Huku ni wapi mkuuWatu wakichoka na maisha hapo bongo, kuibia ukitoka kazi unavamiwa ukiwa kwako wanaiba vitu dirishani,
Ukicha gari umepaki nje kesho utakuta boshen tu.
Huku unavamiwa unachomwa visu,chupa etc.
Ukikaa bar majambazi yanakimbizana huko yamepora mnaambiwa wateja wote mlale chini mnaibiwa kila kitu.
Hayo maisha gani?
Mnaamua kuhama tu ili angalau muokoe uhai.
Mkuu kila la heri. I hope utapata. Watalamu watakuja kukupa hatua zinazofata.Namshulu mungu nimechaguliwa kuendelea na mchakato, naomba msaada Kwa ambae anafaham zaidi aniekekeze.
Popote pale mradi kuna usalama zaidi na haki za binadamu zipo.Huku ni wapi mkuu
Hata mimi mkuu sijabahatika kushinda.Mkuu kila la heri. I hope utapata. Watalamu watakuja kukupa hatua zinazofata.
Mimi sijabahatika mwaka huu. Japo kuna watu wanasema tusubiri tar 8 ambayo ni kesho. But sina uhakika.
Uhuni kama huo Huku Marekani ni zaidi ya hapo mara 3000 labda. Vijana wengi sana wako magerezani kwa vitendo hivyo. Kinachosaidia ni kwamba Mifumo ya mahakama inafayaazi vizuri. Hii ndio maana vijana wanaamua kuitafuta pesa kwa njia nyingine zote ikiwemo kufirwa badala ya kufanya uhalifu, maana watakamatwa.Watu wakichoka na maisha hapo bongo, kuibia ukitoka kazi unavamiwa ukiwa kwako wanaiba vitu dirishani,
Ukicha gari umepaki nje kesho utakuta boshen tu.
Huku unavamiwa unachomwa visu,chupa etc.
Ukikaa bar majambazi yanakimbizana huko yamepora mnaambiwa wateja wote mlale chini mnaibiwa kila kitu.
Hayo maisha gani?
Mnaamua kuhama tu ili angalau muokoe uhai.
Asante.... tusikate tamaa ya kujaribuMkuu kila la heri. I hope utapata. Watalamu watakuja kukupa hatua zinazofata.
Mimi sijabahatika mwaka huu. Japo kuna watu wanasema tusubiri tar 8 ambayo ni kesho. But sina uhakika.
Yeah niliomba mwenyewe binafsi
Ndugu naitaji kuja uko ,je waweza nisaidia kunitafutia mwajiri atakayenilipia full visa sponsorship.fani yangu ni tig welding.pia nipo tayali kwa kazi yoyoteKavulata, nadhani kidogo umesema , tunaangalia mambo mengi tunapotaka nje ya nchi, wewe huangalii mambo mengi kama unavyoonyesha, nikiangalia kwa mtazamo wako huo Afrika hapakaliki pia! Sina haja ya kusema wewe unajua wazi!
ibu! Usiwe mwoga! Maisha ni popote pale, hata bongo kwa upande wako!
Kuna diaspora anaishi usa amekufumua marinda,wacada,wachina etc wanatamani wakaishi usa wewe kamq umeridhika kunywa maji ya kisima kaa TzNchi ambayo hata wanaume wanaolewa, ndio hizo fursa unazozisema? Nenda ukaangalie kule kwenye magereza yao ukaone ni akina nani wamefungwa humo?
Wewe baki bongo ulipe hizo kodi na tozo kila corner kwa maendeleo ya Samia na genge lake! Nchi gani watu hawana ajira, mfumuko wa bei za vitu muhimu kama chakula, umeme, usafiri ndio huo haukamatiki .Wewe usiombe ili ubaki bongo upige pesa mingi.
Mipango ya kuwa manamba kwa hiari. Huu ni muujiza mkuu, kweli elimu yetu haifai hata kidogo; Babu zetu hawakuwa na elimu hii ya darasani lakini walikataa kupelekwa Ulaya na Marekani kufanyakazi za kimanamba, Leo hii vijana wetu tunaosema wamesoma ndio wanajipeleka wenyewe wakawe manamba. Kiasi hikihiki ambacho vijana wetu wanalipwa Leo huko Ulaya na Marekani ndicho hichohicho Babu zao walikigomea enzi ya utumwa.Mkuu kila la heri. I hope utapata. Watalamu watakuja kukupa hatua zinazofata.
Mimi sijabahatika mwaka huu. Japo kuna watu wanasema tusubiri tar 8 ambayo ni kesho. But sina uhakika.
La mkosajiWakoloni walitusafirisha kwa majahazi kama watumwa kwenda kwao kuwafanyia kazi bure (manamba) kwenye mashamba, viwanda na majumbani kwao, history mbaya sana hii kukumbukwa, maana sio tu kwenda kuwafanyia kazi wazungu bure lakini wengi wao walikufa njiani wakati wakisafirishwa kwa kutoswa majini, msongamano mkubwa, njaa na ugonjwa njiani.
LEO hii miaka 60 baada ya uhuru sababu zilezile za kusafirisha manamba kwenda Marekani, Ulaya na uarabuni ndio sababu hizihizi za watu kwenda huko kwa Green card lottery, Jamani hali hii ni mpaka lini? what are you looking for? Kilichobadilika tu leo ni kitu kimoja tu kutoka manamba walionunuliwa kwenye masoko ya watumwa hadi kwenda kwa green card na baadhi ya sifa za watu wanaohitajika kusafirishwa na aina ya usafiri. Wakati ule walihitaji watu vijana wenye nguvu za kufanya kazi za wakati ule na sasa hivi kwa kutumia green card wanahitaji watu vijana wenye afya wenye elimu na ujuzi maalum kwaajili ya kufanya kazi za wakati huu.
Hii ni kujitafutia balaa wewe mwenyewe na familia yako kwa matumaini feki kabisa huku ukijua kuwa utakwenda kule kufanyakazi kubwa na nyingi sana ili upate chochote kitu wakati nguvu, juhudi na akili hizo ungeweza hata kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu pamoja na kutoa mchango kwenye ujenzi wa taifa lako kwa njia za kodi, tozo na huduma kwa jamii yako.
Jaamaani, Si shauri uombe hiyo kitu, nyambafu!!!!
Wrwe katafute tu kitambulisho cha kupigia kura inatosha, hzyo mengine waachie wayafanyao. Mbona Mnapo bet wenzenu hata hawaumii Mioyo😃Wakoloni walitusafirisha kwa majahazi kama watumwa kwenda kwao kuwafanyia kazi bure (manamba) kwenye mashamba, viwanda na majumbani kwao, history mbaya sana hii kukumbukwa, maana sio tu kwenda kuwafanyia kazi wazungu bure lakini wengi wao walikufa njiani wakati wakisafirishwa kwa kutoswa majini, msongamano mkubwa, njaa na ugonjwa njiani.
LEO hii miaka 60 baada ya uhuru sababu zilezile za kusafirisha manamba kwenda Marekani, Ulaya na uarabuni ndio sababu hizihizi za watu kwenda huko kwa Green card lottery, Jamani hali hii ni mpaka lini? what are you looking for? Kilichobadilika tu leo ni kitu kimoja tu kutoka manamba walionunuliwa kwenye masoko ya watumwa hadi kwenda kwa green card na baadhi ya sifa za watu wanaohitajika kusafirishwa na aina ya usafiri. Wakati ule walihitaji watu vijana wenye nguvu za kufanya kazi za wakati ule na sasa hivi kwa kutumia green card wanahitaji watu vijana wenye afya wenye elimu na ujuzi maalum kwaajili ya kufanya kazi za wakati huu.
Hii ni kujitafutia balaa wewe mwenyewe na familia yako kwa matumaini feki kabisa huku ukijua kuwa utakwenda kule kufanyakazi kubwa na nyingi sana ili upate chochote kitu wakati nguvu, juhudi na akili hizo ungeweza hata kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu pamoja na kutoa mchango kwenye ujenzi wa taifa lako kwa njia za kodi, tozo na huduma kwa jamii yako.
Jaamaani, Si shauri uombe hiyo kitu, nyambafu!!!!
Kaa ukijua kuzaliwa tu Africa hiyo ni loss kubwa mno ya Kwanza..Sasa tz ndo Sina hamu ya kuongea kbsMipango ya kuwa manamba kwa hiari. Huu ni muujiza mkuu, kweli elimu yetu haifai hata kidogo; Babu zetu hawakuwa na elimu hii ya darasani lakini walikataa kupelekwa Ulaya na Marekani kufanyakazi za kimanamba, Leo hii vijana wetu tunaosema wamesoma ndio wanajipeleka wenyewe wakawe manamba. Kiasi hikihiki ambacho vijana wetu wanalipwa Leo huko Ulaya na Marekani ndicho hichohicho Babu zao walikigomea enzi ya utumwa.
Sio kwamba watumwa walikuwa hawalipwi kabisa, walikuwa akilipwa pia lakini sio kama wanacholipwa wenzao weupe kwa kazi ileile.
Utatoboa kule kwa kufanya kazi saaaana na kubana matumizi. Saa nyingine itakulazimu ufanye kazi zaidi ya moja. Hizo nguvu na juhudi unazozitua kutoboa kule kwa masimango hata kama ukiziwekeza hapa tz utatoboa pia kwa heshima.
Utatoboa kule kwa kufanya kazi saaaana na kubana matumizi. Saa nyingine itakulazimu ufanye kazi zaidi ya moja. Hizo nguvu na juhudi unazozitua kutoboa kule kwa masimango hata kama ukiziwekeza hapa tz utatoboa pia kwa heshima.
Kavulata,
Najua mimi na wewe tulikubaliana kutokubaliana katika mada hiii.....lakini mkuu statistics hazidanganyi.....Unajua mwaka uliopita Walioomba Green Card walikuwa wangapi? Hasa kutoka Africa na nchi nyingine za Ulimwengu! Tanzania tu idadi ya wanaoomba Greencard kuja Marekani inaongezeka kila kukicha! Na maendeleo yote yanayozungumzwa nchi za kiafrica.....
Msimamo wangu uko wazi, maisha ni popote pale ambapo panaweza kupata unachokitaka! Na maisha ni mafupi mno! mno! Kuna jamaa namfahamu Ni Engineer na ana kazi nzuri mno Tanzania, na kwa wadhifa wake katembea nchi nyingi ulimwenguni, lakini amepata Green Card yuko US, alipoulizwa kwa nini anataka kuja Marekani alisema, sio pesa tu wala kutoboa, maana Tanzania kisha toboa! anataka "American experience" na anataka mtoto wake apate elimu hapa! Kaja na pesa zake, na yuko kwenye process ya kununua nyumba! Sasa utasemaje!
Mkuu huwezi kuzuia utashi wa mtu kutafuta anachokitaka. Mimi natofautiana na wewe, kwa vile wewe umeingiza chuki binafsi na Marekani badala ya kuwa rational! Mji naokaa US Waarabu na watu kutoka India wameongezeka sana kununua nyumba, na unajua wazi mila na desturi zao ni tofauti na watu wa Marekani in general! Lakini watu hawa kuna kikubwa wanachokitafuta ambacho hakipatikani huko wanakotoka! Marekani sio Paradiso Kavulata! Lakini ukiwa na vibali halali tu ya kuwa hapa, na ukiijua system ya hapa inavyofanya kazi, kwangu mimi ni mahali pazuri kwa kuishi na kukusadia kutimiza kile ambcho unatafuta!
Naomba usisahau msimamo wangu, ambao haubadiliki, kama unaona mambo yako Tanzania hayaendi, si mbaya kujaribu nje ya Tanzania.....kwa upande wangu jaribu Marekani ukiwa na vibali halali vya kuwa US.
Wakoloni walitusafirisha kwa majahazi kama watumwa kwenda kwao kuwafanyia kazi bure (manamba) kwenye mashamba, viwanda na majumbani kwao, history mbaya sana hii kukumbukwa, maana sio tu kwenda kuwafanyia kazi wazungu bure lakini wengi wao walikufa njiani wakati wakisafirishwa kwa kutoswa majini, msongamano mkubwa, njaa na ugonjwa njiani.
LEO hii miaka 60 baada ya uhuru sababu zilezile za kusafirisha manamba kwenda Marekani, Ulaya na uarabuni ndio sababu hizihizi za watu kwenda huko kwa Green card lottery, Jamani hali hii ni mpaka lini? what are you looking for? Kilichobadilika tu leo ni kitu kimoja tu kutoka manamba walionunuliwa kwenye masoko ya watumwa hadi kwenda kwa green card na baadhi ya sifa za watu wanaohitajika kusafirishwa na aina ya usafiri. Wakati ule walihitaji watu vijana wenye nguvu za kufanya kazi za wakati ule na sasa hivi kwa kutumia green card wanahitaji watu vijana wenye afya wenye elimu na ujuzi maalum kwaajili ya kufanya kazi za wakati huu.
Hii ni kujitafutia balaa wewe mwenyewe na familia yako kwa matumaini feki kabisa huku ukijua kuwa utakwenda kule kufanyakazi kubwa na nyingi sana ili upate chochote kitu wakati nguvu, juhudi na akili hizo ungeweza hata kuziwekeza hapahapa nchini kwako na kupata mafanikio makubwa sana ya ajabu pamoja na kutoa mchango kwenye ujenzi wa taifa lako kwa njia za kodi, tozo na huduma kwa jamii yako.
Jaamaani, Si shauri uombe hiyo kitu, nyambafu!!!!
| EUROPE | ||
| ALBANIA 2,001 | GREECE 28 | NORTHERN IRELAND 4 |
| ARMENIA 3,525 | HUNGARY 66 | NORWAY 4 |
| AUSTRIA 34 | ICELAND 4 | POLAND 228 |
| AZERBAIJAN 1,260 | IRELAND 13 | PORTUGAL 10 |
| BELARUS 1,535 | ITALY 154 | Macau 7 |
| BELGIUM 32 | KAZAKHSTAN 1,908 | ROMANIA 228 |
| BOSNIA AND HERZEGOVINA 47 | KOSOVO 413 | RUSSIA 5,505 |
| BULGARIA 161 | KYRGYZSTAN 2,846 | SERBIA 134 |
| CROATIA 12 | LATVIA 48 | SLOVAKIA 20 |
| CYPRUS 8 | LITHUANIA 91 | SLOVENIA 2 |
| CZECH REPUBLIC 19 | MALTA 8 | SPAIN 96 |
| DENMARK 12 | MOLDOVA 670 | SWEDEN 26 |
| Faroe Islands 1 | MONTENEGRO 28 | SWITZERLAND 27 |
| ESTONIA 17 | NETHERLANDS 19 | TAJIKISTAN 2,485 |
| FINLAND 14 | Aruba 4 | TURKEY 3,383 |
| FRANCE 209 | Curacao 1 | TURKMENISTAN 555 |
| GEORGIA 2,071 | Sint Maarten 3 | UKRAINE 3,808 |
| GERMANY 512 | NORTH MACEDONIA 258 | UZBEKISTAN 5,511 |
Kavulata,
Naona mada imerudi sana, hebu angalia hizo Statistics tena........Labda in Summary tu, hizi nchi " Algeria, Egypt, Uzbekistan, Iran and Russia have the highest numbers of selectees for the DV-2023 Program..........Hawa ndio wameongoza kuleta manamba USA.....
Angalia Jedwali..."
EUROPE ALBANIA 2,001 GREECE 28 NORTHERN IRELAND 4 ARMENIA 3,525 HUNGARY 66 NORWAY 4 AUSTRIA 34 ICELAND 4 POLAND 228 AZERBAIJAN 1,260 IRELAND 13 PORTUGAL 10 BELARUS 1,535 ITALY 154 Macau 7 BELGIUM 32 KAZAKHSTAN 1,908 ROMANIA 228 BOSNIA AND HERZEGOVINA 47 KOSOVO 413 RUSSIA 5,505 BULGARIA 161 KYRGYZSTAN 2,846 SERBIA 134 CROATIA 12 LATVIA 48 SLOVAKIA 20 CYPRUS 8 LITHUANIA 91 SLOVENIA 2 CZECH REPUBLIC 19 MALTA 8 SPAIN 96 DENMARK 12 MOLDOVA 670 SWEDEN 26 Faroe Islands 1 MONTENEGRO 28 SWITZERLAND 27 ESTONIA 17 NETHERLANDS 19 TAJIKISTAN 2,485 FINLAND 14 Aruba 4 TURKEY 3,383 FRANCE 209 Curacao 1 TURKMENISTAN 555 GEORGIA 2,071 Sint Maarten 3 UKRAINE 3,808 GERMANY 512 NORTH MACEDONIA 258 UZBEKISTAN 5,511
| AFRICA | ||
| ALGERIA 5,526 | ESWATINI 5 | MOZAMBIQUE 2 |
| ANGOLA 422 | ETHIOPIA 2,761 | NAMIBIA 6 |
| BENIN 404 | GABON 45 | NIGER 78 |
| BOTSWANA 9 | GAMBIA, THE 65 | RWANDA 1,024 |
| BURKINA FASO 137 | GHANA 3,398 | SENEGAL 253 |
| BURUNDI 400 | GUINEA 706 | SIERRA LEONE 522 |
| CABO VERDE 24 | GUINEA-BISSAU 9 | SOMALIA 1,541 |
| CAMEROON 2,392 | KENYA 3,417 | SOUTH AFRICA 222 |
| CENTRAL AFRICAN REPUBLIC 19 | LIBERIA 1,221 | SOUTH SUDAN 53 |
| CHAD 257 | LIBYA 397 | SUDAN 4,863 |
| COMOROS 3 | MADAGASCAR 21 | TANZANIA 165 |
| CONGO, DEMOCRATIC REPUBLIC OF THE 4,385 | MALAWI 23 | TOGO 1,036 |
| CONGO, REPUBLIC OF THE 389 | MALI 90 | TUNISIA 168 |
| COTE D’IVOIRE 552 | MAURITANIA 174 | UGANDA 1,044 |
| DJIBOUTI 249 | MAURITIUS 1 | ZAMBIA 59 |
| EGYPT 5,529 | MOROCCO 4,469 | ZIMBABWE 202 |
| EQUATORIAL GUINEA 4 | Western Sahara 2 | |
| ERITREA 376 |