GSM kutoa zawadi ya 10,mil kwa kila point 3 Yanga

Kudhalilika kiaje?

Labda nikwambie game za Simba na Yanga huwa hazitabiriki kirahisi namna hiyo eti kwamba mtafunga tano. 😳😳

Labda toka TPL msimu wa 2019 / 2020 ianze nani umemfunga hizo bao 5?
Hii ya mwaka huu mbona inatabirika kabisa mamii, wee si unaliona lile kosi la bilioni kama tatu hivi utafananisha na Chura FC!!!?
 
Zahera hafanyi kazi yake kwa ufasaha..
 
Anajua Yanga ni kimeo, hawawezi kushinda kila mechi
Kwa hiyo Yanga haiwezi kufikisha ushindi wa game 10 wachezaji wakapata 100m?

Utakuwa mkia wewe si bure[emoji2][emoji2][emoji2]
 
kuna wachezaji wameifikisha yanga kwenye TFF wakidai mishahara na pesa zao za usajili sijui hiyo milioni kumi italeta motisha gani huku wachezaji bado wanadai stahiki zao
 
Yani Yanga mmetia aibu hela za posho mnawagawia wachezaji ka vibarua.
Badilikeni basi endesheni Ki professional.
Ilo ni ndo tatizo la kuwapa wanasiasa timu.
Eti kugawa posho kwa wachezaji hadi press conference.
 
Yani Yanga mmetia aibu hela za posho mnawagawia wachezaji ka vibarua.
Badilikeni basi endesheni Ki professional.
Ilo ni ndo tatizo la kuwapa wanasiasa timu.
Eti kugawa posho kwa wachezaji hadi press conference.
Tusipo wapa hadharani hamchelewi kusema zile mil.10 viongozi wamekula.Tena ninyi simba ndo mtakuwa wa kwanza kuleta maneno.Sasa waziii hata wewe huna neno tena maana captain alishazibeba
 
kuna wachezaji wameifikisha yanga kwenye TFF wakidai mishahara na pesa zao za usajili sijui hiyo milioni kumi italeta motisha gani huku wachezaji bado wanadai stahiki zao
Wachezaji gani Wa Yanga?Hao sio wachezaji wetu.Tushaachana nao.

Kama kudaiwa hata timu kubwa zinadai.Zinawalipa makocha kwa awamu.mfano Moyes kwa Man u.Ko na sisi tutawalipa kidogokidogo.kaa upande wa timu hutokaa usikie Yanga inadai au sijui wamegoma.Uongozi uliopo ni imara sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…