mkuu wapumbavu bongo ni wengi , hawajui tuna mifano hai na inayoingia akiliniWanafiki mnajaribu kupeana moyo..[emoji1] mnafikiri kila mtu ana akili kama zenu! Binadamu hawa ishiwi ropoka..fateni Maisha yenu...
Weka namba ya simuPUNGUZO @5,000 per application
Mpunguze uvivu wa kusoma, ukiwa mvivu wa kusoma unategemea kuambiwa kila kitu. Hayo unayodhani jamaa hajayasema wao wanaoendesha hilo zoezi wameyaandika kwenye documents zao tena kwa kirefu kabisaaa.Hizi ndo information huyo jamaa hasemi.Yeye anasifia Mwanzo-mwisho as if ukishashinda bhaasi wewe utabebwa Kama gunia direct to US.
Wabongo wengi ni wavivu wa kushughulisha bongo zao as a result wanatakiwa kutafuniwa kila kitu.Mkuu inaonekana huyu jamaa hamumfuatilii kwa makini sijui huwa mnahisi anajulikana hapa bongo tu
Mbona alishaelezea sana kwamba kwenye interview ukiulizwa swali kama utaingizaje kipato unaweza taja kazi yoyote halali hata kama utadanganya mfano unaweza hata kusema nitaenda kujiunga na jeshi la marekani hawatajali sababu baada ya hapo hawatakufuatilia kama kweli utaenda kufanya hiyo kazi
Kuhusu kuulizwa utaishi wapi alisema pia unaweza taja state yoyote au pia kwenye kutafuta host unaweza tafuta mtanzania mwenzio aishiye huko ambako mitandaoni utawapata wengi tu kisha mkubaliane kwamba yeye ndiyo aplay kama host wako hata kama hautaenda kufikia kwake hawajali
Stupid, learn to agree to disagree. Deplorable wewe mwenyewe. Idiot unamjua sheitwan wewe hadi unanifananisha na shetani. Ushindwe na ulegee.
Mnaposema kubeba boksi huwa mnamaanisha nini ?Wewe kama ni mpambanaji hizo story zao achana nazo wengi ni wale waliofeli kila kitu hata hiyo 20k wastani wa dola 9 mtu analia huwezi kusema anajielewa, wanaosaka fursa ughaibuni ndio maana unaambiwa uwe unaanzia elimu ya form six ukifika kule unaweza kupiga hata nursing maisha yakasogea, boksi la USA na Boksi la bongo ni vitu viwili tofauti pesa inayoingia kutoka kwa jamii ya diaspora Kenya au Nigeria au SA , inatia hasira sana maana jamaa wametoboa na wanajenga nchi zao na wanarudi kuwekeza kwao bila nongwa, hivo mwenye kutaka ataapply asietaka aendelee kulala japo dollar tamu bana ukikanyaga dollar ukaiweka kwenye madafu ndio utajua tuko dunia ya tatu
Teja, criminals issues,Wito wangu tuheshimu mawazo yanayokinzana na mawazo yetu ndio uungwana wala kutukanana sio sawa, nikiwa moja ya wasafiri wakubwa wale wasiosafiri au waliosafiri na kurudi nawaheshimu na siwapingi kabisa, tunahamasisha watu wakasake fursa nje cha kwanza uende kihalali, cha pili uhakikishe una makaratasi timilivu na ukumbuke sio kila anayesafiri anaenda kufanikiwa wengine tena wengi wako nje na wamepigika hawana lolote hadi kurudi nyumbani wanaogopa,
dada gasho au......si kuna wengi tu siku hizi af weyeeee...subiri kwanzaHalafu mimi sio dada wewe bibi kizee...
We jamaa mwanzoni mwa huu Uzi ulikuwa kinara wa kupinga Green card sasa naona umebadili gia angani una anza kuichangamkia!![emoji23][emoji23]Hizi fursa zilipaswa kusambazwa na kutangazwa na Halmashauri kote
Namzungumzia huyu Abdala kichwazKosa langu ni lipi hapo?