Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Akili ndefu ni kuwa mkimbizi na kulikana taifa lako na uraia wako? shame. Ikitokea xenophobia unatetemeka na kutafuta pa kujificha. PATA SEMA lakini Mimi ni maskini jeuri, sijuti kuwa mtanzania Wala kuishi Tanzania.
Ni maskini Jeuri kweli! Nakusamehe kwa IQ ndogo, nakusamehe kwa ushamba pia, lakini mpaka kuwa na roho mbaya!
Discussion yangu yote iko centered kwa wale ambao options nyumbani zimekataa, you keep ignoring that!
Kwenye Mada hata hujoa hints au options zozote zile kwa wale graduates wanaotuombe P3 wafungue biashara!
Uko kimya kabisa, sasa kama sio roho mbaya ni nini !
Unakuja kujitapa umejaza Passports kwa kuja Marekani! Hata senti hujawahi kununua ticket ya ndege! Watu tunakuja Tanzania kwa Tickets zetu! Tunazunguka mikoani kuona jamaa kwa tickets zetu! Nimeleta wazazi wangu kunisalimia kwa tickets nilizonunua mwenyewe, nime attend misiba ya ndugu zangu kwa gharama zangu.
Sasa Wewe mshamba unajionyesha kwa kusafirishwa na serikali! Poor you!
Natoa options tu! Niliowasaidia kuingia US kihalali mpaka leo wananishukuru!
Una roho mbaya sana jamaa yangu! Kuzaliwa Kome visiwani, au Igagala, sio justification ya huo wivu na chuki!
Huna uzakendo wala hujui uzalendo nini, umejificha tu ndani ya kichaka hicho!Pathetic and sad!
 
20221110_071434.jpg


Wenzio wana daycare za majibwa

Wazungu bwana
 
Akili ndefu ni kuwa mkimbizi na kulikana taifa lako na uraia wako? shame. Ikitokea xenophobia unatetemeka na kutafuta pa kujificha. PATA SEMA lakini Mimi ni maskini jeuri, sijuti kuwa mtanzania Wala kuishi Tanzania.
Kuwa na green card ni kuukana uraia wako?

We punguani kweli.
 
Kuwa na green card ni kuukana uraia wako?

We punguani kweli.
Inataka misuli mingi kuwaelimisha! Zege la ujinga limeisha kauka! Kulitindua ni kazi ngumu sana! Na jamaa ana smartphone, angekuwa anacheck anachoandika! Ndio elimu yetu hiyo!
 
Ni maskini Jeuri kweli! Nakusamehe kwa IQ ndogo, nakusamehe kwa ushamba pia, lakini mpaka kuwa na roho mbaya!
Discussion yangu yote iko centered kwa wale ambao options nyumbani zimekataa, you keep ignoring that!
Kwenye Mada hata hujoa hints au options zozote zile kwa wale graduates wanaotuombe P3 wafungue biashara!
Uko kimya kabisa, sasa kama sio roho mbaya ni nini !
Unakuja kujitapa umejaza Passports kwa kuja Marekani! Hata senti hujawahi kununua ticket ya ndege! Watu tunakuja Tanzania kwa Tickets zetu! Tunazunguka mikoani kuona jamaa kwa tickets zetu! Nimeleta wazazi wangu kunisalimia kwa tickets nilizonunua mwenyewe, nime attend misiba ya ndugu zangu kwa gharama zangu.
Sasa Wewe mshamba unajionyesha kwa kusafirishwa na serikali! Poor you!
Natoa options tu! Niliowasaidia kuingia US kihalali mpaka leo wananishukuru!
Una roho mbaya sana jamaa yangu! Kuzaliwa Kome visiwani, au Igagala, sio justification ya huo wivu na chuki!
Huna uzakendo wala hujui uzalendo nini, umejificha tu ndani ya kichaka hicho!Pathetic and sad!
Mkuu pumzika usibishane na huyu pimbi ,kwanza muongo hana hata passport anakuzingua tu.
 
Ni maskini Jeuri kweli! Nakusamehe kwa IQ ndogo, nakusamehe kwa ushamba pia, lakini mpaka kuwa na roho mbaya!
Discussion yangu yote iko centered kwa wale ambao options nyumbani zimekataa, you keep ignoring that!
Kwenye Mada hata hujoa hints au options zozote zile kwa wale graduates wanaotuombe P3 wafungue biashara!
Uko kimya kabisa, sasa kama sio roho mbaya ni nini !
Unakuja kujitapa umejaza Passports kwa kuja Marekani! Hata senti hujawahi kununua ticket ya ndege! Watu tunakuja Tanzania kwa Tickets zetu! Tunazunguka mikoani kuona jamaa kwa tickets zetu! Nimeleta wazazi wangu kunisalimia kwa tickets nilizonunua mwenyewe, nime attend misiba ya ndugu zangu kwa gharama zangu.
Sasa Wewe mshamba unajionyesha kwa kusafirishwa na serikali! Poor you!
Natoa options tu! Niliowasaidia kuingia US kihalali mpaka leo wananishukuru!
Una roho mbaya sana jamaa yangu! Kuzaliwa Kome visiwani, au Igagala, sio justification ya huo wivu na chuki!
Huna uzakendo wala hujui uzalendo nini, umejificha tu ndani ya kichaka hicho!Pathetic and sad!
Tanzania ni nchi ambayo bado ni virgin kwa fursa, ndio maana wageni wanakuja huku na briefcases zao tu na kutajirika fasta wakati vijana wetu hawaon options. Sasa tuko watu 61 milioni, yaani soko la watu 61m, lakini tz ni mwanachama wa EAC na SADC soko la watu karibia 500m bado vijana wetu hawana options. Fursa ziko kwenye kilimo, ufugaji (ng'ombe, mbuzi, kondoo, kuku, bata, kanga, mayai, asali, samaki), madini, uvuvi, misitu, utalii, sanaa, michezo, mawasiliano, elimu, afya, nk. Fursa zote hizi ukiona kijana hazioni na anasema amekosa option hata moja kati ya hizi zote na akaamua kuwa mkimbizi akaajiliwe kama mhamiaji ni khabari kubwa sana hiyo. Pengine wakati huu tunapotarajia kubadilisha mitaala yetu ya elimu haya ndio mambo ya kuanza nayo.

Baada ya biashara ya utumwa kufa na waliokuwa watumwa kuachiwa huru na kuanza vurugu kubwa za kudai ujira na fidia halali kwa kazi na muda wa kazi wanazofanya matajiri wengi wa marekani waliamua kuhamishia viwanda vyao na mitaji nje ya Marekani kama vile Asia (Japan, Taiwan, Singapore, Indonesia), Banana Republican, Kenya, etc ambako watapata cheap labor hivyo kupunguza cost of production kisha kuzirudisha bidhaa hizo Marekani na kuuzwa na kupata faida kubwa. Ndio maana Trump alikuwa na campaign ya kuifanya America greater again kwakuwa alikuwa anajaribu kuvirudisha viwanda Amerika tena.

Green card ilibuniwa ili kupata cheap labor kwa zile kampuni na kazi ambazo ilikuwa vigumu kuzihamishia Asia na nchi nyingine. Kazi kwenye viwanda, huduma, mashamba, mahoteli, maduka, shule na vyuo, IT, ambazo haikuwa rahisi kuvihamishia nje ya marekani zilihitaji nguvu kazi ya bei rahisi kutoka nchi zilezile zilizokuwa zinatoka watumwa (maskini) wao. Hivyo msingi mkubwa wa Green card lottery sio huruma za wazungu kwa watu kama sisi, bali kwa manufaa yao wao. Kodi kwao ndio uti wa mgongo.
 
Tanzania ni nchi ambayo bado ni virgin kwa fursa, ndio maana wageni wanakuja huku na briefcases zao tu na kutajirika fasta wakati vijana wetu hawaon options. Sasa tuko watu 61 milioni, yaani soko la watu 61m, lakini tz ni mwanachama wa EAC na SADC soko la watu karibia 500m bado vijana wetu hawana options. Fursa ziko kwenye kilimo, ufugaji (ng'ombe, mbuzi, kondoo, kuku, bata, kanga, mayai, asali, samaki), madini, uvuvi, misitu, utalii, sanaa, michezo, mawasiliano, elimu, afya, nk. Fursa zote hizi ukiona kijana hazioni na anasema amekosa option hata moja kati ya hizi zote na akaamua kuwa mkimbizi akaajiliwe kama mhamiaji ni khabari kubwa sana hiyo. Pengine wakati huu tunapotarajia kubadilisha mitaala yetu ya elimu haya ndio mambo ya kuanza nayo.

Baada ya biashara ya utumwa kufa na waliokuwa watumwa kuachiwa huru na kuanza vurugu kubwa za kudai ujira na fidia halali kwa kazi na muda wa kazi wanazofanya matajiri wengi wa marekani waliamua kuhamishia viwanda vyao na mitaji nje ya Marekani kama vile Asia (Japan, Taiwan, Singapore, Indonesia), Banana Republican, Kenya, etc ambako watapata cheap labor hivyo kupunguza cost of production kisha kuzirudisha bidhaa hizo Marekani na kuuzwa na kupata faida kubwa. Ndio maana Trump alikuwa na campaign ya kuifanya America greater again kwakuwa alikuwa anajaribu kuvirudisha viwanda Amerika tena.

Green card ilibuniwa ili kupata cheap labor kwa zile kampuni na kazi ambazo ilikuwa vigumu kuzihamishia Asia na nchi nyingine. Kazi kwenye viwanda, huduma, mashamba, mahoteli, maduka, shule na vyuo, IT, ambazo haikuwa rahisi kuvihamishia nje ya marekani zilihitaji nguvu kazi ya bei rahisi kutoka nchi zilezile zilizokuwa zinatoka watumwa (maskini) wao. Hivyo msingi mkubwa wa Green card lottery sio huruma za wazungu kwa watu kama sisi, bali kwa manufaa yao wao. Kodi kwao ndio uti wa mgongo.
Na hizo akili zako balaa chapisha majarida basi!Labda utawasadia options vijana na waliokata tamaa.

Anyway toka uonyeshe kuwa kujaa kwa karatasi za Passports ndio kipimo cha akili zako imeondoa kabisa mood ya kuendelea majadiliano na wewe!.
Mwanzoni nilikuwa nadhani you are technocrat! Kumbe a poor imbecile.
Nikipata nafasi nitapitia humu weekend!
 
Mkuu najua sana ninachoongea......wewe una mtazamo wa maisha bora ugenini, everything coming from that ni utumwa na ukimbizi maana umeacha nchi yako na jamii yako nyuma ukikimbia matatizo.
We fal@ ,wewe umetatua tatizo gani hapo Tz ? ,Mpumbav
 
Jambo jingine ni kwamba wazungu wanafanya brain drainage kutoka mataifa mengine kwa wale vijana wenye utaalamu hasa ambao wanaona kuna uhaba, wako very strategic...
Sasa unataka waendelee kukaa kwenye shithole countries hizo wafanye nini ? Kama hamuwatumii ? .
Una akili wewe ?
 
Jamaa anaona mwenge wa olympic, beberu na sikukuu ya kula maboga ni ustaarabu kwakuwa unafanywa na wazungu, kazi ipo. Hapendi bongo kwakuwa hakuna umeme!! cheap reasoning.
We ni taahira na kvma ,kama huwezi kuona lundo la matatizo yaliyomo kwenye hii nchi ,
 
We ni taahira na kvma ,kama huwezi kuona lundo la matatizo yaliyomo kwenye hii nchi ,
huna akili sawa na mama anaemnyonyesha mtoto wa jirani na kumuacha mwanae eti kwasababu mwanawe ana ugonjwa wa upele.
 
Na hizo akili zako balaa chapisha majarida basi!Labda utawasadia options vijana na waliokata tamaa.

Anyway toka uonyeshe kuwa kujaa kwa karatasi za Passports ndio kipimo cha akili zako imeondoa kabisa mood ya kuendelea majadiliano na wewe!.
Mwanzoni nilikuwa nadhani you are technocrat! Kumbe a poor imbecile.
Nikipata nafasi nitapitia humu weekend!
wewe fanyakazi huko kimyakimya bila kuikashifu tanzania na kushawishi vijana waasi nchi yao kizembe.
 
kavulata said:
mimi nina akili nyingi balaa, passport yangu imejaa safari za kuja na kutoka Marekani, lakini sio kukaa na kulipa kodi huko kama zuzu, I proud of my homeland.

Akili nyingi balaa ni Passport kujaa! Nawajua watu kama nyinyi wamejana Wizarani na safari nyingi nje ya Nchi bila tija yoyote! Na kinachosikitisha zaidi hakuna chochote wanachojifunza! Katika watu waharibifu wa pesa za Umma ni kama ninyi!
Ina kera zaidi pale umeona dunia unakuja na mwazo duni kama haya! Shule umekwenda! Ila umekuwa Zuzu! Elimu za Africa hizo ziko kwenye display! Unawakilisha wasomi wengi! Sindano! Viberiti, karatasi za chooni! bado tunaagiza toka nje! Na bado tunawaita watujengee vyoo vya kunya watoto wetu! Hivi kweli kuna mategemeo watu kama ninyi wakichukua nchi!

Kweli unazidii kujiumbua. sasa wewe na Mwanakijiji aliyeko Litembo una tofauti gani!Au na mtu aliyekomea standard 7 tofauti kubwa na wewe ni ipi hasa?

Miaka 60! HAKUNA UMEME, HAKUNA MAJI na kuna jitu linajisifu Passport kujaa! Wazungu wanatucheka sana! Sasa kama kila siku unadhurura Duniani nini hasa umejifunza? Ndio kuleta uzi huu? Mbona unajiumbua mkuu!

Unasema hutaki kukaa Marekani kulipa kodi! Huna haja kabisa! Maana kuna kodi za wanyonge ambao umeshirikiana na Chama tawala kuwagawiya fulana za njano/Kijani na khanga, kuiba uchaguzi, hata dhamira na haya hunazo!

Akili balaa ni kujaza Passport! Sio kutatua tatizo la ajira au nishati! Na vijana tunaowajaribu kuwapa uthubutu wa kujaribu nje unawatisha! Najua unajua wazi wakitoka watafunguka macho! Ndio maana mna hofu na uraia wa nchi mbili!
Sijui hata kama una imani ya dini! Maana dhamira ingekuhangaisha! Akili imekufa kiasi cha kwamba akili inapimwa kwa kujaza karatasi za Passport! Na kwako mgao wa maji na umeme ni kitu cha kawaida! Hufikirii hata utambuzi! Unangoja Warsha na semina za kimataifa!

Huwa nawaona watu kama ninyi Airport! mmevaa Kaunda suti, au Suti za safari, na briefcases mikononi! Utafikiri mnakuja kufanya ya maana kumbe shopping!

Siwezi kuwa najibisha na mweye akili anayoipima kwa kujaza Passport!
Unaandika uzi mrefu garbage na uharo mtupu .
Low Iq idiot
 
Dumbi aliyeanzisha uzi huu anasema ana akili balaa! Kisa kajaza karatasi za Passport! Ndio kipimo cha akili yake! Dumbi Tanzania tulilogwa! Sijui na nani! Huyu ndio msomi nguli! Anayezunguka Duniani
Halafu utakuta simbilisi kama hii ina cheo /nyadhifa ya maamuzi huko srrikalini .
Aiseee
 
Vipi? Lumumba kashindwa? Kama ni ni kweli ataumia sana! Juhudi zote zile! amepiga Vuvuzela makanisani, mikutano ya hadhara. warsha nk! Ohhh Greencard ni modern slave trade! Lakini Wakenya wameonyesha the opposite!
Kina Lumumba na huku kwetu wanaojiita Critical Thinker wanashindwa kuona tatizo ni nini hasa? Miaka 60 ya uhuru ya bado matatizo ni yale yale! Ajira shida! maji shida! Siasa kandamizi na za dhulumati, Na hata hao wasomi hujui wamelishwa nini!
Wanashindwa kujua wapi wamekwamisha nchi zao!
 
huna akili sawa na mama anaemnyonyesha mtoto wa jirani na kumuacha mwanae eti kwasababu mwanawe ana ugonjwa wa upele.
Ungekuwa na akili ungekuwa unaandika uharo unaoandika hapa .
Kvma wewe
 
Tanzania ni nchi ambayo bado ni virgin kwa fursa, ndio maana wageni wanakuja huku na briefcases zao tu na kutajirika fasta wakati vijana wetu hawaon options. Sasa tuko watu 61 milioni, yaani soko la watu 61m, lakini tz ni mwanachama wa EAC na SADC soko la watu karibia 500m bado vijana wetu hawana options. Fursa ziko kwenye kilimo, ufugaji (ng'ombe, mbuzi, kondoo, kuku, bata, kanga, mayai, asali, samaki), madini, uvuvi, misitu, utalii, sanaa, michezo, mawasiliano, elimu, afya, nk. Fursa zote hizi ukiona kijana hazioni na anasema amekosa option hata moja kati ya hizi zote na akaamua kuwa mkimbizi akaajiliwe kama mhamiaji ni khabari kubwa sana hiyo. Pengine wakati huu tunapotarajia kubadilisha mitaala yetu ya elimu haya ndio mambo ya kuanza nayo.

Baada ya biashara ya utumwa kufa na waliokuwa watumwa kuachiwa huru na kuanza vurugu kubwa za kudai ujira na fidia halali kwa kazi na muda wa kazi wanazofanya matajiri wengi wa marekani waliamua kuhamishia viwanda vyao na mitaji nje ya Marekani kama vile Asia (Japan, Taiwan, Singapore, Indonesia), Banana Republican, Kenya, etc ambako watapata cheap labor hivyo kupunguza cost of production kisha kuzirudisha bidhaa hizo Marekani na kuuzwa na kupata faida kubwa. Ndio maana Trump alikuwa na campaign ya kuifanya America greater again kwakuwa alikuwa anajaribu kuvirudisha viwanda Amerika tena.

Green card ilibuniwa ili kupata cheap labor kwa zile kampuni na kazi ambazo ilikuwa vigumu kuzihamishia Asia na nchi nyingine. Kazi kwenye viwanda, huduma, mashamba, mahoteli, maduka, shule na vyuo, IT, ambazo haikuwa rahisi kuvihamishia nje ya marekani zilihitaji nguvu kazi ya bei rahisi kutoka nchi zilezile zilizokuwa zinatoka watumwa (maskini) wao. Hivyo msingi mkubwa wa Green card lottery sio huruma za wazungu kwa watu kama sisi, bali kwa manufaa yao wao. Kodi kwao ndio uti wa mgongo.

kavulata said:
mimi nina akili nyingi balaa, passport yangu imejaa safari za kuja na kutoka Marekani, lakini sio kukaa na kulipa kodi huko kama zuzu, I proud of my homeland.

Unajiona analyst, Inachekesha sana! Hizo nadharia za miaka 60! Akina Wadada Nabure, Ali Mazrui, Shivji na wengineo waliziimba chuoni, wasomi kama wewe enzi hizo, baada ya kuzimeza unajua nini kilitokea miaka ya 70 na themanini!
Tuliishia kupanga foleni ya unga wa yanga! na kununua dawa ya mswaki kwa magendo! walipoiingia makazini Mashirika ya Umma yote Puh! Chini! Wasomi hao hao wakaaingia kwenye siasa, hakuna lolote! Ndio tuko hapa leo! Mara Ngorongoro Imeuzwa, Mara twiga wanapelekwa uarabuni! Mara Richmond, Mara mabehewa ya Makinika! Mara wanaita mabeberu watuchimbia vyoo watoto wetu! Wanaofanya hayo ndio waliokuwa kwenye lectures za akina Shivji, na walikariri " How Europe undeveloped Africa" ya Walter Rodney kama Biblia na Quran!

Sasa imekuja generation ya Mh Kavuluta! anatuambia ana akili nyingi balaa! Kisa passport imejaa! Ndio kipimo cha akili yake! Anaiponda Marekani hapo hapo kigezo cha akili yake ni kuja Marekani! Tuna mengi ya kutafakari kwa wasomi kama hawa!

Kweli vituko haviishi! Nimekushauri acha kupoteza muda Jamii Forum! Andika Vijarida! Mtafute Lumumba Kenya muulize kulikoni!

Anyway nukuu hii ndio nukuu ya wiki" mimi nina akili nyingi balaa, passport yangu imejaa safari za kuja na kutoka Marekani, lakini sio kukaa na kulipa kodi huko kama zuzu, I proud of my homeland."

Weekend Njema!
 
We fal@ ,wewe umetatua tatizo gani hapo Tz ? ,Mpumbav
Pumbav ni wewe unayekubali kushikishwa ukuta kwa kupenda mtelezo........si ajabu mtu kama wewe uko tayari kuolewa na mzungu ili uendelee kukaa ulaya, au watu wa dizaini yako ndo walio tayari kuwa mbwa ulaya........kosa vyote usiwe maskini wa fikra.
 
wewe fanyakazi huko kimyakimya bila kuikashifu tanzania na kushawishi vijana waasi nchi yao kizembe.


kavulata said:
mimi nina akili nyingi balaa, passport yangu imejaa safari za kuja na kutoka Marekani, lakini sio kukaa na kulipa kodi huko kama zuzu, I proud of my homeland.

Msomi huyo! Greencard ni kuasi Nchi! Na kuikashifu nchi yako ni kusema kwa akili zake kubwa balaa, aanze kwanza kutatua mgao wa umeme ! asaidie kuondoa tatizo la maji! atoe hata options tu vijana wafanye nini! Hayo kwake ni Matusi!

Akiambiwa mabeberu walikuja kuchimba vyoo ili watoto wetu wanye! ni Matusi! Ukimwambia mabeberu walitutelea vyandalua ni matusi! Mgao wa Kondom unahitaji msaada wao, ni Matusi!
Na waliofanya ni wasomi wenye akili nyingi balaa!

Nukuu ya wiki! ......
 
Back
Top Bottom