Realness,kichuguu na wengine,nilisema hapo kabla kuwa papa Gregory hakuwa papa wa "kawaida" kama wengi wanavyofikiri!Ndo maana kalenda ina jina lake na inadaiwa ndo papa aliemtangaza "Mungu wa kweli",kwanza mnatakiwa mjue kuwa Lucifer wakati anampa maagizo Nimrodi alimpa na namna ya kufanya ibada!Nimrodi alikuwa ni mtawala wa babeli,nafikiri mnajua babeli ilikuwa ya waabudu shetani,ibada yao kuu ilikua ni ibada ya sayari,jua na nyota,hao ndo walikua miungu yao,pia walikua wanatumia namba na ishara,miungu yao yaani nyota,sayari na jua ilikua 36,ila mungu mkuu alikua jua na mungu mke alikua mwezi,mungu jua aliitwa shamash na mungu mke yaani mwezi aliitwa ashtoresh!Majina haya yalikua yanabadilika kulingana na lugha ya eneo husika,mfano misri mungu jua aliitwa Horus na mungu mwezi aliitwa Isis,mungu jua alikua anaabudiwa jumapili(sun-day)na sikukuu ya kuzaliwa kwake ni 25 dec,mungu mwezi yeye sikukuu yake inaitwa Easter(EASTER ilitokana na neno ashtoresh)hata ukikagua sikuku ya pasaka husherekewa wiki ya kwanza baada ya kutoka mwezi mchanga mwezi wa 4!Namba walizokua wanatumia babeli ni 3,5,6,7,9,11 na 13,namba hizi zina nguvu maalum kutoka kwa Lucifer,na alimkabidhi Nimrodi na wafuasi wake na zinatumika mpaka leo!Imani ya babeli ipo hadi leo na vilivyotumika na kuabudiwa babeli vipo hadi leo na kazi ni ileile.Kanisa katoliki lilianzishwa na wapagani hao,ndo maana ukifika vatcan kuna alama za jua,mwezi na alama nyingi za kipagani!Zile namba,kila namba ina maana yake,hapa nitazungumzia namba 11 na 13 tu coz ndizo zinahaitajika hapa,angalia post yangu inayofuata,...