Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Hamna nidhamu na wala hamtaki kuwa sehemu ya nidhamu.Halali yenu.Ni wakati sasa uongozi mturudishie msemaji wetu hakuna namna
Pole sana Haji lakini adhabu ni kubwa mno faini ni kubwa mno...sijui imewekwa kwa kukomoa au la
Historia inaweka wazi kuwa walifungiwa pia
Mwakalebela
Bumbuli
Jerry Mulo
Mbona Yanga tu ndio tunaofungiwa?