Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,559
- 19,101
Hii ya mwaka huu mbona inatabirika kabisa mamii, wee si unaliona lile kosi la bilioni kama tatu hivi utafananisha na Chura FC!!!?Kudhalilika kiaje?
Labda nikwambie game za Simba na Yanga huwa hazitabiriki kirahisi namna hiyo eti kwamba mtafunga tano. 😳😳
Labda toka TPL msimu wa 2019 / 2020 ianze nani umemfunga hizo bao 5?