Group la Kisukari

Ndio unavyo karirishwa na madaktari au sio?
Hizo dawa zote viwandani zinaongezewa tu chemical compound hakuna cha ziada
 
Ugonjwa wa kisukari Una weaken baadhi ya organs kutokufanya kazi Kwa ufasaha na mojawapo ni Figo sasa ukishaanza kuichanganyia dawa za kienyeji zisizo na dozi maalumu mara kikombe cha chai mara bakuli ndio kabisa unaua Figo lako kabla ya wakati
Hapa panahitaji elimu zaidi ya maelezo maana yule Daktari wetu wa Taifa 'Dokta Janabi', hili hajawahi kulisema kwamba Kisukari kinakula Figo, emu TOA ufafanuzi
 
Hello Wana Great Thinker, naombeni mwenye link ya group la wenye Kisukari aniunge please
, Anitumie link au number , shukrani sana wapendwa ,
Mashine za kupimia sukari sukari - GLUCOMETER

Package ina
-1 Glucometer (mashine ya kupima sukari)
-25 testing strips
Bei : 35,000/=

Testing Strips (50)
Bei: 20,000/=


Tupo TANZANITE PHARMACY - Tabata Aroma

Mawasiliano
0653776099
0789344956
0767810030
0620249911

Free delivery pia ipo ndani ya Dar es Salaam
 

Attachments

  • GridArt_20241108_202828285.jpg
    263.5 KB · Views: 3
  • GridArt_20241106_132658156.jpg
    383.5 KB · Views: 4
  • GridArt_20241106_132802409.jpg
    2 MB · Views: 4
  • GridArt_20241018_003542180.jpg
    204.5 KB · Views: 4
  • GridArt_20241018_003009070.jpg
    183 KB · Views: 4
  • GridArt_20241018_003328309.jpg
    322.7 KB · Views: 4
  • GridArt_20241018_002936104.jpg
    169.2 KB · Views: 4
  • GridArt_20241018_002852936.jpg
    185.3 KB · Views: 4
  • GridArt_20241018_003220607.jpg
    295.3 KB · Views: 3
  • GridArt_20241018_003134335.jpg
    208.7 KB · Views: 3
  • GridArt_20241018_002751063.jpg
    270.7 KB · Views: 3
  • GridArt_20241018_003424593.jpg
    288.2 KB · Views: 4
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…