MeryO
Member
- Oct 5, 2017
- 73
- 39
ATAKACHOKIFANYA DIAMOND BAADA YA ZARI THE BOSS LADY KURUDI | BONGO
Lini anazinduwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ATAKACHOKIFANYA DIAMOND BAADA YA ZARI THE BOSS LADY KURUDI | BONGO
Ok, hivi huyu mama watano naye ni model?
Tatizo bado liko palepale IQ za Watanzania ndio tatizo kubwa, kwahiyo huyu Zari ana benefit kwa Diamond out of uhawara wao?
Angalau umenifumbuwa macho nimeanza kuelewa maana mimi Insta nimejiunga kwa ajili ya yule dada yetu kipenzi ili nisipitwe na series zake na mitusi yake. Otherwise sina la zaidi kwenye Insta.
Mradi wa Tasaf ni charity wewe, rudi shule.Mbona Jay z alivyokuja kizindua mradi wa tasaf miaka iliyopita hukuongea fungua business yako na wew umuweke gigy money au amberlullu
Hahahhaa jamani jf raha sana mweehhhOK sasa tumekusikia. Tutamtoa zari na kumweka gigi money
Well je hawa wa kwetu wanakubali kujifunza? Wameshafanya research ni wapi anapowapiga tobo?Mkuu tatizo siyo IQ ya Watanzania Zari anauzika ukilinganisha na celebrities wa kibongo. Ni hilo tu na kama alivyosema DEMBA hapa Tanzania na East Africa kwa ujumla hakuna KE celebrity mkubwa kama Zari.
Na wanaomchagua Zari si Wabongo wanaompenda bali ni hao wenye biashara zao kwa kujua anauzika kuliko celebrity mwingine yeyote yule wa kike.
sasa kwanini unaongelea business za watu kama vile wew ni marketing officer waoMradi wa Tasaf ni charity jinga wewe, rudi shule.
Well je hawa wa kwetu wanakubali kujifunza? Wameshafanya research ni wapi anapowapiga tobo?
Ngema?Miye mwenyewe sijajifollow, kwa kifupi sijui hata inatumikaje, mimi ni yule tu dada wa Taifa ndiye kiumbe pekee hapa Tanzanian aliyeweza kunishawishi kumfollow.
We nyamaza tu mshamba mkubwaMshamba ni wewe usiyejuwa hakuna mchina anayeweza kuagiza nguo bongo, labda pembe za ndovu.
Wewe jamaa uko chini ya kiwango sana napoteza muda kudabate na mtu mjinga kama wewe.
No worder its bcz of little schoolOk, hivi huyu mama watano naye ni model?
Kila mtu na mawazo yake.Kwanza kabisa napenda niwatakie Sabbatical njema, pili leo ni Nyerere day, nitamuenzi baba wa Taifa kwa njia hii.
Kwanza naomba nikiri huyu Zari mimi namsikia jina tu sijawahi kujuwa hasa kwa hakika shughuri zake ni nini zaidi ya kujuwa ni hawara wa msanii Diamond that's it. Huwa sina muda wa kudiscuss drama za watu wa aina hii lakini kwakuwa hili la zari lipo in economics grounds naomba nitowe maoni yangu.
Kwa maoni yangu ni dharau kwa Watanzania GSM kumleta Zari kuzinduwa hilo duka lao la Danube nadhani kwa maoni yangu mtu sahihi walipaswa wamuite Diamonds kufanya uzinduzi huo
Kwakuwa Watanzania sasa hivi ni mashabiki ushuzi wa Team ushuzi hawawezi kunielewa wala kukubali kitendo hiki ni dharau kubwa imefanywa na GSM dhidi ya models wetu, kumleta mganda halafu utegemee wateja Watanzania huu ni ufala uliopitiliza.
Binafsi yangu natangaza rasmi boycott bidhaa za duka hilo la Danube kwa kitendo hiki cha kutowapa support models wetu kufanya jukumu hilo.
Tunao kina Mbwana Samatta, Flavian Matata, yupo Joti yupo Masanja, yupo mzee Majuto why Zari? Zari ni Celeb wa nini jameni naomba kujuzwa.
Jifunze kutofautisha biashara na siasa, unalazimisha hisia zako kwenye mipango ya watu wengine. Kama wewe una tatizo la zari kufungua ni tatizo lako pambana na tatizo lako, kwa GSM wao hilo siyo tatizo. Wewe bado una hangover za ujamaa, uchumi wa sasa siyo huo tena, amka pambana na hali yakoKwanza kabisa napenda niwatakie Sabbatical njema, pili leo ni Nyerere day, nitamuenzi baba wa Taifa kwa njia hii.
Kwanza naomba nikiri huyu Zari mimi namsikia jina tu sijawahi kujuwa hasa kwa hakika shughuri zake ni nini zaidi ya kujuwa ni hawara wa msanii Diamond that's it. Huwa sina muda wa kudiscuss drama za watu wa aina hii lakini kwakuwa hili la zari lipo in economics grounds naomba nitowe maoni yangu.
Kwa maoni yangu ni dharau kwa Watanzania GSM kumleta Zari kuzinduwa hilo duka lao la Danube nadhani kwa maoni yangu mtu sahihi walipaswa wamuite Diamonds kufanya uzinduzi huo
Kwakuwa Watanzania sasa hivi ni mashabiki ushuzi wa Team ushuzi hawawezi kunielewa wala kukubali kitendo hiki ni dharau kubwa imefanywa na GSM dhidi ya models wetu, kumleta mganda halafu utegemee wateja Watanzania huu ni ufala uliopitiliza.
Binafsi yangu natangaza rasmi boycott bidhaa za duka hilo la Danube kwa kitendo hiki cha kutowapa support models wetu kufanya jukumu hilo.
Tunao kina Mbwana Samatta, Flavian Matata, yupo Joti yupo Masanja, yupo mzee Majuto why Zari? Zari ni Celeb wa nini jameni naomba kujuzwa.