Green Zone imeshambuliwa kwa maroketi karibu na ubalozi wa Marekani Baghdad Iraq

Green Zone imeshambuliwa kwa maroketi karibu na ubalozi wa Marekani Baghdad Iraq

[Q
Mkuu nina uwezo wa kukutukana maana unanilisha maneno ya group ambapo mi sikusema hivyo!! Kuwa makini.. hakuna haja ya marekani kuanzisha vita itaathiri Mambo mengi kwani vita hiyo inaweza kwenda hata kidini!! Na kuna waafrika huku hatujielewagi bendera fata upepo nasi tutaanza twangana Kuna maswala ya uchumi n.k yote yataenda kombo unafikiri ni kipi Bora..?
Hata hao Americans itaathiri lkn si kwamba hawawezi kuamini hivyo itakuwa ni undezi na Mambo huwa yana chini ya pazia tusichoshane bure

Marekani anzishe vita mara ngapi?
Kitendo cha kumuua yule kamanda tayari Marekani kishaanzisha vita.
 
Mkuu nina uwezo wa kukutukana maana unanilisha maneno ya group ambapo mi sikusema hivyo!! Kuwa makini.. hakuna haja ya marekani kuanzisha vita itaathiri Mambo mengi kwani vita hiyo inaweza kwenda hata kidini!! Na kuna waafrika huku hatujielewagi bendera fata upepo nasi tutaanza twangana Kuna maswala ya uchumi n.k yote yataenda kombo unafikiri ni kipi Bora..?
Hata hao Americans itaathiri lkn si kwamba hawawezi kuamini hivyo itakuwa ni undezi na Mambo huwa yana chini ya pazia tusichoshane bure
Katika karne hii unajisifia kua na uwezo wa kumtukana mwenzako badala ya kujisifia katika utoaji hoja?
 
KENZY, Unajifanya Tomaso hahahaaa! USA kahisi harufu mbaya ya kuweza kuharibu hali yake ya hewa vibaya sana kaamua kuufyata tangu lini USA akawa na hekima? Iraq mbona hakutanguliza hekima ? Libya mbona hakukuwa na hekima? Afghanistan mbona hakukuwa na hekima?

Hekima imekuja baada ya kuona anafuatwa moja kwa moja. Kuweni wapole ogopa sana kupigana na ambaye ameuchoka uonevu wako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika karne hii unajisifia kua na uwezo wa kumtukana mwenzako badala ya kujisifia katika utoaji hoja?
Watu wengine wanakirihisha Kuna haja ipi ya kunilisha maneno ambayo sijayasema..? Au hii ni karne ya kulishana maneno..?
 
Mkuu nina uwezo wa kukutukana maana unanilisha maneno ya group ambapo mi sikusema hivyo!! Kuwa makini.. hakuna haja ya marekani kuanzisha vita itaathiri Mambo mengi kwani vita hiyo inaweza kwenda hata kidini!! Na kuna waafrika huku hatujielewagi bendera fata upepo nasi tutaanza twangana Kuna maswala ya uchumi n.k yote yataenda kombo unafikiri ni kipi Bora..?
Hata hao Americans itaathiri lkn si kwamba hawawezi kuamini hivyo itakuwa ni undezi na Mambo huwa yana chini ya pazia tusichoshane bure
Tukana tu, ukweli ni kwamba Mzee wenu kaweka mpira kwapani alifikiri ni Saddam yule

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Watu wengine wanakirihisha Kuna haja ipi ya kunilisha maneno ambayo sijayasema..? Au hii ni karne ya kulishana maneno..?
Bwana mdogo hebu fuatilia kauli alizotoa Trump baada ya kuuwawa kwa Qasem harafu fuatilia wachangiaji walisema nini juu ya kauli za dharau za Trump akijua kuwa Iran watakaa kimya sasa wamemjibu kisawasawa saa zilezile ambazo Qasem ameuwawa.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mbona wkt Trump anasema ole wake Iran ilipue Asset zozote zile za Amerika lazima pachimbike mlifurahia sana.

Leo hizo assets zimepigwa na Iran ndio mmekuja na ngonjera za ooh asante sana Trump kwa kutumia busara hahahah

Kunguru mwoga hukimbiza unyoya wake-nae ni US.
Busara zimetumika hapo.

Kwa akili yako kabisa unadhani US wameshindwa kuichapa Iran?

Nuclear option ni short cut.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom