D Dynamics Senior Member Joined Feb 2, 2024 Posts 159 Reaction score 194 Jan 30, 2025 Thread starter #41 Habari wadau mzigo upo sokoni bado. Mashine zote nitakuachia kwa Shilingi 700000 pekee. Karibu sana
D Dynamics Senior Member Joined Feb 2, 2024 Posts 159 Reaction score 194 Jan 30, 2025 Thread starter #42 Jaluo_Nyeupe said: Mkuu kama hutajali punguza bei ufanye biashara hata kama wewe ulinunua ghali kuliko bei ya soko. Sijui kuhusu hiyo welding machine lakini ukinipa 350-380k nakupatia Makita Grinder kama hiyo hiyo mpya kabisa. Na ni makita org sio makita mt. Click to expand... Nimepunguza bei. Kwa Sasa machine zote mbili nitazitoa kwa Shilingi 700000
Jaluo_Nyeupe said: Mkuu kama hutajali punguza bei ufanye biashara hata kama wewe ulinunua ghali kuliko bei ya soko. Sijui kuhusu hiyo welding machine lakini ukinipa 350-380k nakupatia Makita Grinder kama hiyo hiyo mpya kabisa. Na ni makita org sio makita mt. Click to expand... Nimepunguza bei. Kwa Sasa machine zote mbili nitazitoa kwa Shilingi 700000
D Dynamics Senior Member Joined Feb 2, 2024 Posts 159 Reaction score 194 Feb 1, 2025 Thread starter #43 Karibuni