Hivi WhatsApp kuna njia ya ku transfer full Admin rights to another member? Maana nina miezi nimekimbia kwenye ma group sasa kuna moja nililitengeneza mwenyewe :lol::lol::lol: Nawawazia kondoo zangu wanavoendelea lolol shepherd kakacha, ningewezea wapi na shule inawaka moto niache kuzima nimekalia ku forward msg za whatsApp kha!