Apollo
JF-Expert Member
- May 26, 2011
- 4,920
- 3,240
Sema tu mimi huwa natumia hiyo calender katika kazi na masomo maana taifa linaiiga kalenda hiyo, kiukweli kiimani mimi ninaitumia Ethiopian Orthodox Tewahedo Calender ambayo next sunday ndio pasaka. Bless. Ila ningependa kujua ni kwanini waliamua kuikataa kalenda ya Egypt wakaiweka hiyo? Huyo papa alikuwa na malengo gani? TUjuzane maana hapa naona kila mtu analeta lake, ninaomba ushahidi.