Group za Whatsaap Ni shidaa

Mi niliungwa group la ukoo basi mpaka watoto wa darasa la 5 (ana simu kanunuliwa na baba yake) ana comment/post daah! nilichokaje?
 
Nilitumiwa mwaliko wa tuliogradute pa1. Nilikataa hapohapo. Sitokaa kuingia hizo groups.

Btw... wazungu wameanzisha group la viongozi wa nchi walizotawala. Mkulu kaamua kununua simu ya tochi!!
 

Mitandao yote hiyo ya nini na uko active?
 

Okay tumeshajua ulisoma physics na chuo ukasomea mambo ya networking.
 
...binafsi yamenisaidia kuwagegeda baadhi ya memba wa humu JF ...kuona papuchi zao..yaani raha
 
...halafu siku kila group utasikia ooh mnaonaje tukiwa km chama maana wote wamoja sasa tuwe na umoja.....nikauliza km nina magroup 9..kila moja likitaka elf 50..kweli mshahara wa muhindi utatosha kweli kuchangia hiyo kufa na kuzika..km sio kuuana mapema kwa presha ya madeni ya group..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…