Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Green card lottery ni Umanamba mamboleo

Ndio unavyowadanganya watu huko bongo kwamba kila mtu mweusi anafanya kazi shambani?
Tusidanganyane hapa na Wala tusidanganyane watu wetu, watu wachache sana weusi wanaofanya white collar jobs kama kufundisha vyuoni, tulio wengi tuko blue collar jobs huko mashambani, ujenzi na makazi, mahotelini, Sanaa, stores, usafi na kuhudumia wazee na hospitality sector kwa ujumla. Tunapigika kaka. Tunaishi kwa tips za wazungu kaka, Kodi kubwa na madeni mengi, maisha yako juu kaka tunaijenga Marekani kwa nguvu, jasho na damu zetu zote.
 
Tusidanganyane hapa na Wala tusidanganyane watu wetu, watu wachache sana weusi wanaofanya white collar jobs kama kufundisha vyuoni, tulio wengi tuko blue collar jobs huko mashambani, ujenzi na makazi, mahotelini, Sanaa, stores, usafi na kuhudumia wazee na hospitality sector kwa ujumla. Tunapigika kaka. Tunaishi kwa tips za wazungu kaka, Kodi kubwa na madeni mengi, maisha yako juu kaka tunaijenga Marekani kwa nguvu, jasho na damu zetu zote.
Unaweza kuleta takwimu za weusi waliopo ofisini .

Na weusi waliopo shambani?

Pia shambani unafikiri zinafanyika shughuli zipi? Au unafikiri kilimo cha US ni bado jembe la mkono kama bongo?

Shambani kuna engineers wanavuta pesa za kutosha tu unalifahamu hilo ?

Pia hoja yako ya rangi unaitetea sana hadi inaonekana mtu mweusi US ni wa shambani ila shamba la US unavyolinganisha na bongo ndio nashangaa sana.

Binafsi sifanyi kazi shambani ila mtu anayefanya kazi shambani US anavuta pesa ya maana kuliko aliyepo bongo .
 
Unaweza kuleta takwimu za weusi waliopo ofisini .

Na weusi waliopo shambani?

Pia shambani unafikiri zinafanyika shughuli zipi? Au unafikiri kilimo cha US ni bado jembe la mkono kama bongo?

Shambani kuna engineers wanavuta pesa za kutosha tu unalifahamu hilo ?

Pia hoja yako ya rangi unaitetea sana hadi inaonekana mtu mweusi US ni wa shambani ila shamba la US unavyolinganisha na bongo ndio nashangaa sana.

Binafsi sifanyi kazi shambani ila mtu anayefanya kazi shambani US anavuta pesa ya maana kuliko aliyepo bongo .
sawa, porters hawahitajiki kabisa kwenye mashamba ya US, wala hakuna weusi wanaochunga ng'ombe na kulisha nguruwe huko US. Ni tajie ni supermarket ipi US haina wapagazi na wafanya usafi chooni weusi, Walmart? Kroger? Aventura? Amazon?
 
Unaweza kuleta takwimu za weusi waliopo ofisini .

Na weusi waliopo shambani?

Pia shambani unafikiri zinafanyika shughuli zipi? Au unafikiri kilimo cha US ni bado jembe la mkono kama bongo?

Shambani kuna engineers wanavuta pesa za kutosha tu unalifahamu hilo ?

Pia hoja yako ya rangi unaitetea sana hadi inaonekana mtu mweusi US ni wa shambani ila shamba la US unavyolinganisha na bongo ndio nashangaa sana.

Binafsi sifanyi kazi shambani ila mtu anayefanya kazi shambani US anavuta pesa ya maana kuliko aliyepo bongo .
Ushahidi ni huu hapa, na huu ndio uhalisia wa maisha, malipo na matumizi ya US. Nilimkonect mm kwenye hii kazi

View: https://www.youtube.com/watch?v=yIPWOqT04gk
 
Ushahidi ni huu hapa, na huu ndio uhalisia wa maisha, malipo na matumizi ya US. Nilimkonect mm kwenye hii kazi

View: https://www.youtube.com/watch?v=yIPWOqT04gk

Hii ni hodgepodge hujaleta takwimu .

Hapo unaona kuna takwimu , yaani unadraw conclusion kwa mtu mmoja tena uliyesema umemconnect kwahiyo yeye anachopata ndio ukafikia hitimisho ya diaspora wote?

Leta takwimu ya diaspora wa kitanzania waliopo US kisha ulete takwimu wengi wanafanya kazi ipi na mapato yake yakoje sio kuokoteza video moja unafanyia hitimisho.

Wewe mawenge ya deportation yanakuchanganya na ndio maana kila anayekuja US anakuja kupiga box na kazi za shambani.

Sasa wewe unasema umemconnect huyo mtu halafu wewe ukakimbia US japo husemi ulikuwa deported ndio maana hasira zako zinaishia kwa diaspora huku ukijua kurudi US tena ni ndoto.

This goes straight to trash can.
 
Hii ni hodgepodge hujaleta takwimu .

Hapo unaona kuna takwimu , yaani unadraw conclusion kwa mtu mmoja tena uliyesema umemconnect kwahiyo yeye anachopata ndio ukafikia hitimisho ya diaspora wote?

Leta takwimu ya diaspora wa kitanzania waliopo US kisha ulete takwimu wengi wanafanya kazi ipi na mapato yake yakoje sio kuokoteza video moja unafanyia hitimisho.

Wewe mawenge ya deportation yanakuchanganya na ndio maana kila anayekuja US anakuja kupiga box na kazi za shambani.

Sasa wewe unasema umemconnect huyo mtu halafu wewe ukakimbia US japo husemi ulikuwa deported ndio maana hasira zako zinaishia kwa diaspora huku ukijua kurudi US tena ni ndoto.

This goes straight to trash can.
Kama huyo kijana amesoma chuo kikuu maarufu hukohuko na anafanya kazi kwenye kampuni kubwa sana bado anakwambia kiasi kikubwa cha pato lake wanakichukua hukohuko US, je, vipi wewe mwenzangu uliyefika marekani kwa njia za mchongo na green card? jidanganye mwenyewe, ijenge marekani kwa nguvu zako zote. Hebu sema ukweli kuwaambia vijana wanaotamani kuja huko, wewe unayo mikopo mingapi? Je, unalipa sh. ngapi kwa pango la nyumba, usafiri, maegesho ya gari/baiskeli, takataka, maji, umeme, usafi, deni la mkopo wa gari, social security, matibabu, driving license?
 
Hii ni hodgepodge hujaleta takwimu .

Hapo unaona kuna takwimu , yaani unadraw conclusion kwa mtu mmoja tena uliyesema umemconnect kwahiyo yeye anachopata ndio ukafikia hitimisho ya diaspora wote?

Leta takwimu ya diaspora wa kitanzania waliopo US kisha ulete takwimu wengi wanafanya kazi ipi na mapato yake yakoje sio kuokoteza video moja unafanyia hitimisho.

Wewe mawenge ya deportation yanakuchanganya na ndio maana kila anayekuja US anakuja kupiga box na kazi za shambani.

Sasa wewe unasema umemconnect huyo mtu halafu wewe ukakimbia US japo husemi ulikuwa deported ndio maana hasira zako zinaishia kwa diaspora huku ukijua kurudi US tena ni ndoto.

This goes straight to trash can.
Na huyu je? hebu msikie kwanini amekimbia UK

View: https://www.youtube.com/watch?v=Ml3kIuOr324&t=1417s
 
Kama huyo kijana amesoma chuo kikuu maarufu hukohuko na anafanya kazi kwenye kampuni kubwa sana bado anakwambia kiasi kikubwa cha pato lake wanakichukua hukohuko US, je, vipi wewe mwenzangu uliyefika marekani kwa njia za mchongo na green card? jidanganye mwenyewe, ijenge marekani kwa nguvu zako zote. Hebu sema ukweli kuwaambia vijana wanaotamani kuja huko, wewe unayo mikopo mingapi? Je, unalipa sh. ngapi kwa pango la nyumba, usafiri, maegesho ya gari/baiskeli, takataka, maji, umeme, usafi, deni la mkopo wa gari, social security, matibabu, driving license?
Hii ni hasty generalization , ni fallacy mbaya sana ya kudraw conclusion kwa kutumia mtu mmoja.
Swali langu la msingi kabla sijakujibu ni kuwa hujaleta takwimu ya diaspora waliopo US walioko kazi za shambani na kazi za kitaaluma zaidi.

Pia vitu ulivyouliza hizo ni huduma za msingi na ninalipa na everything worth every penny , mnachojidanganya tu ni kuwa kila diaspora US amerent nyumba , ana mikopo na hawezi kusafiri muda wowote hadi summer/winter hii ni notion mbaya sana na wewe ndio unaibeba jibu langu tu jepesi ni yapata miaka 15 sasa nilishanunua nyumba 2 kwa sasa na ninaishi kwangu nyumba moja nikiitumia kwa matumizi mengine.

Pia nikijibu swali lako pia la kufikiri kila mtu amekuja huku kwa njia ya green card wala sio sawa mimi nilifuata elimu huku na ilinisaidia kunikomboa kifikra nilivyokuja sio nilivyo sasa nachokumbuka katika familia yangu ni watu wawili tu ndio waliniunga mkono(marehemu baba na dada yangu wa kwanza wengine wote kila mtu aliongea ya kwake!suprisly ni kuwa miaka 10 mbele niliwasidia ndugu zangu kuja huku na wote waliamua kubaki huku , na dada yangu yeye alielekea Uswisi ambapo aliyafanya makazi yake ya kudumu kwahivyo wewe huwezi kuwa mpya kunipa maneno ya kukatisha tamaa wakati maneno hayo niliambia miaka 20+ nyuma kisa tu nilikuwa lastborn na wakaona siwezi pasua anga ugenini nilichojifunza kwa wabongo wengi (sio wote hata wengine tupo nao huku) exposure haijawasaidia hupenda kuona diaspora anachapika na kurudi nyumbani kapuku! kwangu hiyo nilikataa currently narun kampuni 6 za mambo tofauti 3 US, 2 Canada na 1 Seychelles sidhani kwa mtu mzembe anaweza mudu kufanya hayo.
Shida kuu iliyokithiri kwa maisha ya ugenini hasa ulaya na marekani ni upweke uliokithiri
potezeeni muda hapa wakati mnapunzika kidogo. Wanatuibia huku na mmejipeleka mkaibiwe zaidi hukohuko

View: https://www.youtube.com/watch?v=XgxAGZKdh0c

Upweke ni subjective , ukishaujenga akilini unakukaa..Carlos Tevez akiwa Uingereza miaka hiyo alisema anapata homesick ya kurudi Argentina hapendi weather ya UK akasema hana furaha je unafikiri hakuwa na pesa au maisha yake yalikuwa magumu?

Bado hujaleta takwimu suala la Salim kuamua kurudi Tanzania ni binafsi sana contract yake ilivyoisha aliamua kurudi nyumbani kwa matakwa yake.

Hivyo jua kama ambavyo Salim aliamua kurudi bongo 2023 ndivyo kuna watanzania pia 2023 waliona fursa na kuifanya UK kuwa makazi yao ya kudumu japo upande wa Salim aliona arudi nyumbani kwa sababu zake.

Kwahiyo wewe acha hasira zako kws vijana wanaokuja US kutafuta green pasture wewe kama yalikushinda ukakimbia usikatishe tamaa wenzio kwamba mtu akija huku ni shamba , box na care homes.
 
Hii ni hasty generalization , ni fallacy mbaya sana ya kudraw conclusion kwa kutumia mtu mmoja.
Swali langu la msingi kabla sijakujibu ni kuwa hujaleta takwimu ya diaspora waliopo US walioko kazi za shambani na kazi za kitaaluma zaidi.

Pia vitu ulivyouliza hizo ni huduma za msingi na ninalipa na everything worth every penny , mnachojidanganya tu ni kuwa kila diaspora US amerent nyumba , ana mikopo na hawezi kusafiri muda wowote hadi summer/winter hii ni notion mbaya sana na wewe ndio unaibeba jibu langu tu jepesi ni yapata miaka 15 sasa nilishanunua nyumba 2 kwa sasa na ninaishi kwangu nyumba moja nikiitumia kwa matumizi mengine.

Pia nikijibu swali lako pia la kufikiri kila mtu amekuja huku kwa njia ya green card wala sio sawa mimi nilifuata elimu huku na ilinisaidia kunikomboa kifikra nilivyokuja sio nilivyo sasa nachokumbuka katika familia yangu ni watu wawili tu ndio waliniunga mkono(marehemu baba na dada yangu wa kwanza wengine wote kila mtu aliongea ya kwake!suprisly ni kuwa miaka 10 mbele niliwasidia ndugu zangu kuja huku na wote waliamua kubaki huku , na dada yangu yeye alielekea Uswisi ambapo aliyafanya makazi yake ya kudumu kwahivyo wewe huwezi kuwa mpya kunipa maneno ya kukatisha tamaa wakati maneno hayo niliambia miaka 20+ nyuma kisa tu nilikuwa lastborn na wakaona siwezi pasua anga ugenini nilichojifunza kwa wabongo wengi (sio wote hata wengine tupo nao huku) exposure haijawasaidia hupenda kuona diaspora anachapika na kurudi nyumbani kapuku! kwangu hiyo nilikataa currently narun kampuni 6 za mambo tofauti 3 US, 2 Canada na 1 Seychelles sidhani kwa mtu mzembe anaweza mudu kufanya hayo.

Upweke ni subjective , ukishaujenga akilini unakukaa..Carlos Tevez akiwa Uingereza miaka hiyo alisema anapata homesick ya kurudi Argentina hapendi weather ya UK akasema hana furaha je unafikiri hakuwa na pesa au maisha yake yalikuwa magumu?

Bado hujaleta takwimu suala la Salim kuamua kurudi Tanzania ni binafsi sana contract yake ilivyoisha aliamua kurudi nyumbani kwa matakwa yake.

Hivyo jua kama ambavyo Salim aliamua kurudi bongo 2023 ndivyo kuna watanzania pia 2023 waliona fursa na kuifanya UK kuwa makazi yao ya kudumu japo upande wa Salim aliona arudi nyumbani kwa sababu zake.

Kwahiyo wewe acha hasira zako kws vijana wanaokuja US kutafuta green pasture wewe kama yalikushinda ukakimbia usikatishe tamaa wenzio kwamba mtu akija huku ni shamba , box na care homes.
Wengi wenye nyumba niliowatembea wamejenga nyumba za mbao au wamenunua nyumba mitaa hatarishi kama pale Detroit kwenye mahame yaliyoachwa baada ya viwanda vingi kuhamishiwa Asia.

Tanzania hatuna msamiati wa diaspora, hatuna takwimu nao na hatuwahitaji, labda Sasa hivi Kuna mazungumzo ya kuwatambua diaspora. Wengi wao hawana kazi za maana na wanajificha hawawezi kusogelea ofisi za uhamiaji. Wengi wao ni wale wanaoagizia watu wanaorudi Tanzania kihalali kwa ndugu zao. Yaani ukiwa US kama unataka kurudi tz fanya hivyo kimyakimya la zivyo utapewa mizigo
 
Wengi wenye nyumba niliowatembea wamejenga nyumba za mbao au wamenunua nyumba mitaa hatarishi kama pale Detroit kwenye mahame yaliyoachwa baada ya viwanda vingi kuhamishiwa Asia.

Tanzania hatuna msamiati wa diaspora, hatuna takwimu nao na hatuwahitaji, labda Sasa hivi Kuna mazungumzo ya kuwatambua diaspora. Wengi wao hawana kazi za maana na wanajificha hawawezi kusogelea ofisi za uhamiaji. Wengi wao ni wale wanaoagizia watu wanaorudi Tanzania kihalali kwa ndugu zao. Yaani ukiwa US kama unataka kurudi tz fanya hivyo kimyakimya la zivyo utapewa mizigo
Wewe jamaa una matatizo sana walimu wako walipata tabu sana kukufundisha sababu hujui unaposimamia.

Umehamisha upepo kusema hakuna diaspora anayetambulika na wengi hawana kazi na wanaogopa kwenda ubalozini ila ajabu remittances zinazotumwa kwa kiasi kikubwa zinatoka US na BoT wanaacknowledge hilo.

Kuhusu nyumba hasa ulivyodharau nyumba za mbao kwanza unajua kwanini nyumba za mbao zipo US bado?

Unaelewa durability ya mbao na uwezo wa kusustain natural calamities na mbao life span yake ni ipi?

Kama kawaida pia umefanya generalization na kwakuwa US kwa kufika tu Detroit umeshasema watanzania wanaishi nyumba za mbao je states zingine hakuna watanzania au wewe ulitembelea watanzania wote hapa ukaona nyumba zao?

Unajua gharama ya hiyo nyumba ikipelekwa kwenye pesa za kitanzania hadi kuisha kwake! Vipi kuhusu hali ya hewa tofauti kati ya US na Tanzania mimi hadi sasa nimeona aina nyingi za nyumba na so far sijafika states
8 tu za hapa tangu nije ?

Wimbo wa uraia pacha umekuwepo muda mrefu ila walioko madarakani hawautaki sababu utakuja kuamsha jamii kubwa ya waliolala .

US ni nchi ya kibepari wavivu kama wewe sio sehemu yao acha tuliokuja na kufaidika tuendelee kusaidia wanaohitaji kuja wewe kakae banana republic ambapo siasa ni mtaji wa kuwa tajiri kwa kuibia wananchi badala ya kutumikia wananchi na mwizi anaiba na hakuna anachofanywa sababu mihimili yote imetiwa mfukoni na executive.

Kwakuwa hakuna concrete evidence unazoleta zaidi ya hodgepodge stories hii ni reply ya mwisho kutoka kwangu I think utafute mtu aliye katika level yako ndio mfanye mjadala.
 
Ndugu nakuunga mkono Sana,huyu jamaa ni mjinga Kabisa,anasema waafrika walio USA wanatseka kujifaidisha USA,kwani wabongo hawateseki kujifaidisha bongo na viongozi wake?,anasema Mara hawapati kitu,je bongo wangapi wanafanya kazi siku 7 myaka,ila ukimwambia nisaidie laki Hana?,pia alivyo mshamba anawadharau wabongo wanafanya kazi mashambani USA,hajui kwamba pesa wanayopata wanalingana na mainjinia wa Tanzania!ila muache tu maana hajui kitu USA.


Sasa ndugu,nahitaji msaada wa kuja uko,yaani ntaitaji msaada wa barua ya mualiko wa matembezi uko,alafu tiketi na visa ntajilipia,kuhusu pasipoti nnayo.alafu nkifika ntaitaji kuniifadhi wiki,baada ya hapo ntapopata kazi ntakulipa gharama Mara 2,Nina ujuzi,pia ninaombaga kazi nyingi Sana huko na shida inakujaga nkiitwa kwenye interview,je waweza nisaidia?
Wewe jamaa una matatizo sana walimu wako walipata tabu sana kukufundisha sababu hujui unaposimamia.

Umehamisha upepo kusema hakuna diaspora anayetambulika na wengi hawana kazi na wanaogopa kwenda ubalozini ila ajabu remittances zinazotumwa kwa kiasi kikubwa zinatoka US na BoT wanaacknowledge hilo.

Kuhusu nyumba hasa ulivyodharau nyumba za mbao kwanza unajua kwanini nyumba za mbao zipo US bado?

Unaelewa durability ya mbao na uwezo wa kusustain natural calamities na mbao life span yake ni ipi?

Kama kawaida pia umefanya generalization na kwakuwa US kwa kufika tu Detroit umeshasema watanzania wanaishi nyumba za mbao je states zingine hakuna watanzania au wewe ulitembelea watanzania wote hapa ukaona nyumba zao?

Unajua gharama ya hiyo nyumba ikipelekwa kwenye pesa za kitanzania hadi kuisha kwake! Vipi kuhusu hali ya hewa tofauti kati ya US na Tanzania mimi hadi sasa nimeona aina nyingi za nyumba na so far sijafika states
8 tu za hapa tangu nije ?

Wimbo wa uraia pacha umekuwepo muda mrefu ila walioko madarakani hawautaki sababu utakuja kuamsha jamii kubwa ya waliolala .

US ni nchi ya kibepari wavivu kama wewe sio sehemu yao acha tuliokuja na kufaidika tuendelee kusaidia wanaohitaji kuja wewe kakae banana republic ambapo siasa ni mtaji wa kuwa tajiri kwa kuibia wananchi badala ya kutumikia wananchi na mwizi anaiba na hakuna anachofanywa sababu mihimili yote imetiwa mfukoni na executive.

Kwakuwa hakuna concrete evidence unazoleta zaidi ya hodgepodge stories hii ni reply ya mwisho kutoka kwangu I think utafute mtu aliye katika level yako ndio mfanye mjadala.
 
Usidanganyike kaka hakuna ugumu wowote ule kwenye kupata greencard. Kama nilivyosema green card ni aina nyingine ya soko la watumwa, mahali ambao wafanyakazi wa bei rahisi wanapatikana kwa urahisi. Hata wakati ule wa utumwa sio kila mtu alifaa kununuliwa na kusafirishwa kwenda ulaya na marekani, bali walikuwa wanatakiwa watumwa wenye nguvu na vijana barobaro. Hata kwenye soko hili la utumwa mamboleo (green card) kuna vigezo ambavyo ni lazima uwe navyo ili kufanikiwa kusafirishwa huko kwa ndege. Na vigezo hivyo ni pamoja na:
1. Umri wako - lazima uwe kijana (sifa hii haijabadilika tangu enzi zilee za utumwa)
2. Uwe na nguvu, usiwe mlemavu (sifa hii pia haijabadilika tangu enzi zilee za utumwa)
3. Uwe na elimu kubwa kumudu kufundisha vyuo vikuu au ujuzi maalum kama fundi bomba kuzibua vyoo, uuguzi kutunza wazee, mifugo kuhudumia wanyama, mazingira, ujenzi, IT. HIzi ni sifa muhimu za ziada ambazo ukiwa nazo uwezo wako wa kupata green card ni mkubwa mno mno mno ajabu kama kumsukuma mlevi.
4. Kujua kuongea Kiingereza kizuri. Hii nayo ni sifa muhimu ya ziada sawa na kuweka siagi kwenye mkate. Ndio maana utakuta Wakenya, Wamalawi, Wazimbabwe, Wahindi, Waphilipino, waninigeria, Wazambia wengi wanapata green card kuliko watanzania. Kaka anza kwenda pale British Council ukajifunze kiingereza chao.
5. Wenye mitaji ya kuwekeza Marekani. Sifa hii ni muhimu kweikwei.
6. Usiwe nkorofi wa nhalifu (unlawful)

Kaka kama unasifa hizi hukai foleni sana, wasikudanganye kuwa ni bahati na sibu, sioooooo kweeeeli, vigezo na masharti huzingatiwa hata kama wanatafuta manamba.
UONGO, UONGO,UONGO WA-KUNUKA NDIO HUU WAKO🥲

Wewe jamaa ni Muongo-Mnene-Mkubwa-wa-Kuogopwa na ikibidi wa kukaliwa mbali.
NI wazi hujui, Huielewi DV na kibaya na kubwa kuliko yote hujui kuwa hujui, unasikitisha.

Hivyo vi-point vyako uchwara nilivyovikoleza hapo juu hakuna hata kimoja kinahusika kwenye DV program ni uongo,uzushi na ubabaifu wa kupotosha watu kwa sababu zako binafsi.

Na ieleweke, sina shida juu ya nini mtazamo na msimamo wako wewe binafsi au wa mwingine juu ya DV lakini inakera,inachefua na inatisha kujitokeza na kuongea uongo ambao haupo kabisa katika uhalisia wa Program yenyewe.

Kuna wakati kama hatuna cha kuongea basi ni vyema tukatulia kusoma tu vya wengine kuliko kuongelea tusichokijua.

Nawasilisha.
 
UONGO, UONGO,UONGO WA-KUNUKA NDIO HUU WAKO🥲

Wewe jamaa ni Muongo-Mnene-Mkubwa-wa-Kuogopwa na ikibidi wa kukaliwa mbali.
NI wazi hujui, Huielewi DV na kibaya na kubwa kuliko yote hujui kuwa hujui, unasikitisha.

Hivyo vi-point vyako uchwara nilivyovikoleza hapo juu hakuna hata kimoja kinahusika kwenye DV program ni uongo,uzushi na ubabaifu wa kupotosha watu kwa sababu zako binafsi.

Na ieleweke, sina shida juu ya nini mtazamo na msimamo wako wewe binafsi au wa mwingine juu ya DV lakini inakera,inachefua na inatisha kujitokeza na kuongea uongo ambao haupo kabisa katika uhalisia wa Program yenyewe.

Kuna wakati kama hatuna cha kuongea basi ni vyema tukatulia kusoma tu vya wengine kuliko kuongelea tusichokijua.

Nawasilisha.
Jaaamaaani!!!! unachobisha hapo ni nini? unakataa kwamba Green card program = availability of cheap labor? Unabisha kuwa viwanda vingi US vimehamishiwa Asia kwasaababu ya cheap labor, hence lower price of production? unabisha kuwa zile kazi ambazo haziwezi kuhamishika kwenda Asia ndio sababu ya kufatufa cheap labor kwa njia mbalimbali ikiwemo green card?, Unabisha kuwa watu weupe (wazungu) wanataka malipo makubwa kuliko wahamiaji (green card beneficiaries)? Unabisha kuwa wahamiaji wanalipwa kidogo na wanalipa kodi kubwa pia? unabisha kuwa wahamiaji wengi wanaponea fast foods kama hotdogs? Unabisha kuwa huko watu hawaugui upweke (loneliness)?. Guy endelea mbio, tambo na mbwembwe za kuijenga Amerika kwa nguvu zako zote.
 
Jaaamaaani!!!! unachobisha hapo ni nini? unakataa kwamba Green card program = availability of cheap labor? Unabisha kuwa viwanda vingi US vimehamishiwa Asia kwasaababu ya cheap labor, hence lower price of production? unabisha kuwa zile kazi ambazo haziwezi kuhamishika kwenda Asia ndio sababu ya kufatufa cheap labor kwa njia mbalimbali ikiwemo green card?, Unabisha kuwa watu weupe (wazungu) wanataka malipo makubwa kuliko wahamiaji (green card beneficiaries)? Unabisha kuwa wahamiaji wanalipwa kidogo na wanalipa kodi kubwa pia? unabisha kuwa wahamiaji wengi wanaponea fast foods kama hotdogs? Unabisha kuwa huko watu hawaugui upweke (loneliness)?. Guy endelea mbio, tambo na mbwembwe za kuijenga Amerika kwa nguvu zako zote.
Narudia tena,
Wewe hujui kuwa hujui na badala ya kuuliza ufahamishwe unajifanya unajua zaidi, Ni-shida!
 
Hii ni hasty generalization , ni fallacy mbaya sana ya kudraw conclusion kwa kutumia mtu mmoja.
Swali langu la msingi kabla sijakujibu ni kuwa hujaleta takwimu ya diaspora waliopo US walioko kazi za shambani na kazi za kitaaluma zaidi.

Pia vitu ulivyouliza hizo ni huduma za msingi na ninalipa na everything worth every penny , mnachojidanganya tu ni kuwa kila diaspora US amerent nyumba , ana mikopo na hawezi kusafiri muda wowote hadi summer/winter hii ni notion mbaya sana na wewe ndio unaibeba jibu langu tu jepesi ni yapata miaka 15 sasa nilishanunua nyumba 2 kwa sasa na ninaishi kwangu nyumba moja nikiitumia kwa matumizi mengine.

Pia nikijibu swali lako pia la kufikiri kila mtu amekuja huku kwa njia ya green card wala sio sawa mimi nilifuata elimu huku na ilinisaidia kunikomboa kifikra nilivyokuja sio nilivyo sasa nachokumbuka katika familia yangu ni watu wawili tu ndio waliniunga mkono(marehemu baba na dada yangu wa kwanza wengine wote kila mtu aliongea ya kwake!suprisly ni kuwa miaka 10 mbele niliwasidia ndugu zangu kuja huku na wote waliamua kubaki huku , na dada yangu yeye alielekea Uswisi ambapo aliyafanya makazi yake ya kudumu kwahivyo wewe huwezi kuwa mpya kunipa maneno ya kukatisha tamaa wakati maneno hayo niliambia miaka 20+ nyuma kisa tu nilikuwa lastborn na wakaona siwezi pasua anga ugenini nilichojifunza kwa wabongo wengi (sio wote hata wengine tupo nao huku) exposure haijawasaidia hupenda kuona diaspora anachapika na kurudi nyumbani kapuku! kwangu hiyo nilikataa currently narun kampuni 6 za mambo tofauti 3 US, 2 Canada na 1 Seychelles sidhani kwa mtu mzembe anaweza mudu kufanya hayo.

Upweke ni subjective , ukishaujenga akilini unakukaa..Carlos Tevez akiwa Uingereza miaka hiyo alisema anapata homesick ya kurudi Argentina hapendi weather ya UK akasema hana furaha je unafikiri hakuwa na pesa au maisha yake yalikuwa magumu?

Bado hujaleta takwimu suala la Salim kuamua kurudi Tanzania ni binafsi sana contract yake ilivyoisha aliamua kurudi nyumbani kwa matakwa yake.

Hivyo jua kama ambavyo Salim aliamua kurudi bongo 2023 ndivyo kuna watanzania pia 2023 waliona fursa na kuifanya UK kuwa makazi yao ya kudumu japo upande wa Salim aliona arudi nyumbani kwa sababu zake.

Kwahiyo wewe acha hasira zako kws vijana wanaokuja US kutafuta green pasture wewe kama yalikushinda ukakimbia usikatishe tamaa wenzio kwamba mtu akija huku ni shamba , box na care homes.
Duuuh! Wewe bado uko kwenye ile stage ya kufikiria tumbo lako na matumbo ya familia yako basi. Hii ni stage ya chini kabisa ya kufikiria. Inafahamika kuwa hakuna wa kuishi milele na wala atakaezikwa na hela, majumba wala magari yake. Wanachofanya watu wenye uwezo mkubwa wa kufikiria ni kufikiria namna atakavyochangia kuisongesha nchi yake na dunia kwaajili ya vizazi vijavyo. Unajisifu kutengeneza kizazi cha wakimbizi kwenye nchi ambazo waishi kama class C ndani ya jamii.
 
Ndugu,Kila mmoja aliumbwa na akili yake timamu,Kila mmoja Ana haki ya kuchagua,Kama wewe ulivyochagua kuishi bongo,ndoivyo wengine wanachagua kuishi ulaya,kwaiyo usifikirie kwamba itatokeaga hata siku moja tukafanana akili,na Kama wewe ulivyo ambavyo haukubali kuenda ulaya kuishi,ndoivyo na wengine hauwezi waambia waishi bongo,wewe unayependa bongo upo sawa,na tunaoipenda ulaya tupo sawa tu,ukweli ni kwamba tusiukumiane,maana kila mmoja na maamuzi yake
Kinachowashinda vijana wetu kufanyakazi kama huyu n nn hadi waende wakafanyekazi za shuruti kwa manyanyaso?

View: https://www.youtube.com/watch?v=JSi8t5J7b5E
 
Rudini nyumbani while is not too late, msifosi ndugu zangu. Mtakuja kunikumbuka

View: https://youtu.be/9opDIsCIMYw?si=xrVRyVAzGAhB2X7q

Mimi nilichokiona hapo ni huyo dada mweusi ndiye amembagua Biden, hapo wote walikuwa wakimshibokea Biden wakitoa simu zao wapige selfie lakini huyo dada yeye ni kama alikuwa hamuoni Biden.
Halafu unaposema rudini nyumbani huko nyumbani ni wapi? Kama wewe pamekufaa na ukayapatia huko basi huko ndiyo nyumbani kwenu, usitake kulazimisha watu warudi huko ili watekwe, wadhurumiwe na kunyanyasika, kwani huko kuna unafuu gani? Huko walipo ndiyo pamewapenda na kuwapa maisha, waacheni huko au waliwahi kuja kuwaombeni misaada.
 
Back
Top Bottom