tusemeje kwa wale wasiojua kule vijijini? Wanaoita watoto wao majina kutokana labda na kupendezwa na mtu mwenye jina hilo hata kama si wapagan? Imani na jina ni vitu viwili tofauti,unaweza ukaitwa ndizi ila wewe ni binadamu au ukaitwa simba wewe si simba bali ni binadamu..Labda utoe rai kwa wana jf kwamba tujitahidi kuwachagulia wenetu majina yenye maana tunazozijua dhahiri na si kukulupuka.Vodka na Apollo,naomba mfahamu kuwa tatizo langu sio imani ya Apollo kwa sababu imani yake siijui,lakini pia kama angeniambia kuwa yeye ni mpagani wala nisingekuwa nazungumza sasa kuhusu jina lake na upagani kwani ningejua anatumia jila lililo sahihi na imani yake,tatizo linakuja pale anapotafuta excuse kuhusu uhalisi wa jina lake,Apollo ni mungu wa wapagani na jina hilo lina maana yake na linapotumika linatumika kwa maana hiyohiyo.Pia yeye kuitwa jina hilo kuna mahusiano na jina na imani hiyo kutokana na alietoa jina hilo na mazingira aliyokuwepo.Mimi nafahamu asili ya jina langu na maana yake sijakurupuka ndugu.Pia shetani ni shetani hawezi kuchangamana na Mungu!!
Ndugu yangu kichuguu sijawaulizia hao mapapa wengine kwa sababu hawakuwa na mchango katika calender. Kumbuka pope gregory ni mtu anaesadikika kumtangaza mungu wa kweli. Sasa hapa ndipo kwenye swali. Watu wengine wenye mamlaka walikuwa wapagan mf. Siwez kumzungumzia caesar yeyote coz wao hawakuwa wakristu. Namzungumzia papa kwa sababu ni mkristo na ana mchango katika kalenda
tusemeje kwa wale wasiojua kule vijijini? Wanaoita watoto wao majina kutokana labda na kupendezwa na mtu mwenye jina hilo hata kama si wapagan? Imani na jina ni vitu viwili tofauti,unaweza ukaitwa ndizi ila wewe ni binadamu au ukaitwa simba wewe si simba bali ni binadamu..Labda utoe rai kwa wana jf kwamba tujitahidi kuwachagulia wenetu majina yenye maana tunazozijua dhahiri na si kukulupuka.
Nimekupata ma2mbo Kuhusu Waislam kutumia nyota naomba umtafute mmoja umuulize maana ni alama za kipagani na zilitumiwa Babeli ya kale.Kama dini hiyo ina uhusiano na vyama vya siri sijui.Wamisri wa kale walikua sio waarabu hawa waarabu wa leo walikuja wakati wa utumwa.maswali yako mengine nitayajibu baadae kidogo
Hii thread ni ya zamani sana ila kuna mtu kanirudisha hapa. Niliposoma post hii nimecheka sana; nadhani kwa mantiki hii watu wote waliozaliwa tarehe 11 mwezi wa 11 wana nguvu sana za kishetani. Nakumbuka kuwa vita ya kwanza ya dunia ilikwisha tarehe 11 mwezi wa 11 saa ya 11 (the eleventh hour of the eleventh day of the eleventh month); je vita hiyo ilimalizwa kwa nguvu za kishetani?. Kuna article nimesoma hapa inayozungumzia hiyo namba 11Sept 11 ni siku ya 254 ya mwaka,2+5+4=11,na zinakua zimesalia siku 111 mwaka uishe!New York City nayo ina herufi 11 na ni taifa la 11 kujiunga na USA!911 ni namba ya dharula ya Marekani!Majengo ya WTC yakiwa yamesimama yanatemgea namba 11 jumlisha na namba ya ndege ya kwanza kugonga WTC ambayo ni flight 11 kisha tarehe ya siku ya tukio yaani tarehe 11 unapata 33,hii ni idadi ya digree ya Freemason!Wakati ndege ya kwanza ingonga WTC ilikuwa umbali wa futi 159 na inchi 2 kutoka ardhini,1+5+9-2=13!Hekalu la freemason wa digree ya 33 liko umbali wa 13 blocks kutoka white house!Ukitaka kujua maana ya namba hizo angalia post zangu zilizotangulia pia kuhusu sept 11 au maarufu kama 911 soma ufunuo 9:11,pia kwa namba 13 soma mwanzo 14:4,ila kwa maelezo angalia post zangu zilizotangulia ujue maana ya namba hizo kwa mujibu wa waabudu shetani hawa!Je hayo nayo ni imani yangu?Je osama alipanga hayo?Au ilikua ni ibada ya kishetani?
Hii thread ni ya zamani sana ila kuna mtu kanirudisha hapa. Niliposoma post hii nimecheka sana; nadhani kwa mantiki hii watu wote waliozaliwa tarehe 11 mwezi wa 11 wana nguvu sana za kishetani. Nakumbuka kuwa vita ya kwanza ya dunia ilikwisha tarehe 11 mwezi wa 11 saa ya 11 (the eleventh hour of the eleventh day of the eleventh month); je vita hiyo ilimalizwa kwa nguvu za kishetani?. Kuna article nimesoma hapa inayozungumzia hiyo namba 11
ma2mbo,kuhusu kanisa katoliki na Marekani ni kwamba hakuna uhasama wowote kati yao,ndo maana Bush alienda kwenye mazishi ya Papa John Paul.Huku kutokuelewana unakokusikia ni danganya toto tu hakuna kitu,lao moja,kuutawala ulimwengu na Lucifer awe mungu wao.
Hii thread ni ya zamani sana ila kuna mtu kanirudisha hapa. Niliposoma post hii nimecheka sana; nadhani kwa mantiki hii watu wote waliozaliwa tarehe 11 mwezi wa 11 wana nguvu sana za kishetani. Nakumbuka kuwa vita ya kwanza ya dunia ilikwisha tarehe 11 mwezi wa 11 saa ya 11 (the eleventh hour of the eleventh day of the eleventh month); je vita hiyo ilimalizwa kwa nguvu za kishetani?. Kuna article nimesoma hapa inayozungumzia hiyo namba 11
Mkuu,siyo kila kinachofanyika tarehe 11 kinakuwa na maana hii niliyoisema hapa isipokuwa kinachoangaliwa ni lengo la mfanyaji....Hii thread ni ya zamani sana ila kuna mtu kanirudisha hapa. Niliposoma post hii nimecheka sana; nadhani kwa mantiki hii watu wote waliozaliwa tarehe 11 mwezi wa 11 wana nguvu sana za kishetani. Nakumbuka kuwa vita ya kwanza ya dunia ilikwisha tarehe 11 mwezi wa 11 saa ya 11 (the eleventh hour of the eleventh day of the eleventh month); je vita hiyo ilimalizwa kwa nguvu za kishetani?. Kuna article nimesoma hapa inayozungumzia hiyo namba 11
JFK hakuuawa kwasababu ya Ukatoliki wake mkuu....kina realness Eiyer Kituko Vodka na wengine naomba mnijuze...
Ivi kwa nini Waislamu wanatumia mwezi na nyota kwenye alama zao??
Je dini ya Islamu yenyewe haina mahusiano na secret societies ??
Wamisri wa kale tunaowasoma kwenye mahandiko ni kweli hawakuwa waharabu??kama walikuwa weusi mbona wa sasa ni waharabu??
Mnasema USA inaongozwa na misingi ya secret societies,pia mnahiusianisha Katoliki na Secret societies.....sasa mbona hawa wamarekani hawataki kuongozwa na Rais mkatoliki??mfano JFK walimuua sababu ni mkatoliki...pia kwa nini Marekani inaanzisha madheebu mengimengi kujaribu kudhoofisha kanisa katoliki??mfano madheebu ya kilokole,ikiwa mnasema USA na Katoliki ni lao moja..