Greenhouse katika video

Greenhouse katika video

Status
Not open for further replies.
Mkuu nakushauri u-revisit my post kwanza usome kwa umakini zaidi, majibu yako yanaonyesha hukunielewa!!! - Mimi hapa nilikuwa sizungumzii masuala ya GreenHouse i.e project yako! Nizungumzia WATANZANIA tujaribu kuwa innovate, nikatoa mfano mdogo ambao mtu anaweza kuhutumia kunyunyizia mimea inayo zunguka nyumba yake - repeat mfano wangu had nothing to do na mambo/masuala yenu ya GREENHOUSE.

ok nimekupata
 
Nimefanya analysis ya gharama ulizoweka katika DVD yako uliyoniumia. We ulisema ni 593,600 hivi. Mimi nimepigiana mahesabu na suppler mmoja ambaye imefikia sh. 643,000. But still sio mbaya. Wengine gharama yao ni 2.5m na 5M. So nimekuwa very impressed nawe. Hongera.
 
Nimefanya analysis ya gharama ulizoweka katika DVD yako uliyoniumia. We ulisema ni 593,600 hivi. Mimi nimepigiana mahesabu na suppler mmoja ambaye imefikia sh. 643,000. But still sio mbaya. Wengine gharama yao ni 2.5m na 5M. So nimekuwa very impressed nawe. Hongera.


Inategemea na sehemu na mtu unayenunua hivyo vifaa. Lakini kama ulivyoonyesha bei haijatofautiana hivyo basi watu wengi watakuwa na uwezo wa kuanzisha greenhouse zao na eventually kujiongezea kipato chao na kuishi maisha wayatakayo.
 
Nimefanya analysis ya gharama ulizoweka katika DVD yako uliyoniumia. We ulisema ni 593,600 hivi. Mimi nimepigiana mahesabu na suppler mmoja ambaye imefikia sh. 643,000. But still sio mbaya. Wengine gharama yao ni 2.5m na 5M. So nimekuwa very impressed nawe. Hongera.
Mkuu Smart2014 hebu tupe suppliers maana material ndio isue ya msingi.
 
Mkuu Smart2014 hebu tupe suppliers maana material ndio isue ya msingi.

Kufahamu suppliers sio cha msingi. Hata ukiwa na hizo materials mbele yako kama huwezi jenga greenhouse ya gharama nafuu, hutaweza kuwa na greenhouse. Cha msingi hapa ni elimu na si shortcut
 
Kutokana na maombi ya watu wengi, nimeona nitoe ofa maalumu. Kwa atakaye nunua DVD ya greenhouse atapata video ya bure inayofundisha jinsi ya kutengeneza mkaa wa kisasa kwa mkono na kwa mashine bure. Ofa hii itakwisha tarehe 30.07.14
 
Biashara2000
Mie ni mdau katika kilimo na nimefanya research kuhusiana na ujenzi wa GH. Sikatai kwamba unaweza jenga green house kwa bei ya 593,000 ila ninamashaka kwani kuna cost ambazo ni hidden hapo, mfano Water tank ya kumwagilia iko included? minimun 250Lts, Nguzo nzuri za kujengea ni 6-8 inches ninakoishi ni mbezi zinauzwa 14,000 moja, hutazichimbia na kuziwekea zege? vijana utawalipa kiasi gani? je hutafanya soil na water test?
Kiuhalisi hizo garama ulizoweka sio sahihi kabisa kwa mtizamo wangu kilimo chenye tija kinahitaji uwekezaji, Hivyo basi garama ulizoonyesha hazina uhalisia zaidi watu wataishia kununua CD, mwisho wa siko its just good business on your side..
 
Nahitaji ushauri wa kilimo cha green house pamoja na bei ila nahitaji kufahamu nini haswa ama zao lipi linastawi katika ukulima wa kutumia ujuzi huu tafadhali nahitaji muongozo
tuwasiliane zaidi kwa pm
 
Nahitaji ushauri wa kilimo cha green house pamoja na bei ila nahitaji kufahamu nini haswa ama zao lipi linastawi katika ukulima wa kutumia ujuzi huu tafadhali nahitaji muongozo
tuwasiliane zaidi kwa pm

Ukiacha jinsi ya kujenga greenhouse yako pia katika dvd hii unapata mafunzo ya hatua kwa hatua jinsi ya kulima kwa ufanisi zao la nyanya
 
Biashara2000
Mie ni mdau katika kilimo na nimefanya research kuhusiana na ujenzi wa GH. Sikatai kwamba unaweza jenga green house kwa bei ya 593,000 ila ninamashaka kwani kuna cost ambazo ni hidden hapo, mfano Water tank ya kumwagilia iko included? minimun 250Lts, Nguzo nzuri za kujengea ni 6-8 inches ninakoishi ni mbezi zinauzwa 14,000 moja, hutazichimbia na kuziwekea zege? vijana utawalipa kiasi gani? je hutafanya soil na water test?
Kiuhalisi hizo garama ulizoweka sio sahihi kabisa kwa mtizamo wangu kilimo chenye tija kinahitaji uwekezaji, Hivyo basi garama ulizoonyesha hazina uhalisia zaidi watu wataishia kununua CD, mwisho wa siko its just good business on your side..

Nadhani tusichanganye. Wale wote wanaokujengea greenhouse kwa 2.5m, 5m au 6m wanasema gharama zao ni material yote kutoa nguzo. Nguzo utatafuta mwenyewe. Mimi nami ni hivyo hivyo ila gharama ni chini ya 600,000
 
Nadhani tusichanganye. Wale wote wanaokujengea greenhouse kwa 2.5m, 5m au 6m wanasema gharama zao ni material yote kutoka nguzo. Nguzo utatafuta mwenyewe. Mimi nami ni hivyo hivyo ila gharama ni chini ya 600,000

kama gharama ya 600k ni bila nguzo na ufundi, inanibidi niwe nimejiandaa kibindoni na zaidi ya 1m?
Kwa 8x15m, nguzo kama 40 za futi 15, na 5 za futi 18 zitatosha, au nyingi?
 
kama gharama ya 600k ni bila nguzo na ufundi, inanibidi niwe nimejiandaa kibindoni na zaidi ya 1m?
Kwa 8x15m, nguzo kama 40 za futi 15, na 5 za futi 18 zitatosha, au nyingi?

Katika 600,000 hii kuna gharama ya watu wa kukukatia nguzo hizi. Wakati mwingine kila kitu si lazima ununue.
 
Katika 600,000 hii kuna gharama ya watu wa kukukatia nguzo hizi. Wakati mwingine kila kitu si lazima ununue.

Mimi huku nilipo hakuna haja ya kununua hizo nguzo. Unampa hela kijana ya mboga anakukatia chap chap. Leo kijana huku ameshaanza hiyo kazi
 
Biashara2000 Mie ni mdau katika kilimo na nimefanya research kuhusiana na ujenzi wa GH. Sikatai kwamba unaweza jenga green house kwa bei ya 593,000 ila ninamashaka kwani kuna cost ambazo ni hidden hapo, mfano Water tank ya kumwagilia iko included? minimun 250Lts, Nguzo nzuri za kujengea ni 6-8 inches ninakoishi ni mbezi zinauzwa 14,000 moja, hutazichimbia na kuziwekea zege? vijana utawalipa kiasi gani? je hutafanya soil na water test? Kiuhalisi hizo garama ulizoweka sio sahihi kabisa kwa mtizamo wangu kilimo chenye tija kinahitaji uwekezaji, Hivyo basi garama ulizoonyesha hazina uhalisia zaidi watu wataishia kununua CD, mwisho wa siko its just good business on your side..

Mkuu hapo naona muhusika humtendei haki, hizo extra cost unazosema ziko variable kutegemea unanunua vifaa husika kutoka kwa duka gani, bila kujali sehemu unaponunua lakini nina hakika SUM TOTAL ya gharama zote haiwezi kuzidi laki nane/tisa - je unaweza kulinganisha na wale wanaojenga G.H kwa gharama ya million tano na ushei?

Binafsi sioni kama Biashara2K anawawekea Watanzania shinikizo la aina fulani ili wanunue DVD yake, mwisho wa siku mwenye uhamuzi wa mwisho wa je anunue au hasinunue DVD ya Biashara2K ni mteja mwenyewe. Mimi nawasihi Watanzania wenzangu tujaribu kuwapa moyo Watanzania wenzetu wenye nia ya ku-contribute ideas nzuri za miradi ambayo hiko affordable kwa Watanzania walio wengi, hata kama wahusika wanatoza fee kidogo, kwani tatizo liko wapi - tusiwakatishe tamaa Watanzania wenzetu jamani kwa kuwafikiria ni WASANII.
 
Mkuu asante kwa elimu. Huyo Mjomba wako tutampataje ili tukaone?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom