azamAzam anamiliki timu kwenye ligi ni mdhamini wa ligi kuu yote wakati GSM anadhamini timu za Yanga, Namungo, Coastal na Singida tu. Kwanini kuna watu wanataka kuonyesha kuwa GSM anainuisha yanga zaidi kwenye ligi kwa udhamini wa timu chache kwenye ligi?
Unapotaka kuhoji ushindi wa Yanga anza kwanza kuhoji matokeo ya Yanga dhidi ya Simba (5-1), KMC, Polisi, CR Belouzdad, JKT, Mediama, Zalan, TP Mazembe, Marumo, Africane, Marumo, na Prison.
Kwahiyo sisi makolo tuliokula kono la nyani Nov.5 tulikua tunadhaminiwa na GSMwenye akili ni wawili, azam anadhamini ligi upande wa media tofautisha na udhamini wa gsm
Kwa hapa wewe ndio huna kabisa hizo akili aseewenye akili ni wawili, azam anadhamini ligi upande wa media tofautisha na udhamini wa gsm
Simba hawaamini kuwa timu yao kwa misimu 3 sasa ni mbovu kuliko ile ya Yanga. Wanatapatapa kwa kuuruka ukweli wa mambo. Zile goli 5 bado zimewavuruga hadi kesho. Benchika kaja na kupewa sifa nyingi kuliko anazopewa Mungu lakini bado pira kokoto limewaganda kama ruba, wakafa kwa prison ambayo haidhaminiwi na gsm.Watanzanua wengi ukiwemo mtoa mada ni vilazs sana kwa hojaza kijijga
Punguza ujinga... Kipindi Mo anamiliki timu ya African sport alikuwa haidhamini Simba?, Kipindi Mo anaidhamin Coast union hakuwa mdhamini wa Simba?. Vipi sportpesa hakudhamin/Hadhamini timu zaidi ya moja?.wenye akili ni wawili, azam anadhamini ligi upande wa media tofautisha na udhamini wa gsm
hana timu kwenye hiyo ligi?wenye akili ni wawili, azam anadhamini ligi upande wa media tofautisha na udhamini wa gsm
Gsm anadhamini nini, upande gani?wenye akili ni wawili, azam anadhamini ligi upande wa media tofautisha na udhamini wa gsm
Wanatapatapa, goli sio mchezoPunguza ujinga... Kipindi Mo anamiliki timu ya African sport alikuwa haidhamini Simba?, Kipindi Mo anaidhamin Coast union hakuwa mdhamini wa Simba?. Vipi sportpesa hakudhamin/Hadhamini timu zaidi ya moja?.
Angalia kwanza saves alizofanya Diara kwenye mechi ya Yanga vs Namungo kuinusuru Yanga isifungwe hata goli moja, jamaa anajitoa kwa 150% kitu ambacho Manula hakifanyi.Tofauti ya Azam na GSM, kua Mmoja anamwaga pesa za hamasa pindi Simba inapokutana na hizo timu zinazozaminiwa na. GSM
Angalia timu baada ya kucheza na Simba game zinazofata wanavyokua nyanya, juzi Tanzania Prison katepeta kwa mtibwa suger kapigwa Come back dani ya dk 2