Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 649
- 547
Je umekuwa ukihangaika katika mawazo yako na maswali mengi kuhusu greenhouse? Je umekuwa ukipata stress (msongo wa mawazo) kutokana na kutopata maelezo na mafunzo sahihi ya jinsi ya kufanya kilimo cha gharama nafuu cha greenhouse hali inayosababisha upate stress? Je umekuwa ukijiuliza maswali miaka nenda rudi bila kupata majibu na hii imekuwa ikikukera siku hadi siku? Je umekuwa ukipoteza pesa zako kuingia kwenye mtandao kutafuta habari za greenhouse ila umekuwa hupati maelezo yanayotimiliza mtima wako na mwishowe ukiona pesa zako zinapotea hivi hivi kila mwisho wa mwezi ukipata mshahara wako? Je umekuwa ukiuonea huruma mshahara wako jinsi unavyopotea?
Usijali. Mimi Biashara2000, kwa walioshanunua vitabu vyangu wanajua jina langu halisi, niko kwa ajili ya kuondoa msongo wa mawazo unaokusumbua kuhusu greenhouse farming. Niko kwa ajili ya kukusaidia kufahamu kuhusu greenhouse ya bei nafuu bila kutumia mamilioni ya shilingi. Mimi naamini kuwa kilimo hakitakiwi kuwa bei ghali. Kama kikiwa bei ghali jua umeibiwa.
Mimi nimeandaa DVD inayokufundisha na kukuonesha jinsi ya kutengeneza greenhouse ya gharama nafuu (593,600/=) inayokufundisha yafuatayo:
1. Jinsi ya kuandaa eneo lako na kujua udongo unaofaa
2. Huhitaji mamilioni kujenga greenhouse
3. Ni video hivyo unaona hatua kwa hatua kutoka kuanda eneo, kujenga greenhouse hadi kuvuna
4. Hii DVD inakupa maelezo ya asilimia nyingi tu zaidi ya kitabu changu kinavyoelezea. Yaani yale uliyosoma kwenye kitabu unayaona katika video.
5. Hii video ndio mjomba wangu aliiona na kumwezesha kujenga greenhouse yake ya gharama nafuu.
6. Greenhouse hii ni ya 8x15 hivyo inakutengenezea mil. 27 katika miezi nane.
7. DVD hii inapatikana kwa sh. 35,000 ukitaka nikuletee ulipo Dar au Kibaha na sh. 30,000 kuifuata Makongo Juu hapa Dar.
8. DVD hii inakupa mafunzo yote kuhusu kujenga greenhouse kwa chini ya sh. 600,000/=
Mjomba wangu anayemiliki greenhouse anayefanya shughuli zake mjini mlandizi kibaha amekubali kwa wale wote wanaotaka kutembelea greenhouse yake ya gharama nafuu kuwa kuanzia tarehe 21 mwezi wa saba anakaribisha mtu yoyote anayetaka kutembelea greenhouse yake na kujifunza anakaribishwa. Ada yake ni sh. 25,000 tu, Ila utakachopata kitakuokolea mamilioni ya shilingi.
Nimeamua kuitoa DVD hii kutokana na watu 11 walionipigia simu kuanzia tarehe 21 June hadi jana wanaotaka niwathibitishie wamba greenhouse inaweza kujengwa kwa chini ya laki 6 na ukatengeneza milioni 27 ndani ya miezi 7. Kwa watu hawa nimezalisha DVDs zinazowatosheleza nyie, ila kwa wanaotaka wengine mnaweza nipigia kwa 0758 308193.
Pia kina DVD zinazoonesha jinsi ya kutengeneza mkaa wa kisasa hata kana una mtaji wa 5,000. DVD hii inapatikana kwa sh. 15,000.
Kwa wale wote walioshanunua vitabu vyangua wanapata discount.
DVD zote hizi zinapatikana kuazia kesho jumamosi 05 Julai.
Nawapenda nyote.
Asanteni.
Usijali. Mimi Biashara2000, kwa walioshanunua vitabu vyangu wanajua jina langu halisi, niko kwa ajili ya kuondoa msongo wa mawazo unaokusumbua kuhusu greenhouse farming. Niko kwa ajili ya kukusaidia kufahamu kuhusu greenhouse ya bei nafuu bila kutumia mamilioni ya shilingi. Mimi naamini kuwa kilimo hakitakiwi kuwa bei ghali. Kama kikiwa bei ghali jua umeibiwa.
Mimi nimeandaa DVD inayokufundisha na kukuonesha jinsi ya kutengeneza greenhouse ya gharama nafuu (593,600/=) inayokufundisha yafuatayo:
1. Jinsi ya kuandaa eneo lako na kujua udongo unaofaa
2. Huhitaji mamilioni kujenga greenhouse
3. Ni video hivyo unaona hatua kwa hatua kutoka kuanda eneo, kujenga greenhouse hadi kuvuna
4. Hii DVD inakupa maelezo ya asilimia nyingi tu zaidi ya kitabu changu kinavyoelezea. Yaani yale uliyosoma kwenye kitabu unayaona katika video.
5. Hii video ndio mjomba wangu aliiona na kumwezesha kujenga greenhouse yake ya gharama nafuu.
6. Greenhouse hii ni ya 8x15 hivyo inakutengenezea mil. 27 katika miezi nane.
7. DVD hii inapatikana kwa sh. 35,000 ukitaka nikuletee ulipo Dar au Kibaha na sh. 30,000 kuifuata Makongo Juu hapa Dar.
8. DVD hii inakupa mafunzo yote kuhusu kujenga greenhouse kwa chini ya sh. 600,000/=
Mjomba wangu anayemiliki greenhouse anayefanya shughuli zake mjini mlandizi kibaha amekubali kwa wale wote wanaotaka kutembelea greenhouse yake ya gharama nafuu kuwa kuanzia tarehe 21 mwezi wa saba anakaribisha mtu yoyote anayetaka kutembelea greenhouse yake na kujifunza anakaribishwa. Ada yake ni sh. 25,000 tu, Ila utakachopata kitakuokolea mamilioni ya shilingi.
Nimeamua kuitoa DVD hii kutokana na watu 11 walionipigia simu kuanzia tarehe 21 June hadi jana wanaotaka niwathibitishie wamba greenhouse inaweza kujengwa kwa chini ya laki 6 na ukatengeneza milioni 27 ndani ya miezi 7. Kwa watu hawa nimezalisha DVDs zinazowatosheleza nyie, ila kwa wanaotaka wengine mnaweza nipigia kwa 0758 308193.
Pia kina DVD zinazoonesha jinsi ya kutengeneza mkaa wa kisasa hata kana una mtaji wa 5,000. DVD hii inapatikana kwa sh. 15,000.
Kwa wale wote walioshanunua vitabu vyangua wanapata discount.
DVD zote hizi zinapatikana kuazia kesho jumamosi 05 Julai.
Nawapenda nyote.
Asanteni.