Kwahiyo kwako wewe unahisi hiyo hela inatolewa tu au sio?Ulofa Mbaya sana, hiyo pesa ni sawa na Land cruiser V8 VXR 4 tu.
Swaini kabisa.
Piga hesabu vzr boss, kule wakichukua kombe kuna zaidi ya tsh. bil 4. Watapata.Hela hizo anatoa mzee wa mizoga huyo gsm si kivuli tu bado hamjajua mpaka leo????why???
Mkuu acha hasira nataka ni kuelimishe kazi za sponsor na haki zake uache ushabiki wa kupumbavu eti Yanga ni tasisi ikiwa tasisi manaake ni nini?Mpumbavu baba'ko, huna akili kichwani.
Pesa ya Yanga GSM hawahusiki nayo kivipi? ni nani anayeiendesha Yanga kwa sasa? Je anaendesha kwa pesa za Yanga au kwa pesa zake?Muwe mnatumia akili, pesa ya Yanga GSM hawahusiki nayo wala hawana mandate nayo, Yanga ni taasisi.
Huyu achana nae ni shabiki wa yanga wa matokeo tu, hajui ugumu uliopo katika kuendesha timu ya mpiraPesa ya Yanga GSM hawahusiki nayo kivipi? ni nani anayeiendesha Yanga kwa sasa? Je anaendesha kwa pesa za Yanga au kwa pesa zake?
We fala umenichekesha asubuhi asubuhiSuper League ng'eng'eng'e....
Waambie waelewe hao timu mbumbumbuKwahiyo kwako wewe unahisi hiyo hela inatolewa tu au sio?
Yaani nchi hii unajiamulia tu kiwa unatoa bil 2 kama zawadi ya wachezaji tena wasiokuwa wafanyakazi wako?
Tumia akili hiyo.
Anachukua kwenye hela ya zawadi ya ubingwa, kumbuka hela ya zawadi ni mali ya timu sio mali ya wachezaji, sasa mfadhili ana haki ya kuipangia matumizi maana kumbuka hadi sasahivi yanga hajapewa hata senti tano ya kushiriki huko caf pesa zote zinatoka kwa GSMMimi nafikri iyo Dola 30,000/= ni Kwa timu nzima.
Nitakua mtu wa mwisho kuamini GSM anatoa Dola 30,000/= Kwa Kila mchezaji.
Hivi unajua yanga walishawahi mfunga simba kila mchezaji alipewa 20M?Sio nyingi ila sisi wabongo siasa kibao,hakuna mtu wa kutoa hizo hela pale.
Tulilochukua kina nani?Kombe liko wapi? Namaanisha hilo ambali tayari mmechukua kiasi cha kulihesabu kama faida mliyonayo?
Wakishinda wanaingiza mabilioni ila wao wanalipwa mil 60. TuThubutu yake, mil 60 kwa kila mchezaji? Nyoooooo
Kwahiyo kwako wewe unahisi hiyo hela inatolewa tu au sio?
Yaani nchi hii unajiamulia tu kiwa unatoa bil 2 kama zawadi ya wachezaji tena wasiokuwa wafanyakazi wako?
Tumia akili hiyo.
...Huu ndiyo mwanzo wa kuikwamisha yanga kuchukua ubingwa.
Hawa mbwa huahidi wakijua timu haiyaweza kushinda. Ikishinda mechi ya kwanza tu, watatafuta namna ya kuiangusha ili wasitoe hayo mamilioni.
Kama itakumbukwa, simba wakiahidiwa hyundai. Kilichofuata baada ya simba kutoa sare ugenini ni kuhakikisha inafungwa nyumbani.
Tusubiri tuone hiyo 60m kwa kila mchezaji kama itatoka.
Wanaume wameanza lini kuwapangia.BAJETI wanaume wenzao?Badala ya kuwaza atamsajili nani yeye anatafuta sifa. Uzee unawanyemelea walioifikia timu hapa kwa miaka hii miwili, ndo maana Mayele nafasi 20 anatupia moya, kina Bangala ndiyo washapotea. Kuna deni la yule kocha aliyewaita manyani, kuna deni la CAF kwa kuwapulizia sumu na kuwaibia pesa wanaija, kuna deni la mchezaji nyota wa Newcastle.
Famasihala nini
PRIZE MONEY ya Bingwa wa CAFCC.Sijaelewa hii pesa itatolewa mfukoni kwa mtu anayeitwa GSM au itatolewa na kampuni inayotambulika kama GSM group of Companies.
Motive ya hii nini?
Hizo fedha zikitoka huko zinakotoka zitatambulika zimetoka kama nini? Sponsorship, advertisement au Aidful?
Utaratibu wa nchi yetu hasa ni upi juu ya mtu au kampuni itakapoamua kugawa kiasi kikubwa kama hiko cha fedha kwa Third parties?
Kwamba ni rahisi mtu au kampuni kuinject pesa kutoka outsource kiasi hiki?
Inawezekana vipi kiasi cha bil 1.9 kitolewe tu kama zawadi?
Au wamemaanisha hii itakuwa pesa ile ya ZAWADI ya ushindi yaani Bil 4.7 ndio katika humo watatoa kiasi hiko kwa kila mchezaji.
Hii taarifa ndio nimeiona muda si mrefu, ila bado napata mashaka ni kama hii taarifa haijakamilika.
Siamini kama nchi hii unaweza kuwapa watu zawadi bil 1.9 bila kuulizwa source ya hiyo pesa and how gharama hii itereheshwa?
Wadau naomba tuiweke hii kitaalam zaidi. Nimeshtuka sana na habari hii.
Nani halisi atatoa pesa hii, na itatoka kutoka kwenye Source ipi, na let say kwenye financial statements how will it be recorded so as to qualify as an expense.
Sasa nenda juu pale na uandike YANGA kuwapa bonus ya mil 63 kwa kila mchezaji endapo watachukua ubingwa. Neno GSM linaondoa maana na ya hiyo PRIZE.PRIZE MONEY ya Bingwa wa CAFCC.
Hiko ndicho chanzo cha pesa.