GSM kuweni na utu, msimfanye Haji Manara kama Msukule

Manara chizi, GSM machizi na leadership yote ya Yanga ni machizi tu!
 
Soma vizuri kama kuna sehem kaongelea Yanga. au GSM ndio yanga siku hizi
 
Manara ni sawa mwanamke alieachwa ilhali bado alikuwa na upendo na mumewe[emoji23],ndio sababu mnaona kila siku anaiongelea Simba kwa mabaya
 
Alivyokuwa ana apa kuwa hawezi kuihujumu Simba, nilikuwa ninamuamini nikiamini kuwa ameshiba DINI. Kumbe mmmmmmmm!
 
Ata issa azam amerud kushabikia simba uku bado anatangaza products za azam.
 
Yani they fall into a trap very easily. Sasa washageuka talking about Yanga kila saa kila muda, hawahangaiki tena na ya kwao.

Kwahiyo kuongelea Yanga kila mara ndiyo mafanikio yenyewe? Nilidhani mafanikio ni uwanjani ma si kuongelewa.Uto kwanini akili zenu mmempatia Manara afikirie kwa niaba yenu?
 
kwann simba ndio wanateseka sana na mishe za manara baada ya kuondoka simba? Tafadhari simba plus mwamed mkiachwa mjifunze kuachika japo hua inachukua muda kidogo kuzoea
Mpuuzi yule ndo anateseka na simba aongelee misukule yenu huko na ya simba atuachie uone km tutakua tunamjibu.Dawa ya mnafiki ni kumpa ukweli tu mpaka anaweweseke ..na yanga mlivo mandezi mnaona km mnajenga kumbe mmekumbatia bomu.
 
Mpuuzi yule ndo anateseka na simba aongelee misukule yenu huko na ya simba atuachie uone km tutakua tunamjibu.Dawa ya mnafiki ni kumpa ukweli tu mpaka anaweweseke ..na yanga mlivo mandezi mnaona km mnajenga kumbe mmekumbatia bomu.
anajitahidi sana ajibiwe na Babra au Mo,walivyompotezea ndo anaumia zaidi maana anakosa mileage ya kiki
 
Manara kwa sasa ana amani ya roho na ndio ameanza kusema ukweli wote. Simba ilivyokuwa inapambwa utafikiri hata Madrid haingii kwa Simba, kumbe ni kitimu ambacho hakiwezi kuvuka robo fainali za Africa.
Hahaaaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ww tangu uzaliwe mpaka sasa ulisha wahi iona hiyo timu yako imefika robo fainali [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na utazeeka mpaka unakufa hutasikia huo uchafu wako umefika robo .....Aibu ya kukubeba tunaisubiri jumapili[emoji23][emoji23]
 
Kwahiyo kuongelea Yanga kila mara ndiyo mafanikio yenyewe? Nilidhani mafanikio ni uwanjani ma si kuongelewa.Uto kwanini akili zenu mmempatia Manara afikirie kwa niaba yenu?
Ukiitwa Kolo useme unatukanwa na kumbe you really are.

The more you talk and discuss about something, the more it trends. Na katika this digital world, trending is worthy, bongolala. Na ndo maana huyo unayemwongelea ana endorsements huko kwa social media platforms. Why? Sababu anaongelewa, watu wanatembelea pages zake. So wewe ukiwa unamwaga matusi, yeye anaingiza pesa.
 
anajitahidi sana ajibiwe na Babra au Mo,walivyompotezea ndo anaumia zaidi maana anakosa mileage ya kiki
Yaani babra kweli yule ni mwanamke shupavu na mda unavozidi kwenda atajivua nguo maana tiyari kasema hakuwahi kua simba sasa sijui ule ulikua ni msukule.
 
Aa njomba chi alitaka chai chacha mwache atajua nanna ya kuipoja
 
CUF washapiga za chembe humo, kumbe Simba na mdomo wenu wote huo timu inafundishwa na mwalimu wa UPE.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 msukule wa mautopolo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…