Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Mnyiramba hayuko vizuri sana msimu huu.Leo tunaweza kuchomoka
Shida ni kwa Mnyiramba yani pale zitamwagwa pesa ilimradi Uto wasawazishe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnyiramba hayuko vizuri sana msimu huu.Leo tunaweza kuchomoka
Shida ni kwa Mnyiramba yani pale zitamwagwa pesa ilimradi Uto wasawazishe
Sio kwa Simba tena wanajua Uto ana -3Mnyiramba hayuko vizuri sana msimu huu.
Source ni Jamii Forum mkuu.Source?
Toa ushahidi kwamba ni uzushiWakati mwingine muwe mnajisikia aibu mnapoleta taarifa za kizushi kama hizi.
Kama n hvyo sawaSource ni Jamii Forum mkuu.
Mbona hakuna GSM hapo! Ninavyojua prisons anadhaminiwa na silent ocean hata msimu jana alipewa ahadi kama iyo alivyocheza na yanga na jamaa walikichafua sana mechi ilikua ngumu sana goli la ushindi lilifungwa na feisal salum dakika za mwisho.Bodi ya Ligi mpo wapi? Mamlaka za kupambana na ufisadi mko wapi?Kila mechi ya Simba bahasha huwekwa Ili Simba ifungwe!
Je, tunapaswa kuwa na chombo maalumu kwa ajili ya kufuatilia Mambo km haya na kuchukua HATUA stahiki za kisheria?
Huwezi kusikia motisha Ili Yanga ifungwe?
Wanajua pamoja na kuimba kwamba Simba Ni mbovu lkn bila bahasha Simba itasshinda mechi zake na kuchukua ubingwa.
Nb: Nadhani ndiyo njia waliyoichagua Ili kudhoofisha wapinzani wao. Ubingwa wa bahasha.
Hivi kama timu haina uwezo hata iwekewe bilioni haiwezi kushinda.GSM akishirikiana na uongozi wa Prisons umetoa motisha katika timu yao ili kuepuka kichapo leo dhidi ya Simba.
Katika kikao kilichofanyia viongozi pamoja na wadau wametoa ahadi ya sh 25milioni kwa wachezaji endapo watapata Ushindi dhidi ya Simba.
Yes sir and i can submit it before your majesty court honourable sirDo you have any proof on that?
PtuuuuuuhhhhSwala la ubingwa kwa sasa msahau, itawachukua miaka kadhaa Simba kutwaa tena ubingwa wa ligi kuu.