliwa kwenye masoko ya watumwa hadi kwenda kwa green card na baadhi ya sifa za watu wanaohitajika kusafirishwa na aina ya usafiri. Wakati ule walihitaji watu vijana wenye nguvu za kufanya kazi za wakati ule na sasa hivi kwa kutumia green card wanahitaji watu vijana wenye afya wenye elimu na ujuzi maalum kwaajili ya kufanya kazi za wakati huu.

Hii ni kujitafutia balaa wewe mwenyewe na familia yako kwa matumaini feki kabisa huku ukijua kuwa utakwenda kule kufanyakazi kubwa na nyingi sana ili upate chochote kitu wakati nguvu, juhudi na akili hizo ungeweza hata kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu pamoja na kutoa mchango kwenye ujenzi wa taifa lako kwa njia za kodi, tozo na huduma kwa jamii yako.

Jaamaani, Si shauri uombe hiyo kitu, nyambafu!!!!
La mkosaji
 
Wakoloni walitusafirisha kwa majahazi kama watumwa kwenda kwao kuwafanyia kazi bure (manamba) kwenye mashamba, viwanda na majumbani kwao, history mbaya sana hii kukumbukwa, maana sio tu kwenda kuwafanyia kazi wazungu bure lakini wengi wao walikufa njiani wakati wakisafirishwa kwa kutoswa majini, msongamano mkubwa, njaa na ugonjwa njiani.

LEO hii miaka 60 baada ya uhuru sababu zilezile za kusafirisha manamba kwenda Marekani, Ulaya na uarabuni ndio sababu hizihizi za watu kwenda huko kwa Green card lottery, Jamani hali hii ni mpaka lini? what are you looking for? Kilichobadilika tu leo ni kitu kimoja tu kutoka manamba walionunuliwa kwenye masoko ya watumwa hadi kwenda kwa green card na baadhi ya sifa za watu wanaohitajika kusafirishwa na aina ya usafiri. Wakati ule walihitaji watu vijana wenye nguvu za kufanya kazi za wakati ule na sasa hivi kwa kutumia green card wanahitaji watu vijana wenye afya wenye elimu na ujuzi maalum kwaajili ya kufanya kazi za wakati huu.

Hii ni kujitafutia balaa wewe mwenyewe na familia yako kwa matumaini feki kabisa huku ukijua kuwa utakwenda kule kufanyakazi kubwa na nyingi sana ili upate chochote kitu wakati nguvu, juhudi na akili hizo ungeweza hata kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu pamoja na kutoa mchango kwenye ujenzi wa taifa lako kwa njia za kodi, tozo na huduma kwa jamii yako.

Jaamaani, Si shauri uombe hiyo kitu, nyambafu!!!!
Wrwe katafute tu kitambulisho cha kupigia kura inatosha, hzyo mengine waachie wayafanyao. Mbona Mnapo bet wenzenu hata hawaumii Mioyo😃
 
Mipango ya kuwa manamba kwa hiari. Huu ni muujiza mkuu, kweli elimu yetu haifai hata kidogo; Babu zetu hawakuwa na elimu hii ya darasani lakini walikataa kupelekwa Ulaya na Marekani kufanyakazi za kimanamba, Leo hii vijana wetu tunaosema wamesoma ndio wanajipeleka wenyewe wakawe manamba. Kiasi hikihiki ambacho vijana wetu wanalipwa Leo huko Ulaya na Marekani ndicho hichohicho Babu zao walikigomea enzi ya utumwa.

Sio kwamba watumwa walikuwa hawalipwi kabisa, walikuwa akilipwa pia lakini sio kama wanacholipwa wenzao weupe kwa kazi ileile.
Kaa ukijua kuzaliwa tu Africa hiyo ni loss kubwa mno ya Kwanza..Sasa tz ndo Sina hamu ya kuongea kbs
 
Utatoboa kule kwa kufanya kazi saaaana na kubana matumizi. Saa nyingine itakulazimu ufanye kazi zaidi ya moja. Hizo nguvu na juhudi unazozitua kutoboa kule kwa masimango hata kama ukiziwekeza hapa tz utatoboa pia kwa heshima.

Mkuu Kavulata,

Hata Tanzania usibona matumizi hutoki! Na kuwa watu wana nguvu na juhudi hawajui wazipeleke wapi!
 
Utatoboa kule kwa kufanya kazi saaaana na kubana matumizi. Saa nyingine itakulazimu ufanye kazi zaidi ya moja. Hizo nguvu na juhudi unazozitua kutoboa kule kwa masimango hata kama ukiziwekeza hapa tz utatoboa pia kwa heshima.

Kavulata,

Najua mimi na wewe tulikubaliana kutokubaliana katika mada hiii.....lakini mkuu statistics hazidanganyi.....Unajua mwaka uliopita Walioomba Green Card walikuwa wangapi? Hasa kutoka Africa na nchi nyingine za Ulimwengu! Tanzania tu idadi ya wanaoomba Greencard kuja Marekani inaongezeka kila kukicha! Na maendeleo yote yanayozungumzwa nchi za kiafrica.....

Msimamo wangu uko wazi, maisha ni popote pale ambapo panaweza kupata unachokitaka! Na maisha ni mafupi mno! mno! Kuna jamaa namfahamu Ni Engineer na ana kazi nzuri mno Tanzania, na kwa wadhifa wake katembea nchi nyingi ulimwenguni, lakini amepata Green Card yuko US, alipoulizwa kwa nini anataka kuja Marekani alisema, sio pesa tu wala kutoboa, maana Tanzania kisha toboa! anataka "American experience" na anataka mtoto wake apate elimu hapa! Kaja na pesa zake, na yuko kwenye process ya kununua nyumba! Sasa utasemaje!

Mkuu huwezi kuzuia utashi wa mtu kutafuta anachokitaka. Mimi natofautiana na wewe, kwa vile wewe umeingiza chuki binafsi na Marekani badala ya kuwa rational! Mji naokaa US Waarabu na watu kutoka India wameongezeka sana kununua nyumba, na unajua wazi mila na desturi zao ni tofauti na watu wa Marekani in general! Lakini watu hawa kuna kikubwa wanachokitafuta ambacho hakipatikani huko wanakotoka! Marekani sio Paradiso Kavulata! Lakini ukiwa na vibali halali tu ya kuwa hapa, na ukiijua system ya hapa inavyofanya kazi, kwangu mimi ni mahali pazuri kwa kuishi na kukusadia kutimiza kile ambcho unatafuta!

Naomba usisahau msimamo wangu, ambao haubadiliki, kama unaona mambo yako Tanzania hayaendi, si mbaya kujaribu nje ya Tanzania.....kwa upande wangu jaribu Marekani ukiwa na vibali halali vya kuwa US.
 
Kavulata,

Najua mimi na wewe tulikubaliana kutokubaliana katika mada hiii.....lakini mkuu statistics hazidanganyi.....Unajua mwaka uliopita Walioomba Green Card walikuwa wangapi? Hasa kutoka Africa na nchi nyingine za Ulimwengu! Tanzania tu idadi ya wanaoomba Greencard kuja Marekani inaongezeka kila kukicha! Na maendeleo yote yanayozungumzwa nchi za kiafrica.....

Msimamo wangu uko wazi, maisha ni popote pale ambapo panaweza kupata unachokitaka! Na maisha ni mafupi mno! mno! Kuna jamaa namfahamu Ni Engineer na ana kazi nzuri mno Tanzania, na kwa wadhifa wake katembea nchi nyingi ulimwenguni, lakini amepata Green Card yuko US, alipoulizwa kwa nini anataka kuja Marekani alisema, sio pesa tu wala kutoboa, maana Tanzania kisha toboa! anataka "American experience" na anataka mtoto wake apate elimu hapa! Kaja na pesa zake, na yuko kwenye process ya kununua nyumba! Sasa utasemaje!

Mkuu huwezi kuzuia utashi wa mtu kutafuta anachokitaka. Mimi natofautiana na wewe, kwa vile wewe umeingiza chuki binafsi na Marekani badala ya kuwa rational! Mji naokaa US Waarabu na watu kutoka India wameongezeka sana kununua nyumba, na unajua wazi mila na desturi zao ni tofauti na watu wa Marekani in general! Lakini watu hawa kuna kikubwa wanachokitafuta ambacho hakipatikani huko wanakotoka! Marekani sio Paradiso Kavulata! Lakini ukiwa na vibali halali tu ya kuwa hapa, na ukiijua system ya hapa inavyofanya kazi, kwangu mimi ni mahali pazuri kwa kuishi na kukusadia kutimiza kile ambcho unatafuta!

Naomba usisahau msimamo wangu, ambao haubadiliki, kama unaona mambo yako Tanzania hayaendi, si mbaya kujaribu nje ya Tanzania.....kwa upande wangu jaribu Marekani ukiwa na vibali halali vya kuwa US.

DV 2023 Latest Statistics​

Trodvies 5 months ago 10

Latest Statistics​

Latest statistics for the DV 2023 Program indicates that up to last weekend, with a total of 9,619 cases interviewed, 14,956 applicants had been issued visas. In addition, there are 8,224 cases – totaling 17,924 applicants – at various embassies awaiting interview.
According to the latest statistics, the Europe region remains on top of visa issuances with a total of 6,340 so far; followed by the Africa region with 5,307. Asia is in third place with 2,336.

Sasa ndugu yangu Kavulata....hao wanaotoka Europe region kuja US utasemaje? Kila mtu anajua ni nini hasa anachotafuta US....!
 
Wakoloni walitusafirisha kwa majahazi kama watumwa kwenda kwao kuwafanyia kazi bure (manamba) kwenye mashamba, viwanda na majumbani kwao, history mbaya sana hii kukumbukwa, maana sio tu kwenda kuwafanyia kazi wazungu bure lakini wengi wao walikufa njiani wakati wakisafirishwa kwa kutoswa majini, msongamano mkubwa, njaa na ugonjwa njiani.

LEO hii miaka 60 baada ya uhuru sababu zilezile za kusafirisha manamba kwenda Marekani, Ulaya na uarabuni ndio sababu hizihizi za watu kwenda huko kwa Green card lottery, Jamani hali hii ni mpaka lini? what are you looking for? Kilichobadilika tu leo ni kitu kimoja tu kutoka manamba walionunuliwa kwenye masoko ya watumwa hadi kwenda kwa green card na baadhi ya sifa za watu wanaohitajika kusafirishwa na aina ya usafiri. Wakati ule walihitaji watu vijana wenye nguvu za kufanya kazi za wakati ule na sasa hivi kwa kutumia green card wanahitaji watu vijana wenye afya wenye elimu na ujuzi maalum kwaajili ya kufanya kazi za wakati huu.

Hii ni kujitafutia balaa wewe mwenyewe na familia yako kwa matumaini feki kabisa huku ukijua kuwa utakwenda kule kufanyakazi kubwa na nyingi sana ili upate chochote kitu wakati nguvu, juhudi na akili hizo ungeweza hata kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu pamoja na kutoa mchango kwenye ujenzi wa taifa lako kwa njia za kodi, tozo na huduma kwa jamii yako.

Jaamaani, Si shauri uombe hiyo kitu, nyambafu!!!!

Kavulata,

Naona mada imerudi sana, hebu angalia hizo Statistics tena........Labda in Summary tu, hizi nchi " Algeria, Egypt, Uzbekistan, Iran and Russia have the highest numbers of selectees for the DV-2023 Program..........Hawa ndio wameongoza kuleta manamba USA.....
Angalia Jedwali..."

EUROPE
ALBANIA 2,001GREECE 28NORTHERN IRELAND 4
ARMENIA 3,525HUNGARY 66NORWAY 4
AUSTRIA 34ICELAND 4POLAND 228
AZERBAIJAN 1,260IRELAND 13PORTUGAL 10
BELARUS 1,535ITALY 154 Macau 7
BELGIUM 32KAZAKHSTAN 1,908ROMANIA 228
BOSNIA AND HERZEGOVINA 47KOSOVO 413RUSSIA 5,505
BULGARIA 161KYRGYZSTAN 2,846SERBIA 134
CROATIA 12LATVIA 48SLOVAKIA 20
CYPRUS 8LITHUANIA 91SLOVENIA 2
CZECH REPUBLIC 19MALTA 8SPAIN 96
DENMARK 12MOLDOVA 670SWEDEN 26
Faroe Islands 1MONTENEGRO 28SWITZERLAND 27
ESTONIA 17NETHERLANDS 19TAJIKISTAN 2,485
FINLAND 14 Aruba 4TURKEY 3,383
FRANCE 209 Curacao 1TURKMENISTAN 555
GEORGIA 2,071 Sint Maarten 3UKRAINE 3,808
GERMANY 512NORTH MACEDONIA 258UZBEKISTAN 5,511
 
Kavulata,

Naona mada imerudi sana, hebu angalia hizo Statistics tena........Labda in Summary tu, hizi nchi " Algeria, Egypt, Uzbekistan, Iran and Russia have the highest numbers of selectees for the DV-2023 Program..........Hawa ndio wameongoza kuleta manamba USA.....
Angalia Jedwali..."

EUROPE
ALBANIA 2,001GREECE 28NORTHERN IRELAND 4
ARMENIA 3,525HUNGARY 66NORWAY 4
AUSTRIA 34ICELAND 4POLAND 228
AZERBAIJAN 1,260IRELAND 13PORTUGAL 10
BELARUS 1,535ITALY 154 Macau 7
BELGIUM 32KAZAKHSTAN 1,908ROMANIA 228
BOSNIA AND HERZEGOVINA 47KOSOVO 413RUSSIA 5,505
BULGARIA 161KYRGYZSTAN 2,846SERBIA 134
CROATIA 12LATVIA 48SLOVAKIA 20
CYPRUS 8LITHUANIA 91SLOVENIA 2
CZECH REPUBLIC 19MALTA 8SPAIN 96
DENMARK 12MOLDOVA 670SWEDEN 26
Faroe Islands 1MONTENEGRO 28SWITZERLAND 27
ESTONIA 17NETHERLANDS 19TAJIKISTAN 2,485
FINLAND 14 Aruba 4TURKEY 3,383
FRANCE 209 Curacao 1TURKMENISTAN 555
GEORGIA 2,071 Sint Maarten 3UKRAINE 3,808
GERMANY 512NORTH MACEDONIA 258UZBEKISTAN 5,511

Linganisha na Nchi za Kiafrica.......Ni nani hasa anapeleka Manamba USA.....

AFRICA
ALGERIA 5,526ESWATINI 5MOZAMBIQUE 2
ANGOLA 422ETHIOPIA 2,761NAMIBIA 6
BENIN 404GABON 45NIGER 78
BOTSWANA 9GAMBIA, THE 65RWANDA 1,024
BURKINA FASO 137GHANA 3,398SENEGAL 253
BURUNDI 400GUINEA 706SIERRA LEONE 522
CABO VERDE 24GUINEA-BISSAU 9SOMALIA 1,541
CAMEROON 2,392KENYA 3,417SOUTH AFRICA 222
CENTRAL AFRICAN REPUBLIC 19LIBERIA 1,221SOUTH SUDAN 53
CHAD 257LIBYA 397SUDAN 4,863
COMOROS 3MADAGASCAR 21TANZANIA 165
CONGO, DEMOCRATIC REPUBLIC OF THE 4,385MALAWI 23TOGO 1,036
CONGO, REPUBLIC OF THE 389MALI 90TUNISIA 168
COTE D’IVOIRE 552MAURITANIA 174UGANDA 1,044
DJIBOUTI 249MAURITIUS 1ZAMBIA 59
EGYPT 5,529MOROCCO 4,469ZIMBABWE 202
EQUATORIAL GUINEA 4 Western Sahara 2
ERITREA 376
 
Back
Top Bottom