Hao mimi huwaita second generation diaspora.Mwanajeshi mstaafu wa US Navy lini tena wakati yeye hana miaka zaidi ya 10 huko
Yuko US since 2008 so anaelekea miaka 15 sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao mimi huwaita second generation diaspora.Mwanajeshi mstaafu wa US Navy lini tena wakati yeye hana miaka zaidi ya 10 huko
Iweeee bojooooooVijana changamkieni fursa adhimu ya kwenda na Kuishi Marekani. Full Raha kule hakuna mateso kama Nangurukuru
Hapo unaona umeongea point? green card ni hatua tu Ila kumenyeka kupo pale pale!
Wewe ni mstaafu fulani uliyekuwa na ndoto zako, lakini zimebuma...Punguza hasira dada
Tuna tatizo mahali. Si kwa roho mbaya hii na kukatishana tamaa. Wanaijeria na Wakenya haya mambo wako sharp sana na ndo wamejazana huko. Halafu hawa hawa wa kwetu ndo utawakuta wanalia ajira hakuna.
Maisha haya ni kupambana kwa hali yo yote ile. Lakini hata watu wanaojaribu kutufungua macho nao tunawaponda. Sioni kwa nini vijana wa Kenya waenee duniani kote wakipambana lakini wa kwetu wapo tu wanalalamikia serikali iwapatie ajira; na kuporomosha matusi mitandaoni humu.
Tuna tatizo mahali!
Wengi tu. Na wala sio kuwa kilaza ila wabongo wengi ni waongo waongo, kuna mtu kule juu kasema unaweza kudanganya vitu, na hapo ndio watu hugundulika na kufeli interviews.Inabidi uwe Kila first class kushindwa interview baada ya kushinda GC. Wangapi umesikia wameshindwa interview baada ya kushinda?
Mitanganyika mnaogopa Kila kitu ndo maana hamuendelei.
Hakuna sehemu nimepinga mtu kuanza chini kwenda juu, Kila mtu ataifanya na kupata anachostahili kulingana na uwezo wake uhalisia haudanganyi NO CARRIER NI MWENDO WA MANUAL WORKER that's my pointNi hatua tu ya maisha kama ambavyo mwingine anaanza umachinga kabla ya kuwa na duka.
Caregiver kiwanja ana hela kuliko mkurugenzi wa taasisi kubwa tu hapo bongo.
Makulilo hana utofauti na wale motivation speaker wa story za ufugaji na kilimo so akili za kuambiwa changanganya na zakoWabongo punguzeni chuki.... Tatizo unakurupuka hujawahi kumfuatilia Makulilo mwenyewe unakuja hapa na mapovu yako bila kuwa na uhakika ukisemacho...Hii nchi ina watu wenye chuki sana sana sanaaa...
Hivi kufanya application ya grean card kuna haja ya kutoa pesa mtu akufanyie wakati mfumo unakuelekeza what to do tendo la dakika kumi umemalizia sasa inakuwaje mtu anajwambia takuwepo ili kuwasaidia na anakujua kabisa hiyo ni bahati na sibu si ubora wa picha yako wala details zakoWabongo punguzeni chuki.... Tatizo unakurupuka hujawahi kumfuatilia Makulilo mwenyewe unakuja hapa na mapovu yako bila kuwa na uhakika ukisemacho...Hii nchi ina watu wenye chuki sana sana sanaaa...
Halazimishi mtu kumfanyia application..ukitaka fanya mwenyewe.ila kwa wanao taka tu kufanyiwa ndio hulipa gharama hizo.Hivi kufanya application ya grean card kuna haja ya kutoa pesa mtu akufanyie wakati mfumo unakuelekeza what to do tendo la dakika kumi umemalizia sasa inakuwaje mtu anajwambia takuwepo ili kuwasaidia na anakujua kabisa hiyo ni bahati na sibu si ubora wa picha yako wala details zako
Jiwe gizaniWazazi wa mwamba wanaishi nyumba ya ghorofa ngapi?
Haya ni maneno yako na mtazamo wako punguza chuki.. uonavyo wewe sio sawa na aonavyo kila mtu.Makulilo hana utofauti na wale motivation speaker wa story za ufugaji na kilimo so akili za kuambiwa changanganya na zako
Na inatakiwa uwe na cash za kujikimu ukifika hukoWatu wengi wanadhani ukishashinda lottery unapewa green card! Thubutu[emoji16] hapo katikati kuna documents nyingi utatakiwa kutuma na pia kuna interview, kwenye interview utalazimika kuelezea ukienda marekani utaishi wapi na utaingizaje kipato, lasivyo mchezo umeishia hapo.
Hizo gharama ni sh ngapi?Halazimishi mtu kumfanyia application..ukitaka fanya mwenyewe.ila kwa wanao taka tu kufanyiwa ndio hulipa gharama hizo.
Mtu akitofautiana mtazamo mbona inaonekana chuki! Wakati mwingine ni mtu kutokua na taarifa sahihi au mtu kutokubaliana na jambo kitokana na sababu zake. By the way jamaa ameona fursa anaitumia hakuna tatizo.Haya ni maneno yako na mtazamo wako punguza chuki.. uonavyo wewe sio sawa na aonavyo kila mtu.
Kwani aliye sema ni Msaada ni nani? Unapachika viji maneno vyako kukatisha watu tama hata iwe 20M sawa tu..wewe endelea kuwa chawa wa bosi wako tu[emoji23][emoji23]Nakazia, green card lottery si msaada Bali ujipange kifedha yapata 8m TZS na kiakili ukifika kule kazi kazi, sio kwamba ukishinda unasubiti safari tu Bali Kuna mchakato
Gharama za kufanyiwa application au gharama gani unazo taka wewe?Hizo gharama ni sh ngapi?
Yeah! Ameona fursa na halazimishi mtu kumfanyia application ni maamuzi ya mtu tu....sasa kuna watu wana chuki ya kuona kwa nini Makulilo anapata hela kwa application tu....sasa sijui walikuwa wanataka afanye bure? Lakini jamaa halazimishi mtu ukitaka sawa hutaki acha.Mtu akitofautiana mtazamo mbona inaonekana chuki! Wakati mwingine ni mtu kutokua na taarifa sahihi au mtu kutokubaliana na jambo kitokana na sababu zake. By the way jamaa ameona fursa anaitumia hakuna tatizo.
Hata ww ukitaka kuchangiwa unachangiwa Tu suna nduguHakuna ambae hataki waende Ila waende wakiwa well informed! Wakenya, Wahindi, Wacongo ndugu wanawachangia ndugu zao wanaopata Green card na matokeo yanaonekana.
Kwamba hapa nianze kusema Mali alizowapa wazazi na kuwajengea akili finyu kabisaJiwe gizani