sioni ubaya wa hizo amri. The world has to be depopulated, but naturally via natural deaths and family planning. Tunazaana sana hovyo na while the human race is dynamic, nature is static.
Na wewe mleta mada jifunze kuandika kwa ufasaha, na kuedit pia maana inaonekana umetubwagia hapa bila hata ya wewe kupitia
ni kwel, kabisa yani ni adhma yao watu wapungue ili waweze kurule fresh
Why maintain a population of 500,000,000 and not 1,000,000,000 or 5,000,000,000?
sioni ubaya wa hizo amri. The world has to be depopulated, but naturally via natural deaths and family planning. Tunazaana sana hovyo na while the human race is dynamic, nature is static.
Na wewe mleta mada jifunze kuandika kwa ufasaha, na kuedit pia maana inaonekana umetubwagia hapa bila hata ya wewe kupitia
Raia are you saying kua tusha reach hio stage ya kutakiwa tupungue? Nature is kind of dynamic too I believe...
self esteem is the problem here.Chances are middle Easterns and North africans ndio watapunguzwa sana kwani wao ndio openly wana tangaza kuzaana kwa wingi ili waje tawala dunia na kuwangamiza wengine.So tayari wamejiingiza ktk conflicts.
Hii ni imani yako mwenyewe uliyeandika hapa, na haimaanishi katu kuwa ndiyo ukweli. Kuna tofauti kubwa kati ya imani na ukweli. Hivi kuna ushahidi gani kuwa huyo unayedai ni Lucifer kwanza kweli yupo na kwamba aliwahi kuzungumza na binadamu, na wapi? Nani aliyeandika hayo na alikuwa wapi (upande wa nani) alipokuwa anayaandika, na tuna sababu gani ya kuamini kuwa ni ya kweli? Na huyo Mungu tunayemgombanisha na Lucifer ndiyo yupi? Kama ni yuleyule anayesemekana kuwa ndiye muumbaji wa vyote (including Lucifer) na mwenye uwezo wote, kuna walakini sana katika maelezo na imani yako! Hivi kuna mantiki hapa; kwamba Mungu muumba wa vyote na mwenye uwezo wote eti anasumbuliwa na viumbe aliowaumba mwenyewe, wanapanga mbinu chafu na wanafanikiwa mbele ya macho yake! Hii inakinzana na ukuu wa Mungu tunaohubiriwa, ambao napenda sana kuuamini. Na hivyo inanifanya niamini kuwa pengine Mungu yule muumbaji ni tofauti na huyu tunayesimuliwa hapa kuwa ana ugomvi na akina Lucifer, eti anakasirikiana na binadamu wake aliowaumba mwenyewe hadi anaamua kuwaangamiza kwa maji mara moto, mara gharika! Hata mhandisi wa kawaida binadamu tu akisanifu chombo chake kikatokea kutenda kazi kinyume na design aliyokusudia huwa hakichomi moto, badala yake anarudi kwenye drawing board na kutazama alipokosea ili arekebishe kiwe ama anavyotaka. Wanaotuhubiria kuhusu Mungu wanatuaminisha kuwa Mungu alishindwa kuumba binadamu wenye kumtii na sasa ameishia kuwakasirikia na kuwachoma moto!Namba 11 inamaana ya nguvu mbili zilizo sawa yaani Mungu na shetani(lucifer)mahali popote wapagani hawa watakapoitumia jua wanapeleka ujumbe kuwa Mungu na shetani wako sawa!(angalia tukio la sept 11 maarufu kama 911)Namba 13 ni namba ya uasi,wao wanatangaza wazi kua wamemuasi Mungu na wanamtumikia shetani!Hata Yuda wanamheshimu sana kwa uasi wake,wakati hajamuasi walipokuwa pamoja walikua 13!Mitume 12 na Yesu mwenyewd wa 13!Hivyo wanapoitumia namba hiyo wanaeneza ujumbe wa uasi kwa Mungu(angalia mhuri wa marekani,una ndege aina ya tai,miguuni ana tawi lina majani 13,mguu mwingine una mishale 13,mkia wake una manyoya 13!Bendera ya taifa hilo ina nyota 39(13 mara 3)mistari ya rangi nyekundu na nyeupe ipo 13)Papa Gregory ni papa wa 13 na aliruka siku 11 kwenye kalenda ya zamani!Hayo yote hayajatokea bahati mbaya!Huyo Mungu wa kweli alie mtangaza papa huyo si mwingine ni Lucifer!Kwa tafsiri ya namba ni kwamba,wanaendelea kutangaza uasi wa Lucifer alioufanya mbinguni(namba 13)na uasi huo alifanyiwa Mungu aliesawa na mungu wao Lucifer(namba 11)nadhani mtakua mmefahamu kwanini kalenda hiyo imeitwa jina la papa huyo!
Namba 11 inamaana ya nguvu mbili zilizo sawa yaani Mungu na shetani(lucifer)mahali popote wapagani hawa watakapoitumia jua wanapeleka ujumbe kuwa Mungu na shetani wako sawa!(angalia tukio la sept 11 maarufu kama 911)Namba 13 ni namba ya uasi,wao wanatangaza wazi kua wamemuasi Mungu na wanamtumikia shetani!Hata Yuda wanamheshimu sana kwa uasi wake,wakati hajamuasi walipokuwa pamoja walikua 13!Mitume 12 na Yesu mwenyewd wa 13!Hivyo wanapoitumia namba hiyo wanaeneza ujumbe wa uasi kwa Mungu(angalia mhuri wa marekani,una ndege aina ya tai,miguuni ana tawi lina majani 13,mguu mwingine una mishale 13,mkia wake una manyoya 13!Bendera ya taifa hilo ina nyota 39(13 mara 3)mistari ya rangi nyekundu na nyeupe ipo 13)Papa Gregory ni papa wa 13 na aliruka siku 11 kwenye kalenda ya zamani!Hayo yote hayajatokea bahati mbaya!Huyo Mungu wa kweli alie mtangaza papa huyo si mwingine ni Lucifer!Kwa tafsiri ya namba ni kwamba,wanaendelea kutangaza uasi wa Lucifer alioufanya mbinguni(namba 13)na uasi huo alifanyiwa Mungu aliesawa na mungu wao Lucifer(namba 11)nadhani mtakua mmefahamu kwanini kalenda hiyo imeitwa jina la papa huyo!
Kichuguu unanifanya nicheke sana,hivi unafikiri mimi nazungumzia imani yangu?Jiulize ni kwanini ziondolewe siku 11 na sio pungufu?Kwanini hayo yafanywe na papa wa 13 na sio zaidi yake au nyuma yake?Hili sio suala la imani kijana,petro anaedaiwa kuwa papa wa kwanza wa kanisa katoliki sio yule mfuasi wa Yesu,mimi sikuzungumzia dini wala haya mambo hayakutokea bahati mbaya kama unavyofikiri!