GSM kabla ya Kukurupuka Kwenu Kudhamini Ligi na Vilabu mlipata Twisheni kwa Sports Pesa kwanini wao waliweza na Simba SC hawakuwagomea?

GSM kabla ya Kukurupuka Kwenu Kudhamini Ligi na Vilabu mlipata Twisheni kwa Sports Pesa kwanini wao waliweza na Simba SC hawakuwagomea?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Na msisahau hata Boss wao Mkuu kwa upande wa Tanzania ni Mheshimiwa Mbunge wa Kinondoni na mwana Yanga SC lia lia Tarimba Abbas Tarimba lakini bado waliweza Kuzungumza na Simba SC na Wakafanikiwa.

Nyie GSM kwa Ushamba wenu na Kukurupuka Kwenu Siku ambayo mliingia Mkataba wa Udhamini Mwenza katika NBC Premier League mkampa Kipaza Sauti ( Microphone ) Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Frederick Lugano Wilfred Mwakalebela a.k.a SIMTANK aongee na Yeye nae alivyo Empty Set akaanza Kuwakoga ( Kuwananga ) Simba SC huku akisema kuwa iwe isiwe Simba SC watavaa Nembo ya GSM kitu ambacho kwa Watu makini tena wale Corporate kabisa hawakutakiwa kufanya hivi.

GSM mjilaumu wenyewe kwa Kufeli. Laiti mngekuja na Nidhamu na Ustaarabu kama waliokuwa nao Sports Pesa hii deal lenu la Mkataba wa Udhamini Mwenza na hata Simba SC kuvaa Nembo yenu lingefanjkiwa 100% na nina uhakika mngepata Mileage Kubwa mliyokuwa mkiitaka mkizingatia kuwa kwa sasa Simba SC ndiyo Giant wa East Africa Football kutokana na Mafanikio yake makubwa ndani na nje ya Tanzania ndani ya miaka Minne iliyopita.

Wenye Akili tunawasema mjirekebishe.
 
Biashara ni akili timamu na maamuzi sahihi kwa wakati.
 
Watanzania ni wajingawajinga San😀, Sasa mnamkolia mtu na pesa zake wa nini?, Amesema sehemu ya makubaliano hayajatimizwa ameamua Kujiondoa nini hakijaeleweka?.

Utahira wa wtz n vitu ambavyo haviitaji kuchanganya ujinga ndio vinachanganywa, hizi nyuzi mngekuwa na AKILI mngezianzisha kwakuihoji TFF inaingia mkataba na mtu kwa vgezo gani??, Iulize bodi ya ligi kazi yake ni ipi??

Mpangaji wa nyumba hatoi terms and conditions kwa mwenye nyumba bali mmiliki wa nyumba.
 
Na msisahau hata Boss wao Mkuu kwa upande wa Tanzania ni Mheshimiwa Mbunge wa Kinondoni na mwana Yanga SC lia lia Tarimba Abbas Tarimba lakini bado waliweza Kuzungumza na Simba SC na Wakafanikiwa.

Nyie GSM kwa Ushamba wenu na Kukurupuka Kwenu Siku ambayo mliingia Mkataba wa Udhamini Mwenza katika NBC Premier League mkampa Kipaza Sauti ( Microphone ) Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Frederick Lugano Wilfred Mwakalebela a.k.a SIMTANK aongee na Yeye nae alivyo Empty Set akaanza Kuwakoga ( Kuwananga ) Simba SC huku akisema kuwa iwe isiwe Simba SC watavaa Nembo ya GSM kitu ambacho kwa Watu makini tena wale Corporate kabisa hawakutakiwa kufanya hivi.

GSM mjilaumu wenyewe kwa Kufeli. Laiti mngekuja na Nidhamu na Ustaarabu kama waliokuwa nao Sports Pesa hii deal lenu la Mkataba wa Udhamini Mwenza na hata Simba SC kuvaa Nembo yenu lingefanjkiwa 100% na nina uhakika mngepata Mileage Kubwa mliyokuwa mkiitaka mkizingatia kuwa kwa sasa Simba SC ndiyo Giant wa East Africa Football kutokana na Mafanikio yake makubwa ndani na nje ya Tanzania ndani ya miaka Minne iliyopita.

Wenye Akili tunawasema mjirekebishe.
Manara ndio mshauri wako mkuu unategemea nini
 
Hakika GSM Ile siku kuongozana na akina Manara na kuwaweka front line niliwaona hawako smart kabisa kibiashara.
Na Ile issue walifanya kwa lengo la kumkomoa Simba lakin ndani yake walikua wakihitaji Zaid msaada wa Simba kutangaza kampuni yao.

Kwenye dili za maana lazima ujifanye mjinga ,piga pesa kimya kimya had wanakuja shituka ushawatumia vyakutosha.

Sasa manara alikuja na kejer eti wataamua wao logo iwe upande gani wa jersery ya Simba na kujisahau kuwa Simba wanajitosheleza Sana tu kulinganisha na vilabu vingine .

Ndipo Simba wakatoka usingizini na kuamua kudinda kisawa sawa ,na mwisho wa siku kimba limewarudia wao GSM .

Nadhan kwa hapa wajilaumu wao wenyew wasitafute mchawi .
 
Na msisahau hata Boss wao Mkuu kwa upande wa Tanzania ni Mheshimiwa Mbunge wa Kinondoni na mwana Yanga SC lia lia Tarimba Abbas Tarimba lakini bado waliweza Kuzungumza na Simba SC na Wakafanikiwa.

Nyie GSM kwa Ushamba wenu na Kukurupuka Kwenu Siku ambayo mliingia Mkataba wa Udhamini Mwenza katika NBC Premier League mkampa Kipaza Sauti ( Microphone ) Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC Frederick Lugano Wilfred Mwakalebela a.k.a SIMTANK aongee na Yeye nae alivyo Empty Set akaanza Kuwakoga ( Kuwananga ) Simba SC huku akisema kuwa iwe isiwe Simba SC watavaa Nembo ya GSM kitu ambacho kwa Watu makini tena wale Corporate kabisa hawakutakiwa kufanya hivi.

GSM mjilaumu wenyewe kwa Kufeli. Laiti mngekuja na Nidhamu na Ustaarabu kama waliokuwa nao Sports Pesa hii deal lenu la Mkataba wa Udhamini Mwenza na hata Simba SC kuvaa Nembo yenu lingefanjkiwa 100% na nina uhakika mngepata Mileage Kubwa mliyokuwa mkiitaka mkizingatia kuwa kwa sasa Simba SC ndiyo Giant wa East Africa Football kutokana na Mafanikio yake makubwa ndani na nje ya Tanzania ndani ya miaka Minne iliyopita.

Wenye Akili tunawasema mjirekebishe.
Kwanza fahanu gsm hawajujurupuka waliombwa na tff

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Mpuuz tu ndio ataona kuwa gsm kazingua ila mwerevu atamuona Yuko sahhih kbsa atoke kbsa yaan bila kuangalia nyuma

Huwez kuwa mpangji wangu alfu wew mpangji unanipangia nin utaki ktk nyumba yamgu mm wkt mm mpangishaji ndio naweza kukupangia
 

Yaani Yanga SC na GSM kabisa kwa Upuuzi huu kutoka kwa huyu Mpuuzi wenu tena Makamu Mwenyekiti wa Klabu yenu ndiyo mlitaka Timu ya Geniuses watupu ya Simba SC ndiyo ivae Nembo yenu iwatangaze? Wamenyooshwa vilivyo Kudadadeki zao.
 
Gsm lengo la mkataba huu lilikua ni Simba kumtangaza yeye akuze brand nje ya nchi na ndani nyengine mbwembwe tu lakini kuendekeza ujinga kwenye mambo ya biashara kumemponza mbona tarimba anajulikana yanga damu na bado anakaa na simba…Kama kweli alitaka kudhamini alikua anaweza kwenda vilabu 15 akawapa pesa wakamtangazia bidhaa zake.Lengo ni Simba kwa mgongo wa Ligi manara anamwaribia sana .
 
Ukiwa na akili timamu huwezi kukubali msukule , mzee wa kg800 , na Bumbuwazi (bumbuli) wawe washauri wako ktk suala nyeti kama hilo , labda kama unatafuta kushindwa.
 
Back
Top Bottom