Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Kavulata:

Hivi Prof Lumumba kamsaidia nani hasa.....Ukienda Kenya ndio wanaongoza kuomba Greencard....Kenya ina watu wa kila kada Marekani, Wasomi na watu wa kawaida.....Kadri anavyotoa mihadhara ndio waombaji Greencard wanazidi....Na unajua Kenya ndio inaongoza kupeleka wafanyakazi Uarabuni......Katika mahangaiko yangu nje ya Tanzania, ukiondoa Wanigeria, kenya inaongoza kuwa na wahangaikaji wengi mno nje ya nchi.

Haya maneno ya Lumumba awapigie kelele wale walioko African Union......Huwa nakukumbusha tena na tena Babu yako na babu yangu waliposhindwa kumzuia mtu mweupe asiweke nanga kwenye pwani zetu walituingiza mkenge mkubwa mno...! Mpaka leo hatujitambua......tutabadili mabwana tu.....! Kama sio beberu wa Kimarekani....basi Mrusi au mchina......Mwarabu nk.....! Hatuna akili za kujiendesha wenyewe, sisi ni tegemezi kwa kila kitu.....Ni uchungu mkali kuumeza......Lakini ndio Ukweli......Kimaendeleo bado tuko kwenye "Take off stage" na tumeganda hapo... Lumumba anatwanga maji kwenye kinu....
Sure, sure!! Cross ya goli ilitoka kule kwa mababu zetu kukubali kutawaliwa. Lakini hiyo pekee sio sababu ya sisi wajukuu tuinue mikono yetu juu ya kushindwa kujipapatua na ku correct mistake zao. Unaweza kuzaliwa masikini na kufa tajiri sana kama wanavyofanya wenzetu waliotawaliwa pia kule China, India, Pakistan, Indonesia, Malaysia, nk.

Kenya ni taifa la kulionea huruma sana, hawana options nyingi sana kama Tanzania na Uganda. Wakenya wamenyang'anywa kila kitu na mabeberu. Options walizobaki nazo ni kufanyakazi kwenye mashamba makubwa na viwanda vya mabeberu, michezo na Sanaa, elimu na kuendesha matatu. Ardhi Yao yowevu na yenye rutba kwa kilimo Iko mikononi mwa watu wachache sana na ardhi kubwa iliyobaki imehifadhiwa kwa national parks na misitu tangu wakati wa ukoloni na hata baada ya ukoloni; "Not yet Uhuru". Wakenya ni wakimbizi tangu enzi hizo za ukoloni mpaka leo, na Wala sio sifa nzuri ya kupigia mifano. Wakenya ni manamba ndani na nje ya nchi Yao. Hawaombi greencards kwa furaha.
 
Ni utumwa uleule, tofauti ni kwamba Sasa hivi watumwa hawapewi chakula, malazi, mavazi wala kulipiwa gharama za taka, maji, umeme na matibabu, wanapewa fedha mkononi ili wajilipie wenyewe. Lakini Baada ya kupewa hela hizi huwa wanajibana na kula vitu vya hovyo ( jack foods), kulala sehemu za hovyo(cheap) na kuvaa midabwada ili kubakiza fedha hizo unazosema wanazipata.
Ila hapa bongo kwenye Tozo lukuki, umeme shida, maji shida , vifurushi vya simu bei juu huu sio utumwa ?


Kijana duniani hatudumu ukipata fursa ya kwenda sehemu yoyote duniani kwenye ahueni ya maisha Nenda ukamalizie sehemu yako ya hapa dunian Kwa furaha
 
Ila hapa bongo kwenye Tozo lukuki, umeme shida, maji shida , vifurushi vya simu bei juu huu sio utumwa ?


Kijana duniani hatudumu ukipata fursa ya kwenda sehemu yoyote duniani kwenye ahueni ya maisha Nenda ukamalizie sehemu yako ya hapa dunian Kwa furaha
Shida kama hizo hazitoshi kumfanya kijana aichukie na kuikimbia nchi yake kwenda kuwa mlipa Kodi wa taifa lingine. Kijana timamu anakuwa mstari wa mbele kuondoa kasoro kwenye taifa lake. Kijana lazima ashiriki kuondosha vikwazo kwenye njia yake. Njia za halali zikishindikana zikigonga mwamba anatumia nyia yoyote Ile ya kuliondosha tatizo badala ya kuinua mikono juu na kwenda kuwa mkimbizi wa kiuchumi na mazingira kwenye taifa lingine.

Black Americans walijikuta wamezaliwa katikati ya ubaguzi na utumwa, hakini hawakukimbia na kurudi Afrika waliko wenzao, bali walisimama kidete kuliondosha na kulidondosha tatizo kwa hali na mali, kwa jasho na damu zao, Leo hii Wana nafuu ndani ya taifa Leo walimozaliwa. Mazwazwa yetu sisi ni tofauti kabisa, yanakimbiakimbia, kulaumu na kulalama wakidhani Mungu atashuka awasaidie nchi Yao iwe kama Amerika na Ulaya, stupid kabisa. Hata ukienda huko ukapata mabilioni ya Dola ya maana gani kama kizazi chako, ndugu zako, ukoo wako, kabila lako, rafiki zako na nchi yako wanaporwa Mali zao, future Yao haileweki, hawana hope? Pesa ni nini kwani? Ulizaliwa bila pesa na utakufa na kuzikwa bila pesa, generation yako unaiachia nini, unaiachaje?

Kwangu mimi kijana aliyepanda mti mmoja wa kivuli mbele ya nyumba Yao ni Bora kuliko kijana aliyepata green card ya kwenda kuwa raia wa Marekani, hopeless.
 
Shida kama hizo hazitoshi kumfanya kijana aichukie na kuikimbia nchi yake kwenda kuwa mlipa Kodi wa taifa lingine. Kijana timamu anakuwa mstari wa mbele kuondoa kasoro kwenye taifa lake. Kijana lazima ashiriki kuondosha vikwazo kwenye njia yake. Njia za halali zikishindikana zikigonga mwamba anatumia nyia yoyote Ile ya kuliondosha tatizo badala ya kuinua mikono juu na kwenda kuwa mkimbizi wa kiuchumi na mazingira kwenye taifa lingine.

Black Americans walijikuta wamezaliwa katikati ya ubaguzi na utumwa, hakini hawakukimbia na kurudi Afrika waliko wenzao, bali walisimama kidete kuliondosha na kulidondosha tatizo kwa hali na mali, kwa jasho na damu zao, Leo hii Wana nafuu ndani ya taifa Leo walimozaliwa. Mazwazwa yetu sisi ni tofauti kabisa, yanakimbiakimbia, kulaumu na kulalama wakidhani Mungu atashuka awasaidie nchi Yao iwe kama Amerika na Ulaya, stupid kabisa. Hata ukienda huko ukapata mabilioni ya Dola ya maana gani kama kizazi chako, ndugu zako, ukoo wako, kabila lako, rafiki zako na nchi yako wanaporwa Mali zao, future Yao haileweki, hawana hope? Pesa ni nini kwani? Ulizaliwa bila pesa na utakufa na kuzikwa bila pesa, generation yako unaiachia nini, unaiachaje?

Kwangu mimi kijana aliyepanda mti mmoja wa kivuli mbele ya nyumba Yao ni Bora kuliko kijana aliyepata green card ya kwenda kuwa raia wa Marekani, hopeless.
Chuki tu
 
Shida kama hizo hazitoshi kumfanya kijana aichukie na kuikimbia nchi yake kwenda kuwa mlipa Kodi wa taifa lingine. Kijana timamu anakuwa mstari wa mbele kuondoa kasoro kwenye taifa lake. Kijana lazima ashiriki kuondosha vikwazo kwenye njia yake. Njia za halali zikishindikana zikigonga mwamba anatumia nyia yoyote Ile ya kuliondosha tatizo badala ya kuinua mikono juu na kwenda kuwa mkimbizi wa kiuchumi na mazingira kwenye taifa lingine.

Black Americans walijikuta wamezaliwa katikati ya ubaguzi na utumwa, hakini hawakukimbia na kurudi Afrika waliko wenzao, bali walisimama kidete kuliondosha na kulidondosha tatizo kwa hali na mali, kwa jasho na damu zao, Leo hii Wana nafuu ndani ya taifa Leo walimozaliwa. Mazwazwa yetu sisi ni tofauti kabisa, yanakimbiakimbia, kulaumu na kulalama wakidhani Mungu atashuka awasaidie nchi Yao iwe kama Amerika na Ulaya, stupid kabisa. Hata ukienda huko ukapata mabilioni ya Dola ya maana gani kama kizazi chako, ndugu zako, ukoo wako, kabila lako, rafiki zako na nchi yako wanaporwa Mali zao, future Yao haileweki, hawana hope? Pesa ni nini kwani? Ulizaliwa bila pesa na utakufa na kuzikwa bila pesa, generation yako unaiachia nini, unaiachaje?

Kwangu mimi kijana aliyepanda mti mmoja wa kivuli mbele ya nyumba Yao ni Bora kuliko kijana aliyepata green card ya kwenda kuwa raia wa Marekani, hopeless.
Kila mmoja afanye anachoweza
 
Watz tuna akili dumazi sana. Mi ingekuwa ni uwezo wangu ningewatoa watanzania waende huko mbele angalau mwaka mmoja watz wanatakiwa wapate exposure ni wajinga mno huwez kuendelea bila kutoka ukajifunze mapya.
hao walioendelea walienda kujifunza wapi namna ya kuendelea? Akili mgando hizi. Kina aliyepanda miti 3 ya kivuli mbele ya nyumba yao ana thamani kubwa kuliko kijana anaelipa kodi kwa wazungu. Nimekutana na vijana wengi huko ung'haibuni, wanahenya sana kwa kazi na madeni mengi waliokopeshwa. Deni ndio mkwaju muhimu utakaokuamsha asubuhi kwenda kufanyakazi za watu kama punda, una madeni kila sehemu ya mwili wako unayotakiwa kuyalipa kwa deadline. Vijana wengi wanajinyima kwa kula vyakula ambavyo havina afya vinavyowasababishia magonjwa ya overweight, shinikizo kubwa la damu, kisukari na uhanithi. Wakati wa kuzeeka hana raha na maisha yake kwakuwa anaatamwa na magonjwa mengi (metabolic diseases) na kupoteza bond ya marafiki na ndugu.
 
hao walioendelea walienda kujifunza wapi namna ya kuendelea? Akili mgando hizi. Kina aliyepanda miti 3 ya kivuli mbele ya nyumba yao ana thamani kubwa kuliko kijana anaelipa kodi kwa wazungu. Nimekutana na vijana wengi huko ung'haibuni, wanahenya sana kwa kazi na madeni mengi waliokopeshwa. Deni ndio mkwaju muhimu utakaokuamsha asubuhi kwenda kufanyakazi za watu kama punda, una madeni kila sehemu ya mwili wako unayotakiwa kuyalipa kwa deadline. Vijana wengi wanajinyima kwa kula vyakula ambavyo havina afya vinavyowasababishia magonjwa ya overweight, shinikizo kubwa la damu, kisukari na uhanithi. Wakati wa kuzeeka hana raha na maisha yake kwakuwa anaatamwa na magonjwa mengi (metabolic diseases) na kupoteza bond ya marafiki na ndugu.
Unaulizia waliondelea walienda wapi seriously. Ile marekan ilikuwa ya wazungu au Australia nk. Huwez kuendelea kwa kukaa na watu wale wale wenye mawazo yale yale. Toka ukiwa huko nje ya eneo asili yako utajifunza how things work.
 
Unaulizia waliondelea walienda wapi seriously. Ile marekan ilikuwa ya wazungu au Australia nk. Huwez kuendelea kwa kukaa na watu wale wale wenye mawazo yale yale. Toka ukiwa huko nje ya eneo asili yako utajifunza how things work.
Are you serious? Dunia ya sasa ni kama kijiji kimoja tu, huhitaji tena wasafiri wanaofanya safari za kishujaa kama akina Christopher Columbus, Stanley, na Vasco de Gama ili kuvumbua nchi nyingine kuna nini na wanafanya nini.
 
Eti ni heri kwenda kuwa nyani Amerika kuliko kuwa binadamu Afrika, maana nyani wa huko ana raha kuliko binadamu wa afrika, ona hapa vijana wetu


View: https://youtu.be/avBnw3Ns7bc?si=QRZvoP2Gj-j54lVm

Je, unadhani haya yote asingeweza kuyafanya akiwa huko kwao msituni? Ni changamoto gani angezipata kama angezifanya hizi kazi nguvu akiwa kwao? je, huyu mbuzi ni mali yake au mali yake ni vile vijisenti alivyopewa na kwenda kunywa soda? Bara letu la afrika linapitia mambo mengi magumu sana. Magumu yalianzia kwa watawala wetu wa jadi, utumwa, watawala wetu baada ya uhuru na sasa utumwa wa kujitakia huko magharibi.
 
Are you serious? Dunia ya sasa ni kama kijiji kimoja tu, huhitaji tena wasafiri wanaofanya safari za kishujaa kama akina Christopher Columbus, Stanley, na Vasco de Gama ili kuvumbua nchi nyingine kuna nini na wanafanya nini.
Sio kweli mpaka leo watu wanavumbua vitu katika mfumo wa kileo sio huo wa kijima. Kwa mfano soko la hisa tuseme hata la hapo Nairobi ni mwananchi gan huko kijijin ambako ndipo watz wengi walipo ninani anajua jins linafanya kaz asipokuwa na huo uelewa.
 
Sio kweli mpaka leo watu wanavumbua vitu katika mfumo wa kileo sio huo wa kijima. Kwa mfano soko la hisa tuseme hata la hapo Nairobi ni mwananchi gan huko kijijin ambako ndipo watz wengi walipo ninani anajua jins linafanya kaz asipokuwa na huo uelewa.
kwahiyo kujua soko la hisa la nairobi mpaka niende nikaishi kwanza kenya kwa mwaka mmoja?
 
Kavulata: Unajua unachokisema au umekaririshwa? Niko Marekani, sikuja kwa kufungwa mnyororo,na hata nikitaka kuondoka hakuna kamba iliyonifunga.
Ushauri kila siku kwa vijana wa kitanzania, kama unaona opportunities zimebana Tanzania jaribu popote, nina mifano mingi mno, na nimeona kwa watu toka mataifa mbali mbali niliokutana nao US!
Ukiwa na focus, na documents halali na yote unayoyasikia kuhusu Marekani, ni mahali unaweza kufikisha ndoto zako, sisemi ni rahisi, lakini kuna nyenzo ambazo hupati katika nchi nyingi za Kiafrica.
Sijahonga au kumuona yoyote watoto wangu kupata mikopo ya vyuo vyao, sikuwa na connection zozote zile watoto wangu kupata white color jobs! In short mtoto wangu alikuwa recruited akiwa bado chuoni, na leo akiwa na miaka24 is making almost $ 85,000/ Wenzake aliowaacha bongo waliomaliza chuo wanasaka ajira!
Sasa sijui ni utumwa wa aina gani huo!
Ni kweli Marekani/ Canada zinataka nguvu kazi, lakini ukiingia huku ni juhudi zako na akili yako! Wengine wataenda juu, na wengine chini, sawasawa na wazawa! Anayenifyekea majani nyumbani kwangu ni mzungu! Maana sina muda! Na kila baada ya wiki mbili au tatu ananipigia simu kama yameota aje kufyeka! Na ameniambia ni fundi katika serikali yetu ya mtaa anatafuta pesa ya ziada! Hii ndio Marekani, simdharau najua anachotafuta!
Hivyo usikaririshwe na akina Lumumba.
Hulazimishwi ni akili yako tu! Wengine wanatumia hapo bongo wanatoka! Wengine mambo yanakataa! Maisha popote pale!
GreenCard Oyee!! Kwanini tunaitwa mbiombio twende US

View: https://www.youtube.com/watch?v=eWZUaDDurng
 
Kwani umelazimishwa? Hutaki acha! Sio lazima! Baki nyumbani kwenu huko tulia! Dunia haina mipaka ya kusema kwamba ni lazima uishi tu sehemu moja kama mti..kila mtu na mtazamo wake...wewe kama unaona Green card lottery ni ujinga ni kwako tu na mtazamo wako.. Usipangie watu maisha na makazi ya kuishi...Mungu alipotuumba alisema "Enendeni ulimwenguni kote mkaijaze Dunia" hakusema tubaki sehemu moja kama Mti, jiwe au jabali.
Hutaki green card Achaaaaaa!!!!! Hulazimishwi!!!! Kila mtu aishi anapo penda
Over!
Hawa wengine inawezekana ni wale wa "sizitaki mbichi hizi" wanaoiponda green card kwa kuwa wameikosa.

Vinginevyo, kwa nini ushupalie chaguo la mtu baki?

Hiyo Green Card Wamarekani wanamlazimisha mtu?
 
GreenCard Oyee!! Kwanini tunaitwa mbiombio twende US

View: https://www.youtube.com/watch?v=eWZUaDDurng

Nitaendelea kukupa pole kwa stress unazozipata kuhusu US kutokana na deportation uliyopewa.

Kwanza unatakiwa uelewwle kihistoria US ni nchi ya immigrants na unaiikosea heshima bahati nasibu hii maana inaanzia na jina "diversity" tafsiri yake ni ipi ni mchanhanyiko sehemu yoyote iliyo na bongo mchangayiko hiyo iko mbali .

Hebu angalia hapo bongo mnavyopigana majungu, fitna , wivu na uchawi mtu akiendelea tu kidogo.

Hapa US ndio sehemu niliyokutana na watu wa mataifa ambayo sijui kama ningewahi kukutana nao zaidi ya kusoma kwenye jiografia, nimekutana na watu wa Guatemala, Tonga , Fiji , ni wachache ila sio oya oya tu.

Kuna nchi zimefungiwa kucheza hii lotto kutokana na kuwa na raia kiwango kikubwa US , na japokuwa wamefungiwa bado wanatafuta uraia wa US kwa mbinu tofauti na wanafanikiwa kwa wingi tu hujiulizi kwa nini?

Angalia takwimu kwa mwaka watu wangapi wanapply uraia wa US ulimganushe na wanaopoly uraia nchii za Africa ikiwemo Tanzania.

Pole kwa stress za mgao na vumbi sasa mafuriko jaribu nfhi nyinginr US itabaki kama ndioto kwako.
 
Nitaendelea kukupa pole kwa stress unazozipata kuhusu US kutokana na deportation uliyopewa.

Kwanza unatakiwa uelewwle kihistoria US ni nchi ya immigrants na unaiikosea heshima bahati nasibu hii maana inaanzia na jina "diversity" tafsiri yake ni ipi ni mchanhanyiko sehemu yoyote iliyo na bongo mchangayiko hiyo iko mbali .

Hebu angalia hapo bongo mnavyopigana majungu, fitna , wivu na uchawi mtu akiendelea tu kidogo.

Hapa US ndio sehemu niliyokutana na watu wa mataifa ambayo sijui kama ningewahi kukutana nao zaidi ya kusoma kwenye jiografia, nimekutana na watu wa Guatemala, Tonga , Fiji , ni wachache ila sio oya oya tu.

Kuna nchi zimefungiwa kucheza hii lotto kutokana na kuwa na raia kiwango kikubwa US , na japokuwa wamefungiwa bado wanatafuta uraia wa US kwa mbinu tofauti na wanafanikiwa kwa wjingi tu hujiulizi kwa nini?

Angalia takwimu kwa mwaka watu wangapi wanapply uraia wa US ulimganushe na wanaopoly uraia nchii za Africa ikiwemo Tanzania.

Pole kwa stress za mgao na vumbi sasa mafuriko jaribu nfhi nyinginr US itabaki kama ndioto kwako.
Pinda mgongo fanyakazi acha kulalamika, furahia umanamba hakuna jinsi.
 
Back
Top Bottom