TANZIA Grivas Mwangoka afariki dunia kwa ajali ya Gari

hao watu mali zao wanazijua wao wenyewe kwakweli acha tu sio pombe wala nini ila kuna mengi yaani
Kwa research yangu isiyo rasmi matajir wengi wambeya wanakufa naajali zamagari wakiwa wao ndio madereva.
Mmiliki wa shule ya agrey(mwambusi) waligongwa akiwa namwanaye, mliki w hotel ya greencity aligongwa na Taqwa akiwa anatoka dar. Kutakua kunanamna
 
Hii picha ya. Zamani sana,,mtu hafi mara mbili banah
 
shortcut hayo maeneo wanazipenda sana ndugu hiyo mbeya mjini nenda hadi huko mbozi mbozi ukiingia huko tunduma ndio usiseme yaani,
mfanano wa vifo historia ya maeneo hayo kunakuwa na uwalakini sana,
 
Eti Wana mkataba na Mungu [emoji38]
 
Hii barabara ya Moro dar inashida gani na matajiri wa mbeya??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…