Km hawezi mfuateni km yy anavowafuataHahahaha leo mnaongea hivyo aiseee, maskini pro Us wanaonyesha huruma
Sent using Jamii Forums mobile app
apige washinton dc kwani yeye kapigwa teheranTatizo liko wapi?! Kama Irani NI shababi na sio mwoga arushe vitu kuipiga Washington DC! Kisha Aitawale kwa Sharia za kiayatola!
Sent using Jamii Forums mobile app
only one week tutakuwa huko.mchichapori,
Mungu tunusuru waja wako!!! No comment.
Duh....Bashiru atoe tamko
Marekani sio kunguru ni mwewe mtataKENZY,
Mbona wkt Trump anasema ole wake Iran ilipue Asset zozote zile za Amerika lazima pachimbike mlifurahia sana.
Leo hizo assets zimepigwa na Iran ndio mmekuja na ngonjera za ooh asante sana Trump kwa kutumia busara hahahah
Kunguru mwoga hukimbiza unyoya wake-nae ni US.
trump alidai anazotaarifa hizo kabla na alizitoa kabla bunge halijapiga kura hapo jana,Kupiga mita 100 kutoka US Embassy sio kwamba wamemisi target, ila Wataalam wa mambo wanasema hili ni onyo jingine tu iran ilitaka kumpa trump baada ya hotuba yake.
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh teh..πππ we noma aisee teh teh.πππKwa maana naona Khomenei amesema hilo shambulizi ni kofi, sasa naona ngumi na mateke havijaruka.