Angekuwa alicheza angeshawaambia. Kwa vile alivyo muongeaji lazima angesema tu.Una uhakika gani hakucheza? Labda alichezea na alipokosa ndo akatafuta option B. In life lazima uwe na back up plan ila lengo lazima litimie.
Si wewe hiyo ilikuwa to whom it may concern.Nimesema nafanyiwa application??? Au nimesema wanaotaka kufanyiwa? Una elewa kiswahili kweli?? Inabidi urudi shuleni kujifunza upya lugha ya kiswahili.
Waende tu. Bahati nasibu hiyo.Sema inafikia kipindi, inabidi tuangalie zaidi maisha yetu binafsi sio ya mwingine, mm mtu akichezewa hainihusu.
Aende US sawa tu.
Then.......... Cc:............ [emoji1787]Ahsante kwa taarifa...
Victorie hapa umewamaliza yaani hata kujaza fomu huwezi, utaweza vipi kumudu maisha ya marekani?Si wewe hiyo ilikuwa to whom it may concern.
Wanafiki mnajaribu kupeana moyo..[emoji1] mnafikiri kila mtu ana akili kama zenu! Binadamu hawa ishiwi ropoka..fateni Maisha yenu...Victorie hapa umewamaliza yaani hata kujaza fomu huwezi, utaweza vipi kumudu maisha ya marekani?
Sasa wewe shida yako ni nini haswa? Unafiki ama?Si wewe hiyo ilikuwa to whom it may concern.
Ameshindwa kujibu hoja hapa JF life US ataliweza?. Application yenyewe mpaka afanyiwe na Mzee wa 20,000/=Punguza hasira dada
Ni kweli mkuu, Tatizo la wabongo wanakurupuka ku judge mambo bila kufanya uchunguzi wa kina, Wao ni kuropoka,kukashifu na kukatisha tamaa,Ndio maana kuliko umpe Msaada Mtanzania bora umpe mbwa atashukuru sio wabongo waliojaa chuki ,husda, na kisirani...Ukimfuatilia Makulilo vizuri, utanielewa. Huyu jamaa anatutoa tongotongo Sana, anatuelimisha na kuwasaidia watanzania wengi. Nimefuatilia video zake nyingi mpaka Sasa nimemuelewa Sana.
We ni mnafiki..Ameshindwa kujibu hoja hapa JF life US ataliweza?. Application yenyewe mpaka afanyiwe na Mzee wa 20,000/=
Poa Ila ukweli Lazima usemwe. Kali akili za dada zetu Kama wewe US mtafika mkiwa hoiWe ni mnafiki..
Una thibitishaje mimi ni mdada? Au unahisi tu?Poa Ila ukweli Lazima usemwe. Kali akili za dada zetu Kama wewe US mtafika mkiwa hoi
Karibuni tukusaidie kufanya application ya Green Card lottery kwa 5,000 (elfu tano tu).Vijana changamkieni fursa adhimu ya kwenda na Kuishi Marekani. Full Raha kule hakuna mateso kama Nangurukuru
Mkuu nimekufuatilia unavyojibu wanaohoji hapa nimethibitisha pasi shaka jinsia yako. HongeraUna thibitishaje mimi ni mdada? Au unahisi tu?
Waanze na homeless men wanaoishi nao hukoVijana changamkieni fursa adhimu ya kwenda na Kuishi Marekani. Full Raha kule hakuna mateso kama Nangurukuru
Hizo ni hisia zako tu,Huo unaoita "uthibitisho pasi shaka" ni mawazo yako na imagination wala havina uhalisia wowote [emoji23][emoji23]Mkuu nimekufuatilia unavyojibu wanaohoji hapa nimethibitisha pasi shaka jinsia yako. Hongera
Tanzania hamna homless?Waanze na homeless men wanaoishi nao huko
Pole Sana. Vipi application imefikia wapi?Hizo ni hisia zako tu,Huo unaoita "uthibitisho pasi shaka" ni mawazo yako na imagination wala havina uhalisia wowote [emoji23][emoji23]
Imefikia pale pale ilipo ishiaPole Sana. Vipi application imefikia wapi?