GSM inawadharau models wa Kitanzania? Why Zari?

GSM inawadharau models wa Kitanzania? Why Zari?

Usitangaze kwa umma namna gani ulivyo na akili ndogo hata huyo flaviana matata unayemsema anatangaza bidhaa nchi za watu so na wao wamtimue wawachukue models wao...
Inakuuma fungua project yako uwaweke hao akina joti ya watu hayakuhusu.
 
Tatizo bado liko palepale IQ za Watanzania ndio tatizo kubwa, kwahiyo huyu Zari ana benefit kwa Diamond out of uhawara wao?

Angalau umenifumbuwa macho nimeanza kuelewa maana mimi Insta nimejiunga kwa ajili ya yule dada yetu kipenzi ili nisipitwe na series zake na mitusi yake. Otherwise sina la zaidi kwenye Insta.
unapomnyeshea mtu kidole, kumbuka vitatu vinakunyoshea wewe mwenyewe.
 
Mtu uwekeze fedha zako halafu upangiwe watu wa kufanya nao kazi???, fungua biashara yako halafu waajiri hao unaowataka
 
Kwanza kabisa napenda niwatakie Sabbatical njema, pili leo ni Nyerere day, nitamuenzi baba wa Taifa kwa njia hii.

Kwanza naomba nikiri huyu Zari mimi namsikia jina tu sijawahi kujuwa hasa kwa hakika shughuri zake ni nini zaidi ya kujuwa ni hawara wa msanii Diamond that's it. Huwa sina muda wa kudiscuss drama za watu wa aina hii lakini kwakuwa hili la zari lipo in economics grounds naomba nitowe maoni yangu.

Kwa maoni yangu ni dharau kwa Watanzania GSM kumleta Zari kuzinduwa hilo duka lao la Danube nadhani kwa maoni yangu mtu sahihi walipaswa wamuite Diamonds kufanya uzinduzi huo

Kwakuwa Watanzania sasa hivi ni mashabiki ushuzi wa Team ushuzi hawawezi kunielewa wala kukubali kitendo hiki ni dharau kubwa imefanywa na GSM dhidi ya models wetu, kumleta mganda halafu utegemee wateja Watanzania huu ni ufala uliopitiliza.

Binafsi yangu natangaza rasmi boycott bidhaa za duka hilo la Danube kwa kitendo hiki cha kutowapa support models wetu kufanya jukumu hilo.
Tunao kina Mbwana Samatta, Flavian Matata, yupo Joti yupo Masanja, yupo mzee Majuto why Zari? Zari ni Celeb wa nini jameni naomba kujuzwa.
Ha ha ha ha ha , wasiwasi wangu in kwamba hata pesa za kununua kitu humo huna.
 
Hivi Matola Linda ajakupeleka Marekani tu? Si ulisema atakufanyia mpango. Naona maisha yanakuchanganya, bora ukabebe box na wewe, au umri ahurusu?
 
huyu MATOLA inabidi amtafute STEVEN NYERERE wazunguke Tanzania kufundisha uzalendo!! maana wote wawili ni vituko
 
diamond platnumz x Rick Ross
mambo yamezidi kua matamu sana na sasa hivi wataota majipu sehem nyeti
 
Models wa kitanzania wakilalwa tu na staa picha hizo zinamwagwa mtandaoni,mimba wanajitegesha kesi juu wanafungua wakitaka matunzo ya milion kwa mwezi.

Danube wameshasemwa vya kutosha sasa wakichukua model wa kitanzania mwisho wa mkataba huyo model atasingizia walimtaka kimapenzi akawakataa. Itakua ni skendo juu ya skendo
 
Models wa kitanzania wakilalwa tu na staa picha hizo zinamwagwa mtandaoni,mimba wanajitegesha kesi juu wanafungua wakitaka matunzo ya milion kwa mwezi.

Danube wameshasemwa vya kutosha sasa wakichukua model wa kitanzania mwisho wa mkataba huyo model atasingizia walimtaka kimapenzi akawakataa. Itakua ni skendo juu ya skendo
Ok, hivi huyu mama watano naye ni model?
 
Back
Top Bottom