Grinder mashine na welding machine vinauzwa

Grinder mashine na welding machine vinauzwa

IMG_20240914_092905.jpg

IMG_20240914_092927.jpg
 
Kiongozi vitu vya umeme (Electronics)vinahitaji utaalam kidogo kabla ya kuchangia
Ukisema Makita ni 350k; unatakiwa uweke na specification za hiyo Makita kwani makita ni jina tu kama mfano useme Simu ya Samsung (ujue kuna simu ya samsung ya shs 320,000 lakini pia zipo Simu za Samsung za hadi shs million 3; na hata kwa Edon ni hivyo hivyo
Yeye ameweka picha yenye model, hivyo unaweza kui google, ukajua specification zake. Wewe ungetoa spec au ungeambatanisha picha, tungeona
Nadhani kashaongea kuwa ni inch 9,na ukizoom unaona model no ambayo ni GA 9020 kazi kwako.
 
Ukifika 500k PM yangu iko wazi kwa ajili ya biashara
Kwa mashine hizi na zilivyo katika hali yake bei haitokaa ifike huko ndugu yangu niwe mkweli na nisikupotezee muda wako wa kuendelea kusubiri.


Kwa mtu aliye serious bei ya ukomo ni 730000
 
Karibuni wadau mzigo bado upo na bei imeporomoka, kwa sasa unaweza kujichukulia mali ukafungue workshop yako kwa thamani ya shilingi 720000 pekee.


Karibuni sana
 
Wadau mzigo upo na bei ndio kama hivyo imepoa sana.

Karibuni
 
Wadau mzigo upo na bei ndio kama hivyo imepoa sana.

Karibuni
Mkuu kama hutajali punguza bei ufanye biashara hata kama wewe ulinunua ghali kuliko bei ya soko. Sijui kuhusu hiyo welding machine lakini ukinipa 350-380k nakupatia Makita Grinder kama hiyo hiyo mpya kabisa. Na ni makita org sio makita mt.
 
Ninesoma comments zoote hadi hapa.
Kwa leo sioni kama nina lakusema hapa...
 
Grinder pekee sh ngap nimchukulie wife asiwe anaita fundi akitaka kuweka mapazia yake
 
Back
Top Bottom