GSM aahidi mil 60 kila mchezaji kama yanga ikitwaa ubingwa CAFCC

GSM aahidi mil 60 kila mchezaji kama yanga ikitwaa ubingwa CAFCC

Hela hizo anatoa mzee wa mizoga huyo gsm si kivuli tu bado hamjajua mpaka leo????why???
Piga hesabu vzr boss, kule wakichukua kombe kuna zaidi ya tsh. bil 4. Watapata.

Hizo ml. 60 kwa kila mchezaji, mfano kuna wachezaji 30 × 60ml=1,800ml. Ambayo ni sawa na bl1.8. Hata nusu ya hiyo hela haijafika! Ndio maana kasema ni 47%.
 
Muwe mnatumia akili, pesa ya Yanga GSM hawahusiki nayo wala hawana mandate nayo, Yanga ni taasisi.
Pesa ya Yanga GSM hawahusiki nayo kivipi? ni nani anayeiendesha Yanga kwa sasa? Je anaendesha kwa pesa za Yanga au kwa pesa zake?
 
Pesa ya Yanga GSM hawahusiki nayo kivipi? ni nani anayeiendesha Yanga kwa sasa? Je anaendesha kwa pesa za Yanga au kwa pesa zake?
Huyu achana nae ni shabiki wa yanga wa matokeo tu, hajui ugumu uliopo katika kuendesha timu ya mpira
 
Kwahiyo kwako wewe unahisi hiyo hela inatolewa tu au sio?

Yaani nchi hii unajiamulia tu kiwa unatoa bil 2 kama zawadi ya wachezaji tena wasiokuwa wafanyakazi wako?

Tumia akili hiyo.
Waambie waelewe hao timu mbumbumbu
 
Mimi nafikri iyo Dola 30,000/= ni Kwa timu nzima.
Nitakua mtu wa mwisho kuamini GSM anatoa Dola 30,000/= Kwa Kila mchezaji.
Anachukua kwenye hela ya zawadi ya ubingwa, kumbuka hela ya zawadi ni mali ya timu sio mali ya wachezaji, sasa mfadhili ana haki ya kuipangia matumizi maana kumbuka hadi sasahivi yanga hajapewa hata senti tano ya kushiriki huko caf pesa zote zinatoka kwa GSM
 
Kwahiyo kwako wewe unahisi hiyo hela inatolewa tu au sio?

Yaani nchi hii unajiamulia tu kiwa unatoa bil 2 kama zawadi ya wachezaji tena wasiokuwa wafanyakazi wako?

Tumia akili hiyo.

nadhani unayohoji yana mantiki sana ila kwa nchi yetu hii sidhani kama utapata majibu. Fikiria timu kama singida big stars imepanda daraja ndani ya msimu mmoja imeweza kusajili hadi wa brazil. Pesa haijulikani zinatoka wapi,Hakuna anayehoji, halafu timu hiyohiyo akitumbuliwa mwanasiasa fulani na yenyewe inakufa.

haya mambo ni kushabikia kwa kujifanya mjinga tu kwa sababu kwa nchi hii hata ukihoji nothing happen.
 
Huu ndiyo mwanzo wa kuikwamisha yanga kuchukua ubingwa.

Hawa mbwa huahidi wakijua timu haiyaweza kushinda. Ikishinda mechi ya kwanza tu, watatafuta namna ya kuiangusha ili wasitoe hayo mamilioni.

Kama itakumbukwa, simba wakiahidiwa hyundai. Kilichofuata baada ya simba kutoa sare ugenini ni kuhakikisha inafungwa nyumbani.

Tusubiri tuone hiyo 60m kwa kila mchezaji kama itatoka.
...
Screenshot_20230527-104218538.jpg
 
Badala ya kuwaza atamsajili nani yeye anatafuta sifa. Uzee unawanyemelea walioifikia timu hapa kwa miaka hii miwili, ndo maana Mayele nafasi 20 anatupia moya, kina Bangala ndiyo washapotea. Kuna deni la yule kocha aliyewaita manyani, kuna deni la CAF kwa kuwapulizia sumu na kuwaibia pesa wanaija, kuna deni la mchezaji nyota wa Newcastle.

Famasihala nini
Wanaume wameanza lini kuwapangia.BAJETI wanaume wenzao?
Screenshot_20230527-104218538.jpg
 
Sijaelewa hii pesa itatolewa mfukoni kwa mtu anayeitwa GSM au itatolewa na kampuni inayotambulika kama GSM group of Companies.

Motive ya hii nini?

Hizo fedha zikitoka huko zinakotoka zitatambulika zimetoka kama nini? Sponsorship, advertisement au Aidful?

Utaratibu wa nchi yetu hasa ni upi juu ya mtu au kampuni itakapoamua kugawa kiasi kikubwa kama hiko cha fedha kwa Third parties?

Kwamba ni rahisi mtu au kampuni kuinject pesa kutoka outsource kiasi hiki?

Inawezekana vipi kiasi cha bil 1.9 kitolewe tu kama zawadi?

Au wamemaanisha hii itakuwa pesa ile ya ZAWADI ya ushindi yaani Bil 4.7 ndio katika humo watatoa kiasi hiko kwa kila mchezaji.

Hii taarifa ndio nimeiona muda si mrefu, ila bado napata mashaka ni kama hii taarifa haijakamilika.

Siamini kama nchi hii unaweza kuwapa watu zawadi bil 1.9 bila kuulizwa source ya hiyo pesa and how gharama hii itereheshwa?

Wadau naomba tuiweke hii kitaalam zaidi. Nimeshtuka sana na habari hii.

Nani halisi atatoa pesa hii, na itatoka kutoka kwenye Source ipi, na let say kwenye financial statements how will it be recorded so as to qualify as an expense.
PRIZE MONEY ya Bingwa wa CAFCC.

Hiko ndicho chanzo cha pesa.
 
PRIZE MONEY ya Bingwa wa CAFCC.

Hiko ndicho chanzo cha pesa.
Sasa nenda juu pale na uandike YANGA kuwapa bonus ya mil 63 kwa kila mchezaji endapo watachukua ubingwa. Neno GSM linaondoa maana na ya hiyo PRIZE.
 
Back
Top Bottom