Roho ya Jiwe hii. Omba hata hao watoto unaaowasomesha HOPAC wasiishie pabaya kwa dhambi za mama yao.Wenye 18 mpaka 25 yrs old acha waende
Sisi wenye 30+ na tuna watoto tuna shughuli zetu bongo. Siwezi cheza greencard. Kwanza kwenda kuishi kwa mtu mpaka usettle wakati hapa Mbweni ninaishi kwenye gorofa langu. Aku babu wewe .Maisha bongo ninaishi poa kabisa .Wanangu wanasoma Heaven of peace academy. USA mimi ninakwenda vacation tu.