Green Card Makulilo Lottery

Green Card Makulilo Lottery

Wenye 18 mpaka 25 yrs old acha waende
Sisi wenye 30+ na tuna watoto tuna shughuli zetu bongo. Siwezi cheza greencard. Kwanza kwenda kuishi kwa mtu mpaka usettle wakati hapa Mbweni ninaishi kwenye gorofa langu. Aku babu wewe .Maisha bongo ninaishi poa kabisa .Wanangu wanasoma Heaven of peace academy. USA mimi ninakwenda vacation tu.
Roho ya Jiwe hii. Omba hata hao watoto unaaowasomesha HOPAC wasiishie pabaya kwa dhambi za mama yao.
 
Nimekubali argument ya victorie wewe ukaingilia nikajukibu Sasa unasema oh najuaje huwezi kufanya mambo madogo Mimi nime support statement ambayo ni facts kwamba kama huwezi kufanya application usitegemee huko mbele utaweza mengine hii nikiongea general kulingana na argument. So sikujui nitoe ushauri wa Nini soma uelewe nilichoandika am support the argument not personal chat with someone. The fact watu wanatakiwa kuelewa kufanya application wenyewe na sio kufanyiwa.
Sawa sawa..
 
Wenye 18 mpaka 25 yrs old acha waende
Sisi wenye 30+ na tuna watoto tuna shughuli zetu bongo. Siwezi cheza greencard. Kwanza kwenda kuishi kwa mtu mpaka usettle wakati hapa Mbweni ninaishi kwenye gorofa langu. Aku babu wewe .Maisha bongo ninaishi poa kabisa .Wanangu wanasoma Heaven of peace academy. USA mimi ninakwenda vacation tu.
Sasa kama huwezi cheza green card, Usivunje moyo vijana kucheza green card..
 
EBM Scholar anasaidia vijana. Sisi ambao umri umeenda acha tukae pembeni kwanza.

Ila idea yake ni nzuri. Na mnaoshangaa kwa nn anachukua hiyo 20k Hvi mlitaka kweli akusaidie kujaza fomu na kukupiga picha Bure??
Hawa wanaoponda kutoa 20000, ni hawa hawa walijaziwa application ya kugombea chuo 15000, ya bodi ya mkopo 15000 Sasa cjui wanaongea Nini?? Nimesahau waomba ajira za tamisemi 15000 hadi ,20000 hkna Cha Bure bna.
 
Sio mtazamo ni facts Sasa application tu unataka ufanyiwe je utaweza kuelewa mfumo wa fedha wa marekani? Maana bila kuelewa hutaweza kuishi marekani. Jifunze kufanya mambo madogo mwenyewe Ili ufundishwe makubwa
Kwa Hyo ukifanyiwa huwez kujifunza.. ndg kila kitu Kwa maisha Yako unafanya mwenyewe Ili ujifunze. Peleka Akili hizo ndogo Huko chini...
 
Wenye 18 mpaka 25 yrs old acha waende
Sisi wenye 30+ na tuna watoto tuna shughuli zetu bongo. Siwezi cheza greencard. Kwanza kwenda kuishi kwa mtu mpaka usettle wakati hapa Mbweni ninaishi kwenye gorofa langu. Aku babu wewe .Maisha bongo ninaishi poa kabisa .Wanangu wanasoma Heaven of peace academy. USA mimi ninakwenda vacation tu.
Tuliza mshono..khaa!ghorof,heaven peace zimetoka wapi kwenye hii lotery
 
Kabisa yeye alioa mzungu. Why hakucheza green card ili apate ukazi wa USA?Ache awalie hizo elfu 30 30 za kuwajazia form .Upuuzi mtupu.

Ukioa au ukiolewa na mmarekani tayari ni kigezo cha kupewa green card.
Tambua kwamba green card. ni residency permit ambayo mtu anapewa kwahiyo kuna hizo, za kushindania kama bahati nasibu ( dv lottery) , za mwenza ukioa au ukiolewa.
Huyo EBM alipata greencard baada ya kuoa mmarekani.
Halafu kuna jamaa wanasema eti ni raia wa marekani, kitu ambacho sio kweli ,kama angetaka uraia wa marekani na amini angepewa ila hajaomba yeye bado ni raia wa Tanzania
 
Ashalamba uraia kamili, ni mwanajeshi mstaafu, wa US Navy, passport yake ya marekani roho inamuuma kuona wanaigeria wengi anataka avute wabongo wengi sijui kama atafanikiwa maana kwa ubishi tu tunajiweza
sio kweli jamaa hajaomba uraia wa marekani ni mtanzania
 
Hivi kwa Mfano ukishakuwa permanent resident wa nchi nyingine,unakosa vitu gani au unapungukiwa sifa zipi za ki raia?
permanent residence ya nchi nyingine haikupunguzii chochote kwenye sifa zako, za uraia wa nchi yako
 
Kuna ubaya akirudia kufafanua?

Arudie kufafanua kivipi wakati kila kitu kapost kwenye YouTube yake .
Ila kuna watu kama wewe nahisi kichwani kwenu hakuna ubongo,.
Unaambiwa ufafanuzi upo kwenye YouTube yake ,eti arudie kitoa ufafanuzi, nenda kwenye youtube au facebook akaunti zake ameeleza sana kuhusu huo mchakato
 
Kabisa yeye alioa mzungu. Why hakucheza green card ili apate ukazi wa USA?Ache awalie hizo elfu 30 30 za kuwajazia form .Upuuzi mtupu.

maswali mengine ya kipuuzi sana , ulitaka akuoe wewe?
Halafu yule mke wake sio mzungu ni mmarekani
Kwa ushamba wako kila ngozi nyeupe unajua ni mzungu
 
Sio mtazamo ni facts Sasa application tu unataka ufanyiwe je utaweza kuelewa mfumo wa fedha wa marekani? Maana bila kuelewa hutaweza kuishi marekani. Jifunze kufanya mambo madogo mwenyewe Ili ufundishwe makubwa
Yaani hawa wa kujaziwa form
maswali mengine ya kipuuzi sana , ulitaka akuoe wewe?
Halafu yule mke wake sio mzungu ni mmarekani
Kwa ushamba wako kila ngozi nyeupe unajua ni mzungu
Ni mzungu. Wewe ndo huna akili.Yani wewe baki tu Africa kwa uelewa wako huu zero brain US utaishia kula unga tu na kwenda kwenye clubs. Mtu yeyote mweupe ni mzungu then kuna wazungu wafaransa,wazungu wamarekani,wazungu waingereza,waitaliano n.k.
 
Ukioa au ukiolewa na mmarekani tayari ni kigezo cha kupewa green card.
Tambua kwamba green card. ni residency permit ambayo mtu anapewa kwahiyo kuna hizo, za kushindania kama bahati nasibu ( dv lottery) , za mwenza ukioa au ukiolewa.
Huyo EBM alipata greencard baada ya kuoa mmarekani.
Halafu kuna jamaa wanasema eti ni raia wa marekani, kitu ambacho sio kweli ,kama angetaka uraia wa marekani na amini angepewa ila hajaomba yeye bado ni raia wa Tanzania
Sasa na yeye si angecheza the bahati nasibu ? Ila akachagua the easy way kuoa mzungu mwenye obesity.
 
Roho ya Jiwe hii. Omba hata hao watoto unaaowasomesha HOPAC wasiishie pabaya kwa dhambi za mama yao.
Dhambi ipi sasa.Kutokutaka kwenda US kwa kucheza kamari ni dhambi ?
 
Back
Top Bottom