Biashara2000
JF-Expert Member
- Nov 9, 2013
- 649
- 547
- Thread starter
- #21
Mkuu nakushauri u-revisit my post kwanza usome kwa umakini zaidi, majibu yako yanaonyesha hukunielewa!!! - Mimi hapa nilikuwa sizungumzii masuala ya GreenHouse i.e project yako! Nizungumzia WATANZANIA tujaribu kuwa innovate, nikatoa mfano mdogo ambao mtu anaweza kuhutumia kunyunyizia mimea inayo zunguka nyumba yake - repeat mfano wangu had nothing to do na mambo/masuala yenu ya GREENHOUSE.
ok nimekupata