GSM aahidi mil 60 kila mchezaji kama yanga ikitwaa ubingwa CAFCC

Tayari pua zimeshakutanuka hapo. Relax!!
 
Ukiona mtu mwenye akili zake timamu anauliza swali kama hili basi kama ni mke au mume wa mtu hakuna kitu hapo bali ni box
Nikabidhi tundu lako dogo uone kama Mimi ni box au la.

Mimi nimemjibu mtu aliyesema "Hamna tajiri pale, ulishawahi kuona wapi tajiri kanji?". Sasa mimi nikamchallenge kama Kanji si tajiri ila Mwarabu ni tajiri, haya huyo Mwarabu ni tajiri wa ngapi Africa ukimlinganisha na Kanji? Kosa langu ni nini pale hadi unitolee lugha mbovu? Au mnataka muwe mnaleta upupu tu hapa na tusihoji?
 
Kweli sijakosea kukuita box mtu mwenye akili timamu hawezi kuongea utumbo huu
 
We muongo ungetuletea hata ushahidi ndo tukuelewe
 
Feisal mmeshindwa kumlipa halafu mnaleta siasa ila mpira wa bongo kila kitu comedy tu.
 
Kuna mtu kabisha kuwa hakuna klabu inayoweza toa bonas ya kombe kwa wachezaji.

Nikampa hiyo post kama ushahidi.
Ushahidi uliompa haujitoshelezi, mara ya mwisho umesikia Madrid anatembeza bakuli kwa wanachama na mashabiki wake ni lini? Kujifananisha nao kisa na wao wametoa bonasi ni kujitutumua tu. Na ishu siyo kutoa bonasi, ni jambo jema kujali wachezaji, wasisahau kuboresha maslahi yao ya kila mwezi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…