NAJYUZ
JF-Expert Member
- May 10, 2021
- 1,981
- 3,475
Mkuu hapo GSM anaharibuje mpira?Duh,, huyu jamaa atatuharibia mpira wetu
Yaani kuwapa wachezaji motisha ndo kuharibu mpira?
Mbona MO dewji ametoa sana hela za motisha kwa simba, Vipi nae alikua anaharibu mpira?