GSM ameahidi bonasi ya TSh. milioni 500 endapo Yanga itashinda dhidi ya Simba

GSM ameahidi bonasi ya TSh. milioni 500 endapo Yanga itashinda dhidi ya Simba

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika zinaeleza kuwa mfadhili wa klabu ya Young Africans, GSM, ameahidi bonasi ya shilingi milioni 500 endapo timu hiyo itashinda dhidi ya Simba katika mechi inayotarajiwa kuchezwa Jumamosi.

1741334606328.png
 
Taarifa kutoka vyanzo vya kuaminika zinaeleza kuwa mfadhili wa klabu ya Young Africans, GSM, ameahidi bonasi ya shilingi milioni 500 endapo timu hiyo itashinda dhidi ya Simba katika mechi inayotarajiwa kuchezwa Jumamosi.

Vyanzo vya kuaminika vp? Hebu viweke kwanza hivyo vyanzo
 
Ukitoa uchawi Yanga kushinda dhidi ya Simba kesho ni jambo la lazima hayo mengine yatakuwa mapenzi tu ya GSM mwenyewe ila Simba haina timu ya kuifunga Yanga
Lazima sio, basi weka mil 10 uto kushinda upige mahela... aah utashangaa tena unaogopa.
 
Back
Top Bottom