Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Bora huko mana hata mgao wa maji hakuna wala wa umeme!
Na hata ikitokea ajali ya ndege unajua uwezekano wa kuokolewa haraka ni mkubwa na sio usubiri kamba ikuvute!
😂😂😂
 
Huyu jamaa kavulata huenda ni chawa mmoja wa CCM anakula na kusaza kupitia Rushwa...akishashiba anakuja kuandika makasiriko yake huku JF...na kumalizia hasira zake zake huku.
mimi ni chawa wa watu wangu, ninajisikia vizuri na furaha kuhudumia watanzania wenzangu wanaohitaji akili, nguvu na maarifa yangu. Kwani ninafahamu kuwa kwavyovyote vile ninahitaji nyumba moja tu, kitanda kimoja tu, shamba moja tu, gari moja tu, sahani moja tu ya chakula, kusomesha watoto wangu kabla sijakufa. Siku za mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke sio nyingi sana na zilizojaa taabu. Nikishindwa kabisa kuwafanyia mema watu wangu basi nitapanda japo miti 3 ya kivuli na miti 5 ya matunda ili siku nikifa iwasaidie kwa kivuli na matunda. Kamwe kamwe siwezi kuwa mkimbizi hata kama unipe dunia yote, maana mimi ninapita lakini nchi yangu itabakia. Yaani wazungu wanatudharau sana kwa tabia yetu hii ya kipumbavu, ni heri kuwa mkimbizi wa nchi za kiafrika kuliko za wazungu. Huyo ndio mimi.
 
Kwanini mnatafutwa wenye elimu kwenda kule haraka?: hii ndiyo trend yao


 
Ndugu Kavulata salama huko?

Najua wengi tuko absorbed na World Cup, na kila mtu akiomba dua timu yake ifanikiwe, na tukiomba kizalendo, basi mioyo yetu iko katika timu zetu bara la Africa, ingawa hatujui zilizobaki zitatufikisha wapi hasa! Anyway nilikuwa nasoma magazeti na updates za Immigration US, na nikaona hiyo nukuu yako inayosema Tanzania ina fursa nyingi kwa vijana kuliko Marekani! Huwa nabakia kushangaa, mbona hutoi statistics? Na kama nilivyosema toka awali, huwezi kulinganisha Uchumi wa Marekani na Tanzania! Utakuwa hauko fare kabisa, ni kukusoma ufahamu wa elimu ya msingi katika uchumi!

Hata hivyo kama Marekani haina fursa kama unavyosema wewe, kitu gani kinafanya Idadi ya watu wanaochukua uraia wa Marekani kuwa kubwa kila Mwaka? Na China miaka mingi ndio imekuwa ikiongoza kwa watu wake kuchukua uraia wa Marekani unasemaje kwa hilo? Hao Wachina hawajui wanalolifanya?

Soma taarifa hii:


Immigration naturalizations in the US highest in a decade​

Naturalizations among immigrants from almost every country have rebounded since the pandemic started.

Story at a glance


  • The number of immigrants becoming citizens via naturalization is at 10-year high, according to a new Pew Research Center survey.

  • Naturalizations are up among immigrants from every country except China.

  • While historically immigrants from China have been one of the top 10 groups to earn citizenship through naturalization, naturalizations have gone down by 20 percent compared to the pre-pandemic average.

The number of immigrants choosing to become citizens is increasing in the United States after a striking drop at the beginning of the pandemic, a new study shows.

An analysis from the Pew Research Center published Friday found that over 900,000 U.S. immigrants became citizens of the U.S. in the 2022 fiscal year.

That total represents the third-highest number of immigrants becoming citizens in a single year on record and the most of in any fiscal year since 2008, according to the analysis.

Pew researchers looked at data from the Department of Homeland Security and the Census Bureau released during the first three-quarters of the year.

The spike in naturalizations coincides with an uptick in immigrants receiving lawful green cards and more foreign students, tourists and other lawful temporary migrants arriving in the country after an early pandemic dip, according to another Pew survey.

Researchers found that naturalizations in the United States are back to where they were before the pandemic began in 2020.

For about roughly a decade before the pandemic, the average number of naturalizations per three months in the United States was 190,000.

That number plummeted to 81,000 between April and June of 2020 during the early months of the coronavirus outbreak, the analysis found.

Naturalizations finally rebounded and surpassed the country’s quarterly average by 10,0000 in early 2021.

Naturalizations from immigrants from most countries have gone up by 20 percent their pre-pandemic averages, researchers found.

But researchers were surprised that there has only been an 8 percent increase in naturalizations from immigrants from Mexico compared to the nation’s pre-pandemic average.

The country has home to the most immigrants who achieve citizenship through naturalization every year for the past 25 years.

Meanwhile, naturalizations among immigrants from sub-Saharan Africa, Asia, Latin America and the Middle East and North Africa have gone up by 15 to 26 percent more compared to their pre-pandemic average, according to the survey.

One exception to the upward trend is China. The naturalization rate among immigrants from China has plummeted, decreasing by 20 percent compared to pre-pandemic levels.

Swala la msingi ambalo la kujiuliza Mwaka 2022 idadi ya watu kama 900,000. waliamua kuchukua uraia wa Marekani, unadhani ni nini hasa kiliwasukuma kufanya hivyo! Jibu la msingi ni kwamba huko walikotoka kuna fursa chache kulinganisha na Marekani! Licha ya yote utakayoyasema kuhusu USA, lakini kuna fursa za msingi wengi watu wa kuja tumeziona kuliko tuliko toka.
cassavaleaves inaonekana wewe huijui America vizuri, unafuata mkumbo tu na uko bize sana na vibarua. Sikiliza takwimu. Yaani wenyewe wanasema hali ni ngumu wewe unasema hali ni nzuri, unamdanganya nani kwa maslahi gani?
 
cassavaleaves inaonekana wewe huijui America vizuri, unafuata mkumbo tu na uko bize sana na vibarua. Sikiliza takwimu. Yaani wenyewe wanasema hali ni ngumu wewe unasema hali ni nzuri, unamdanganya nani kwa maslahi gani?

Kavulata always you argue like a layman! Moja hunijui kabisa, mbili sihangaiki na vibarua, na watu wote wa kuja walio na akili timamu toka nje hatuishi katika povert line.
Hiyo ni kwa wazawa ambao wame abuse all the privileges za US!
Niko US I owner the house, najua kuna wazawa hawana nyumba! My kids ni graduates ! Hawafanyi vibarua! Nawajua Wamerekani ambao hawajamaliza vyuo.

Naujua mno umaskinii wa US. Na najua umasikini wa USA compare na wa nchi za third world! Nimetembea ulimwenguni kuliko wewe, nazijua slums za India, Mathare Kenya, Slums za West Africa! Huwezi kulinganisha na umasikini wa US kwa kiwango chochote.
Na jambo la mwisho kabisa la kuzingatia, tembelea sehemu za umaskini za US, hukuti labisa watu wa kuja kama sisi! Hujukuti Mchina! Mhindi! Na vigumu kabisa kukuta hata Mnaigeria! Maana watu kama sisi tukifika huku tunajua tumekuja kufanya nini!
Huijui Mare kabisa, hujui dynamics za US.
Swali kubwa kwako, kwa nini basi kila mwaka number ya wanaotaka kuingia US toka nje inaongezeka! Wao hawajaona hiyo poverty? Wewe tu ndio umeona! Wewe ndio mjuaji kuliko hao maelfu wanaoingia Marekani?
Bado narudia Marekani ukiwa na legal papers ni rahisi mno kufika mahali ambapo huwezi kufika Tanzania.

Na jambo lingine Kavulata, ambalo hutaki au kwa makusudi kabisa hulizungumzii, ni kuwa toka mwanzoni nimesema na narudia kusema, kwa wale ambao options za nyumbani Tanzania zimefungwa, si vibaya kujaribu nje ya nchi! Wewe unanifanya kama na advocate kila mtu aje Marekani!
Nauridia tena msimamo wangu, kwa wale ambao options za kutimiza ndoto zako Tanzania zimefungwa, jaribu nje ya Tanzania!
Usidanganywe wala kutishwa na watu kama kina Kavulata! Mpaka mada hii ilipiofika hajatoa options zozote zile kwa wengi wasio na ajira bongo! Wapi wakapate mikopo au wafanye nini.
Kavulata, ukija Marekani nitafute! Kwa nini tuandikie mate wino upo!
Mwakani Mwenyezi Mungu akipenda nakuja bongo! Tutafutane, tunywe kahawa na kufahamiana!
 
Kavulata always you argue like a layman! Moja hunijui kabisa, mbili sihangaiki na vibarua, na watu wote wa kuja walio na akili timamu toka nje hatuishi katika povert line.
Hiyo ni kwa wazawa ambao wame abuse all the privileges za US!
Niko US I owner the house, najua kuna wazawa hawana nyumba! My kids ni graduates ! Hawafanyi vibarua! Nawajua Wamerekani ambao hawajamaliza vyuo.

Naujua mno umaskinii wa US. Na najua umasikini wa USA compare na wa nchi za third world! Nimetembea ulimwenguni kuliko wewe, nazijua slums za India, Mathare Kenya, Slums za West Africa! Huwezi kulinganisha na umasikini wa US kwa kiwango chochote.
Na jambo la mwisho kabisa la kuzingatia, tembelea sehemu za umaskini za US, hukuti labisa watu wa kuja kama sisi! Hujukuti Mchina! Mhindi! Na vigumu kabisa kukuta hata Mnaigeria! Maana watu kama sisi tukifika huku tunajua tumekuja kufanya nini!
Huijui Mare kabisa, hujui dynamics za US.
Swali kubwa kwako, kwa nini basi kila mwaka number ya wanaotaka kuingia US toka nje inaongezeka! Wao hawajaona hiyo poverty? Wewe tu ndio umeona! Wewe ndio mjuaji kuliko hao maelfu wanaoingia Marekani?
Bado narudia Marekani ukiwa na legal papers ni rahisi mno kufika mahali ambapo huwezi kufika Tanzania.

Na jambo lingine Kavulata, ambalo hutaki au kwa makusudi kabisa hulizungumzii, ni kuwa toka mwanzoni nimesema na narudia kusema, kwa wale ambao options za nyumbani Tanzania zimefungwa, si vibaya kujaribu nje ya nchi! Wewe unanifanya kama na advocate kila mtu aje Marekani!
Nauridia tena msimamo wangu, kwa wale ambao options za kutimiza ndoto zako Tanzania zimefungwa, jaribu nje ya Tanzania!
Usidanganywe wala kutishwa na watu kama kina Kavulata! Mpaka mada hii ilipiofika hajatoa options zozote zile kwa wengi wasio na ajira bongo! Wapi wakapate mikopo au wafanye nini.
Kavulata, ukija Marekani nitafute! Kwa nini tuandikie mate wino upo!
Mwakani Mwenyezi Mungu akipenda nakuja bongo! Tutafutane, tunywe kahawa na kufahamiana!
Kavulata,
Unanichekesha sana kuwa sijui umaskini wa US, sihitaji clips za YouTube, njoo nikupeleke South Dallas, hizo picha ni afadhali! Lakini umaskini huo unaelezeka!
Nakuuliza unajua umaskini wa Tanzania? Nimeikatisha Tanzania kila pande! Mojawapo ya kila pande! Kazi yangu Tanzania ilikuwa hiyo! Nimekwambia si umaskini wa Tanzania tu! Nimekatiza slums zenye umaskini Afrika hata Tanzania hatujafika huko!
Hivyo huwezi hata chembe kunieleza kwa hilo! Nikienda South Dallas nitakuletea picha za umaskini kuliko hizo zako, halafu nilinganishe na maskini wa Tanzania!
 
Kavulata always you argue like a layman! Moja hunijui kabisa, mbili sihangaiki na vibarua, na watu wote wa kuja walio na akili timamu toka nje hatuishi katika povert line.
Hiyo ni kwa wazawa ambao wame abuse all the privileges za US!
Niko US I owner the house, najua kuna wazawa hawana nyumba! My kids ni graduates ! Hawafanyi vibarua! Nawajua Wamerekani ambao hawajamaliza vyuo.

Naujua mno umaskinii wa US. Na najua umasikini wa USA compare na wa nchi za third world! Nimetembea ulimwenguni kuliko wewe, nazijua slums za India, Mathare Kenya, Slums za West Africa! Huwezi kulinganisha na umasikini wa US kwa kiwango chochote.
Na jambo la mwisho kabisa la kuzingatia, tembelea sehemu za umaskini za US, hukuti labisa watu wa kuja kama sisi! Hujukuti Mchina! Mhindi! Na vigumu kabisa kukuta hata Mnaigeria! Maana watu kama sisi tukifika huku tunajua tumekuja kufanya nini!
Huijui Mare kabisa, hujui dynamics za US.
Swali kubwa kwako, kwa nini basi kila mwaka number ya wanaotaka kuingia US toka nje inaongezeka! Wao hawajaona hiyo poverty? Wewe tu ndio umeona! Wewe ndio mjuaji kuliko hao maelfu wanaoingia Marekani?
Bado narudia Marekani ukiwa na legal papers ni rahisi mno kufika mahali ambapo huwezi kufika Tanzania.

Na jambo lingine Kavulata, ambalo hutaki au kwa makusudi kabisa hulizungumzii, ni kuwa toka mwanzoni nimesema na narudia kusema, kwa wale ambao options za nyumbani Tanzania zimefungwa, si vibaya kujaribu nje ya nchi! Wewe unanifanya kama na advocate kila mtu aje Marekani!
Nauridia tena msimamo wangu, kwa wale ambao options za kutimiza ndoto zako Tanzania zimefungwa, jaribu nje ya Tanzania!
Usidanganywe wala kutishwa na watu kama kina Kavulata! Mpaka mada hii ilipiofika hajatoa options zozote zile kwa wengi wasio na ajira bongo! Wapi wakapate mikopo au wafanye nini.
Kavulata, ukija Marekani nitafute! Kwa nini tuandikie mate wino upo!
Mwakani Mwenyezi Mungu akipenda nakuja bongo! Tutafutane, tunywe kahawa na kufahamiana!
Ni kweli unachosema, kule kwenye mashamba ya mkonge na yalipo machimbo ya madini kulikuwa na wazawa ambao hawakushirikishwa kwenye kazi za shambani na uchimbaji madini. Hii ilisababisha wageni (manamba) kuwa na nafuu ya kiuchumi kuliko wazawa, na hiki ndicho unachokisema hapa, kuwa manamba mna hali ya afadhali kidogo kuliko baadhi ya wazawa. Hata mimi silipingi hilo kwakuwa nafahamu kuwa mgeni hawezi kuchagua kazi na mshahara, hata wazaramo huku Dar wana hali mbaya kuliko wageni. Shida yangu kwako ni wewe kuonyesha kuwa US kuko shwari kabisa hakuna asiyekuwa na shida hata kidogo huku ukijua kuwa unawadanganya. Ni heri ukamwambia kijana ukweli ili msije kulaumiana. Sio kweli kwamba wageni wote mko shwali na salama kabisa huko ugenini, kusema hivyo ni uongo mwingine mpya kwa vijana wa kibongo. Yaani unataka kuwaaminisha kuwa US hakuna matata kwa wageni wote. Mimi ninawafahamu vijana wa bongo ambao wanalala kwenye magari yao, nawafahamu vijana wa bongo ambao wamefungwa kwa uhalifu, nawafahamu vijana wa kibongo ambao wanatamani kurudi nyumbani lakini wanashindwa ama kwa kukosa nauli, passport, visa kwisha au kujisikia aibu kurudi tz bila kitu cha maana.
 
Kavulata,
Unanichekesha sana kuwa sijui umaskini wa US, sihitaji clips za YouTube, njoo nikupeleke South Dallas, hizo picha ni afadhali! Lakini umaskini huo unaelezeka!
Nakuuliza unajua umaskini wa Tanzania? Nimeikatisha Tanzania kila pande! Mojawapo ya kila pande! Kazi yangu Tanzania ilikuwa hiyo! Nimekwambia si umaskini wa Tanzania tu! Nimekatiza slums zenye umaskini Afrika hata Tanzania hatujafika huko!
Hivyo huwezi hata chembe kunieleza kwa hilo! Nikienda South Dallas nitakuletea picha za umaskini kuliko hizo zako, halafu nilinganishe na maskini wa Tanzania!
Kavulata: ni dakika 55 tu toka napoishi na South Dallas, wengi wa maskini hao wame abuse kila options za serikali!Je Marekani shule za awali ni bure! Vyuo vina grants/ loans za serikali, watu wenye kipato cha chini wana upendeleo zaidi!
Lakini unakuta mtu ame abuse hizo privileges, unategemea nini!
Kwa mtanzania
Kavukata, Mada hii umeianzisha mwenyewe, lakini umekua ukihamisha magoli mba katika posting zako, mada haikua kabisa ku compare umaskini wa Marekani na Tanzania! Kitu ambacho hata mjinga hawezi kufanya!
Mada imekuwa ni kuja Marekani! Na msimamo wangu umekua kama options nyumbani zimeshindikana jaribu nje!
Why are so negative kwa watu kujaribu nje ya nchi! Na kwa nini unakataa mtu hawezi kufanikiwa Marekani?
Narudia tena with the legal papers in your hands, na ukijua umekuja kutafuta nini Marekani ina nafasi kubwa sana.
 
Ni kweli unachosema, kule kwenye mashamba ya mkonge na yalipo machimbo ya madini kulikuwa na wazawa ambao hawakushirikishwa kwenye kazi za shambani na uchimbaji madini. Hii ilisababisha wageni (manamba) kuwa na nafuu ya kiuchumi kuliko wazawa, na hiki ndicho unachokisema hapa, kuwa manamba mna hali ya afadhali kidogo kuliko baadhi ya wazawa. Hata mimi silipingi hilo kwakuwa nafahamu kuwa mgeni hawezi kuchagua kazi na mshahara, hata wazaramo huku Dar wana hali mbaya kuliko wageni. Shida yangu kwako ni wewe kuonyesha kuwa US kuko shwari kabisa hakuna asiyekuwa na shida hata kidogo huku ukijua kuwa unawadanganya. Ni heri ukamwambia kijana ukweli ili msije kulaumiana. Sio kweli kwamba wageni wote mko shwali na salama kabisa huko ugenini, kusema hivyo ni uongo mwingine mpya kwa vijana wa kibongo. Yaani unataka kuwaaminisha kuwa US hakuna matata kwa wageni wote. Mimi ninawafahamu vijana wa bongo ambao wanalala kwenye magari yao, nawafahamu vijana wa bongo ambao wamefungwa kwa uhalifu, nawafahamu vijana wa kibongo ambao wanatamani kurudi nyumbani lakini wanashindwa ama kwa kukosa nauli, passport, visa kwisha au kujisikia aibu kurudi tz bila kitu cha maana.
Una hakika unachokisema? Umeandika, sasa kama umekuja Marekani kufanya uhalifu unategemea nini! Mbona Tanzania tunafunga Wachina waliofanya uhalifu? Nawajua sana watu toka nje ambao wamekuja kuwekeza wakaacha kilicho waleta wakafungwa!
Kwa hivyo Mtanzania akijiingiza katika Uhalifu US asifungwe?
Please make your arguments as a learned person!
 
Una hakika unachokisema? Umeandika, sasa kama umekuja Marekani kufanya uhalifu unategemea nini! Mbona Tanzania tunafunga Wachina waliofanya uhalifu? Nawajua sana watu toka nje ambao wamekuja kuwekeza wakaacha kilicho waleta wakafungwa!
Kwa hivyo Mtanzania akijiingiza katika Uhalifu US asifungwe?
Please make your arguments as a learned person!
Kuna Watanzania waliofungwa China! Na bado kuna watanzania wanaenda kubeba mali China! Hivyo utasemaje? Tuwakataze watu ambao wanajua wanakwenda kutafuta mali China sababu ya wahalifu!
Ukiingia Marekani ni chaguo lako! Ukitaka unshielded strip clubs! Night clubs , uingie criminal activities ni juu yako tu!
Kwani Tanzania hakuna watu namna hiyo magerezani!
Zungumza ukiwa kama una akili tafadhali!
 
Kavulata,
Unanichekesha sana kuwa sijui umaskini wa US, sihitaji clips za YouTube, njoo nikupeleke South Dallas, hizo picha ni afadhali! Lakini umaskini huo unaelezeka!
Nakuuliza unajua umaskini wa Tanzania? Nimeikatisha Tanzania kila pande! Mojawapo ya kila pande! Kazi yangu Tanzania ilikuwa hiyo! Nimekwambia si umaskini wa Tanzania tu! Nimekatiza slums zenye umaskini Afrika hata Tanzania hatujafika huko!
Hivyo huwezi hata chembe kunieleza kwa hilo! Nikienda South Dallas nitakuletea picha za umaskini kuliko hizo zako, halafu nilinganishe na maskini wa Tanzania!
Hapo sasa tunaanza kuelewena kwa mbali. hakuna ubishi kuwa US ni taifa kubwa, hakuna ibishi kuwa matajiri wakubwa wako marekani, na hakuna ubishi kuwa US ni taifa la wahamiaji mwanzo mwisho ukiachilia mbali wale red Indies (wazawa), hakuna ubishi kuwa wamarekani mmoja mmoja ni watu wema sana, wenye huruma na wastaarabu kupitiliza, fursa zipo Lakini hakuna ubishi kuwa maisha huko ni ALL or NONE yaani DO or DIE, hakuna vuguvugu, no free lunch, no free zone. Jambo hili ni lazima mlihubiri sana kila unapokutana na kijana anaetaka kuja huko kujaribu bahati yake. Wewe na vijana wenzako fungeni mikanda kama mnavyofanya sasa mpate mitaji ya kuwekeza kwenu badala ya kupanga kufia ugenini wewe na wajukuu zako. Hapa nilitaka tu kukuonyesha umaskini wa kipato na ule wa chakula is everywhere worldwide, bahati nzuri mimi niliishi sana vijijini huko kwa miaka mingi sana hivyo nafahamu nini ninakisema.
 
Hapo sasa tunaanza kuelewena kwa mbali. hakuna ubishi kuwa US ni taifa kubwa, hakuna ibishi kuwa matajiri wakubwa wako marekani, na hakuna ubishi kuwa US ni taifa la wahamiaji mwanzo mwisho ukiachilia mbali wale red Indies (wazawa), hakuna ubishi kuwa wamarekani mmoja mmoja ni watu wema sana, wenye huruma na wastaarabu kupitiliza, fursa zipo Lakini hakuna ubishi kuwa maisha huko ni ALL or NONE yaani DO or DIE, hakuna vuguvugu, no free lunch, no free zone. Jambo hili ni lazima mlihubiri sana kila unapokutana na kijana anaetaka kuja huko kujaribu bahati yake. Wewe na vijana wenzako fungeni mikanda kama mnavyofanya sasa mpate mitaji ya kuwekeza kwenu badala ya kupanga kufia ugenini wewe na wajukuu zako. Hapa nilitaka tu kukuonyesha umaskini wa kipato na ule wa chakula is everywhere worldwide, bahati nzuri mimi niliishi sana vijijini huko kwa miaka mingi sana hivyo nafahamu nini ninakisema.
Kavulata; umehamisha magoli sana kwenye Mada uliyoileta mwenyewe! Inaonyesha mada yako ilikuwa na mengi mno ndani yako! Hatukuwa kabisa tunalinganisha Utajiri/ Umaskini wa Marekani, wote tutaonekana wajinga, maana statistics ziko wazi!
Umekuwa unahama mno kwenye Mada hii! Mpaka naona kama unasukumwa na chuki binafsi na USA! Ambapo sikukatazi kabisa kuwa na mtazamo huo!
Lakini nashindwa kabisa kukuelewa hata wale ambao wana nia ya kuja unawakatisha tamaa!
Wewe una failure story za watu waliokuja US, mimi sikukatalii kabisa! Nimechangia nauli ya watu waliokuja US wakapoteza focus! Hata wengekuwa bongo wangeshindwa tu! Umalaya wa kupindukia, ulevi haumfikishi mtu mahali popote, sembuse ugenini!
Mimi nina success stories! Hutaki kabisa kuzisikia! Hapo ndipo unaponishangaza! Wewe umeniambia ni msomi, na umekuja mara nyingi US, mimi sijabisha!!Ila mimi nitapokueleza nina nyumba US, watoto wangu wemesoma na kufanikiwa, na wafahamu Watanzania wengi ambao siwezi kutoa majina yao humu wana mafanikio makubwa kunizidi mimi! Kwako inakua ngumu mno!
Umejiwekea ukuta mkubwa mno! Kwa msomi kama wewe inakua tabu kidogo!
 
Kavulata; umehamisha magoli sana kwenye Mada uliyoileta mwenyewe! Inaonyesha mada yako ilikuwa na mengi mno ndani yako! Hatukuwa kabisa tunalinganisha Utajiri/ Umaskini wa Marekani, wote tutaonekana wajinga, maana statistics ziko wazi!
Umekuwa unahama mno kwenye Mada hii! Mpaka naona kama unasukumwa na chuki binafsi na USA! Ambapo sikukatazi kabisa kuwa na mtazamo huo!
Lakini nashindwa kabisa kukuelewa hata wale ambao wana nia ya kuja unawakatisha tamaa!
Wewe una failure story za watu waliokuja US, mimi sikukatalii kabisa! Nimechangia nauli ya watu waliokuja US wakapoteza focus! Hata wengekuwa bongo wangeshindwa tu! Umalaya wa kupindukia, ulevi haumfikishi mtu mahali popote, sembuse ugenini!
Mimi nina success stories! Hutaki kabisa kuzisikia! Hapo ndipo unaponishangaza! Wewe umeniambia ni msomi, na umekuja mara nyingi US, mimi sijabisha!!Ila mimi nitapokueleza nina nyumba US, watoto wangu wemesoma na kufanikiwa, na wafahamu Watanzania wengi ambao siwezi kutoa majina yao humu wana mafanikio makubwa kunizidi mimi! Kwako inakua ngumu mno!
Umejiwekea ukuta mkubwa mno! Kwa msomi kama wewe inakua tabu kidogo!
Kavulata:
Umeihamisha mada yako kutoka umanamba, ikaja kwenye ushoga! umaskini! Vitu ambavyo ni mada tofauti kabisa!
Niko Marekani ambapo napata tabu mno na wazungu/ Africa Americans tunapozungumzia Africa! Wako ambao wako kama wewe! Wamekua biased kabisa! Lakini wengi wao sio wasomi! Maisha yao ni Marekani, sio Marekani tu! Ni jimboni kwao! Hivyo huwa naweza kuwahurumia!
Sasa napokutana na mtanzania Kawa wewe, mwenye privileges za kutoka na kutembea nje ya Tanzania nabakia nashangaa! Au husemi ukweli kuhusu elimu yako?
Be objective with open mind! Mtazamo wangu uko palepale, kama unaona opportunities za Tanzania ziko haba, jaribu nje ya nchi
Toka nje ya Nchi ukiwa na focus unatafuta nini! Without focus and determination hakuna mahali unaweza kufanikiwa! Mfumo wa Marekani ukiwa na legal papers hukosi kazi! Hukosi kabisa kusoma! Kwa loans za serikali na ukiwa kuchwani zimo hata grants! Huo ndio mtazamo wangu!
 
mimi ni chawa wa watu wangu, ninajisikia vizuri na furaha kuhudumia watanzania wenzangu wanaohitaji akili, nguvu na maarifa yangu. Kwani ninafahamu kuwa kwavyovyote vile ninahitaji nyumba moja tu, kitanda kimoja tu, shamba moja tu, gari moja tu, sahani moja tu ya chakula, kusomesha watoto wangu kabla sijakufa. Siku za mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke sio nyingi sana na zilizojaa taabu. Nikishindwa kabisa kuwafanyia mema watu wangu basi nitapanda japo miti 3 ya kivuli na miti 5 ya matunda ili siku nikifa iwasaidie kwa kivuli na matunda. Kamwe kamwe siwezi kuwa mkimbizi hata kama unipe dunia yote, maana mimi ninapita lakini nchi yangu itabakia. Yaani wazungu wanatudharau sana kwa tabia yetu hii ya kipumbavu, ni heri kuwa mkimbizi wa nchi za kiafrika kuliko za wazungu. Huyo ndio mimi.
Kavulata:

Kama nilivyokuambia awali umehamisha mno mada hii! Mpaka imekuwa sio mada ya kuelimishana bali ni kushindana tu! Labda nikupe ufahamu fulani kuhusu umaskini wa Marekani, ambao unaweza ukawa ni vigumu kuuelewa.

Ni vigumu kabisa kwa mtu wa kuja kama mimi kuingia kwenye poverty line iliyowekwa na serikali ya Marekani, na unajua Maskini wengi wa Marekani HAWATAKI KABISA kuondoka katika level ya Umaskini kwa makusudi kabisa! Hasa African Americans! Na baadhi ya watu weupe!

Na sababu ya msingi wanapenda kubakia kwenye Welfare System! Ni kupata Nyumba za bure au zenye punguzo zinazotelewa na serikali! Chakula cha bure kinachotolewa na serikali tunaita (FOOD STAMPS) Na kupata rejesho la la fedha za kodi mwisho wa Mwaka!

Sisi watu wa kuja tunajua madhara yake! Ukiingia kwenye food stamps au any welfares support program licha ya kulemaza, huwezi kualika kabisa ndugu yako toka Nyumbani! Huwezi kumwalika mtu ukiwa unasadiwa na Serikali!

Mojawapo ya vitu vikubwa ukitaka kufanikiwa Marekani ni kujua haya; 1, Uwe na visa halali 2: Usiwe na Matatizo na Polisi 3. Usiwe na matatizo na Credit Bureau ( Lipa mikopo yako) Chukua mikopo kutoka na uwezo wako wa kulipa. 4. Usiingie kwenye Welfare program.

Hivyo Kavulata kwangu mimi, maybe 40% to 60% kwa makusudi kabisa wameamua kuwa Maskini! Wamelemaa! Welfare Program zilitengenezwa kuwasaidia watu wakiwa na matatizo lakini wengine wamekomea hapo!

Hapa Chini nakuonyesha program hizo! Kwa sisi watu wa kuja huwa tunaziepuka kabisa

What are housing choice vouchers?

The housing choice voucher program is the federal government's major program for assisting very low-income families, the elderly, and the disabled to afford decent, safe, and sanitary housing in the private market. Since housing assistance is provided on behalf of the family or individual, participants are able to find their own housing, including single-family homes, townhouses and apartments.

The participant is free to choose any housing that meets the requirements of the program and is not limited to units located in subsidized housing projects.

Housing choice vouchers are administered locally by public housing agencies (PHAs). The PHAs receive federal funds from the U.S. Department of Housing and Urban Development (HUD) to administer the voucher program.

A family that is issued a housing voucher is responsible for finding a suitable housing unit of the family's choice where the owner agrees to rent under the program. This unit may include the family's present residence. Rental units must meet minimum standards of health and safety, as determined by the PHA.

A housing subsidy is paid to the landlord directly by the PHA on behalf of the participating family. The family then pays the difference between the actual rent charged by the landlord and the amount subsidized by the program. Under certain circumstances, if authorized by the PHA, a family may use its voucher to purchase a modest home.






Am I eligible?

Eligibility for a housing voucher is determined by the PHA based on the total annual gross income and family size and is limited to US citizens and specified categories of non-citizens who have eligible immigration status. In general, the family's income may not exceed 50% of the median income for the county or metropolitan area in which the family chooses to live. By law, a PHA must provide 75 percent of its voucher to applicants whose incomes do not exceed 30 percent of the area median income. Median income levels are published by HUD and vary by location. The PHA serving your community can provide you with the income limits for your area and family size.

During the application process, the PHA will collect information on family income, assets, and family composition. The PHA will verify this information with other local agencies, your employer and bank, and will use the information to determine program eligibility and the amount of the housing assistance payment.

If the PHA determines that your family is eligible, the PHA will put your name on a waiting list, unless it is able to assist you immediately. Once your name is reached on the waiting list, the PHA will contact you and issue to you a housing voucher.



Sasa ndugu Kavulata! Mtu kama mimi, au Mtanzania mwenye ufahamu, huwezi kwenda hii options! Ndio maana ndugu zetu wanatumbelea Marekani tukiwapelekea mwaliko!


Hivyo uwe na mtazamo mpana wa umaskini wa Marekani na Tanzania! Maana kwa macho yangu kabisa nimekutana na mtu kakusanya vitu Walmart vya bure anataka nimpe pesa! Unajua kabisa kalemaa kwenye Welfare system!
 
Kavulata; umehamisha magoli sana kwenye Mada uliyoileta mwenyewe! Inaonyesha mada yako ilikuwa na mengi mno ndani yako! Hatukuwa kabisa tunalinganisha Utajiri/ Umaskini wa Marekani, wote tutaonekana wajinga, maana statistics ziko wazi!
Umekuwa unahama mno kwenye Mada hii! Mpaka naona kama unasukumwa na chuki binafsi na USA! Ambapo sikukatazi kabisa kuwa na mtazamo huo!
Lakini nashindwa kabisa kukuelewa hata wale ambao wana nia ya kuja unawakatisha tamaa!
Wewe una failure story za watu waliokuja US, mimi sikukatalii kabisa! Nimechangia nauli ya watu waliokuja US wakapoteza focus! Hata wengekuwa bongo wangeshindwa tu! Umalaya wa kupindukia, ulevi haumfikishi mtu mahali popote, sembuse ugenini!
Mimi nina success stories! Hutaki kabisa kuzisikia! Hapo ndipo unaponishangaza! Wewe umeniambia ni msomi, na umekuja mara nyingi US, mimi sijabisha!!Ila mimi nitapokueleza nina nyumba US, watoto wangu wemesoma na kufanikiwa, na wafahamu Watanzania wengi ambao siwezi kutoa majina yao humu wana mafanikio makubwa kunizidi mimi! Kwako inakua ngumu mno!
Umejiwekea ukuta mkubwa mno! Kwa msomi kama wewe inakua tabu kidogo!
Kavulata:

Nakuuliza tena kuna kosa kufia ugenini? Mwenyezi Mungu atakataa kuniweka peponi nikifia Marekani! Mimi sijui kaburi la babu wa babu yangu! Labda uniambie wewe uko kwenye dini ya jadi ( Si mbaya kama una imani hiyo! ) ambayo inahitaji matambiko!

Wajukuu zangu ( Sina wajukuu kwa sasa) Naamini hawatanilaumu kabisa kujikuta wamezaliwa Marekani! Kama hali ya Waafrika ina wasomi kama wewe, huhitaji kabisa kuwa Nabii kujua nchi inakwenda wapi! Miaka 60 tunahangaika na Umeme, maji nk! Kama kuna mahali katika maisha yangu haya mafupi pakanifanya niishi kwa amani, kwa nini sitafute mahali hapo! Kuna malengo yangu ( Kila mtu ana malengo yake maishani) Kama Marekani itanipatia malengo hayo, kwa nini nisihame nchi yangu!

Miaka ya nyuma Walter Rodney aliandika kitabu " How Europe Undeveloped Africa" Leo akifufuka ataandika kitabu " How African Politicians and technocrats Undeveloped Africa"

Kinachosikitisha ni pale kwa watu kama wewe, wenye elimu mnashindwa kujiuliza, kwa nini Marekani imefika hapo, tufanye nini tufikishe nchi zetu hapo, lipi la kujifunza, lipi la kuliacha! wewe umejaa na chuki tu!Husuda mpaka imepofua macho ufahamu wako!

Kila mara nimekwambia China imetumia mbinu zote nzuri na chafu kujifunza toka Marekani! Miaka yote imeongoza kuleta vijana wao Marekani! Kusoma! Kuishi! Kuiba teknolojia! nk!

Wewe unakatisha Tamaa watu kuja Marekani! Kuja kujaribu! Kama wakishindwa si wanarudi nyumbani! Maisha ni kujaribu! Kuna kukosa na kupata!

China inasadia kwa makusudi kabisa kuwatoa Wachina nje ya China! Wenye kuwekeza! Kuuza bidhaa zao ziwe feki au nzuri! Kuiba nyara nk! Mradi China inajengeka! Hata hilo umeshindwa kabisa kuliona! Kama sio upofu wa akili ni nini!
 
Hiyo hali unayoiona huko marekani na Ulaya imepatikana kwa mapambano makali kati ya wasionacho na wenyenacho (mabwanyenye). Kama wananchi wangekuwa wapumbavu kama wewe wanaotaka ready made hali bora wangeshakimbia na wao kwenda nchi nyingine kuwa manamba kama nyie ambao mko tayari hata ikibidi kupapaswa nyuma ilimradi upate hela. Mtu haoni aibu kutamka kuwa amechukua uraia wa marekani eti kwasababu tz hakuna umeme na maji na demokrasia, yaani mkulima mpumbavu kakimbia shamba na kuwaachia tumbili wale kwakisingio kuwa shambani kuna visiki vingi na hakuna umeme na nyumba zenye tiles. Vijana kama hawa ni heri waondoke kama walivyofanya na hakuna kuwapa uraia pacha ni hatari sana. Mwingine anasema ni heri ya mkoloni. Hawana akili ya kudadavua kwa kina kuhusu the basic cause kwanini bara la afrika ni maskini, wanahangaika na just the immediate causes of the problem. Poor poor poor and shame on them to be very happy and comfortable for being a cheap labor in a foreign nation. They are cowards and slave blooded money mongers. Kijana kamili hawezi kulitusi taifa lake badala yake atatafuta majibu ya matatizo ya taifa lake yasiyompendeza. Ndio maana duniani kote utawasikia vijana wakiingia kwenye siasa kwa wingi, kuandamana, kufanya makongamano, kupindua, kuzomea, kufungulia kesi serikali zao zisizokidhi matarajio yao. Hawa weti sisi wanawashawishi vijana wenzao waikimbie nchi mazima na kuchukua passport za nchi hizo, shame shame.
Duuuh
 
mimi ni chawa wa watu wangu, ninajisikia vizuri na furaha kuhudumia watanzania wenzangu wanaohitaji akili, nguvu na maarifa yangu. Kwani ninafahamu kuwa kwavyovyote vile ninahitaji nyumba moja tu, kitanda kimoja tu, shamba moja tu, gari moja tu, sahani moja tu ya chakula, kusomesha watoto wangu kabla sijakufa. Siku za mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke sio nyingi sana na zilizojaa taabu. Nikishindwa kabisa kuwafanyia mema watu wangu basi nitapanda japo miti 3 ya kivuli na miti 5 ya matunda ili siku nikifa iwasaidie kwa kivuli na matunda. Kamwe kamwe siwezi kuwa mkimbizi hata kama unipe dunia yote, maana mimi ninapita lakini nchi yangu itabakia. Yaani wazungu wanatudharau sana kwa tabia yetu hii ya kipumbavu, ni heri kuwa mkimbizi wa nchi za kiafrika kuliko za wazungu. Huyo ndio mimi.
Aisee
 
Hiyo hali unayoiona huko marekani na Ulaya imepatikana kwa mapambano makali kati ya wasionacho na wenyenacho (mabwanyenye). Kama wananchi wangekuwa wapumbavu kama wewe wanaotaka ready made hali bora wangeshakimbia na wao kwenda nchi nyingine kuwa manamba kama nyie ambao mko tayari hata ikibidi kupapaswa nyuma ilimradi upate hela. Mtu haoni aibu kutamka kuwa amechukua uraia wa marekani eti kwasababu tz hakuna umeme na maji na demokrasia, yaani mkulima mpumbavu kakimbia shamba na kuwaachia tumbili wale kwakisingio kuwa shambani kuna visiki vingi na hakuna umeme na nyumba zenye tiles. Vijana kama hawa ni heri waondoke kama walivyofanya na hakuna kuwapa uraia pacha ni hatari sana. Mwingine anasema ni heri ya mkoloni. Hawana akili ya kudadavua kwa kina kuhusu the basic cause kwanini bara la afrika ni maskini, wanahangaika na just the immediate causes of the problem. Poor poor poor and shame on them to be very happy and comfortable for being a cheap labor in a foreign nation. They are cowards and slave blooded money mongers. Kijana kamili hawezi kulitusi taifa lake badala yake atatafuta majibu ya matatizo ya taifa lake yasiyompendeza. Ndio maana duniani kote utawasikia vijana wakiingia kwenye siasa kwa wingi, kuandamana, kufanya makongamano, kupindua, kuzomea, kufungulia kesi serikali zao zisizokidhi matarajio yao. Hawa weti sisi wanawashawishi vijana wenzao waikimbie nchi mazima na kuchukua passport za nchi hizo, shame shame.


Na ndio maana JF Kennedy alipata kuwaambia Waamerica; "Ask yourself what you can do for America but don't ask for what America can do for you"---hapo sasa ndipo utaona sababu ya Green card lottery kwamba ni kuchukua watu (brain drainage) kutoka nchi zingine kwenda Marekani, na hii sio Lottery perse bali ni an intentional selection of a person whom they need yaani kuna vigezo wanaviangalia ndipo wanawachukua watu wanaowataka ili wasaidie America ili izidi kuwa Super power na hiyo bahati nasibu sio bahati nasibu tuijuayo bali ni uongo na ujanja tu.

Wao wangetangaza wazi tu kwamba America inahitaji watu wa kada fulani na fulani na sio kufanya ujanja ujanja wa kikoloni na kibepari wa brain drainage.
 
Back
Top Bottom