Kitimoto
JF-Expert Member
- Aug 25, 2012
- 6,941
- 7,808
Mswahili wa Buza maneno mengi kama chiz.i.Alikuwa kashasusa wamempigia magoti anakuja lakini kawaonyesha kwamba hataki uswahiliuswahili
Yote hayo ni sababu ya umasikini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mswahili wa Buza maneno mengi kama chiz.i.Alikuwa kashasusa wamempigia magoti anakuja lakini kawaonyesha kwamba hataki uswahiliuswahili
Kwa sasa nadhani umeupata ukweli baada ya ajenti wa kusinda kueleza ukweli,acha udwanziWaambieni kwamba kisinda alikuja kwa mkopo toka sa vita hamjamuuza kwenda morroco kauzwa na wakala wake ,hivi hizo biashara zenu na as vita zimejaa uongo uongo tu ,
Dujma shaban ilitakiwa mummpe usd 45,000 dollars kabla ya kumtangaza mkampa 25,000 usd kisha mkamtangaza kakaksirika na kurudisha hela naye pi anaenda Moroco.
Mkatudanganya eti anauzwa usd 500,000 kisa snitch la GSM liitwalo Manara lilipost, hata beki mpya wa Simba anyejiita Varanae kasajiliwa kwaa usd 35,000 huko Congo nako ni njaa tu
HELA ZA KISINDA ZA USAJILI ZIMEENDA KWA WAKALA WAKE.
Nna mnavyosema replacement yake ni mkali kuliko yeye jiulize kwanini Ibenge asimchukue huyo sasa, jinga kabisa
MWISHO NI KWENU TEAM YANGU YA SIMBA NA NYIE ACHENI AUONGO BANDA KASAJILIWA KWA MILIONI 70 SIYO USD 300,000 HIVI MNATUONAJE LAKINI NYIE IULA ATLEAST BANDA ANAPOKEA 11,000,000 A MONTH KISINDA NA MUKOKO WANAKUNJA 6,000,000 UTOPOLONI
Usiruhusu mapenzi kwa timu yako yazidi hata kukutia upofu, ameuliza Djuma yuko wapi licha ya kudai mlimsajili?
Waandishi wa habari mliowanunua, watangazaji wa radio wakiwemo wa EFM na yule wa blog ndio kazi wanayofanya kuwadanganya mashabiki wa Yanga mmemsajili fulani thn mnakuja kutupigia kelele huku kwa uongo mnaolishwa mitandaoni, huyu jamaa ndio anawajibu naona unakuwa mkali, usiwasemee usiowajua ndugu.
Tabia za kitapeli za GSM huzijui, wachezaji kibao wanaondoka Yanga kwa sababu ya kuwadai badala yake GSM wanawaita hawana tabia nzuri ili mdanganywe.
GSM wamewanunua watangazaji feki wa radio, blogs, na magazeti ikiwemo Mwanaspoti wawaenezee propaganda ili muendelee kuwaona GSM wajanja kumbe wanawapiga tu.
Hahari ya djshaban mbona hadi Harris alipost wako nae kongo wakapiga na picha jamaa amevaa jez ya yanga wakaonesha na mkataba uchwara haris anaulizwa mbona uliachia zile picha mapema akasema alifanya vile coz kuna team zilikua zinamtaka ila kiukweli dili la djumashaban limeota mbawa ibenge kashapita nae coz anajua GSM hua hawanunui wachazaji Bali wanaenda kubembeleza wapewe kwa mkopo
Acha kujifanya kipofu picha uyo Harris aliweka had kwenye insta story Yake hizi hapa ,pia nugaz na watu mbal mbal wa yanga bila kusahau chawa wa GSM
View attachment 1887973
View attachment 1887974
Taztizo lako ubishi mwingi uyo jamaa haris safar Yake yakwenda Kongo kipind cha dirisha lausajil lilivo funguliwa kitu cha kwanza na target Yake kubwa ilikua kumvuta djuma na izo picha alizota yeye na akakili kufanya hivo sababu kunavirub vingi vinamtaka ila haikuasaidia pia wachezaji walikil kua djuma ashasinya ila ndo ivo picha zote za kuhusu shaban washazifuta huko instal ngoja nikutumie na video clip kwanza
Nyingine hii hapa kabra waswahili wa GSM hawajaingizwa chaka na jezi akavaa lakini wapi
Dada zake Mwamedi mwajisikiaje na hali?!Utakuwa UTOPOLO wewe [emoji1787][emoji1787]Pole, jikaze kiume. Ndiyo GSM na HERSI hao, wapigaji.
injury prone kwa wingi hawatakua na effect kwetu watakua na effect kwa mbeya kwanza hukoDada zake Mwamedi mwajisikiaje na hali?!View attachment 1890428
Umebadili usemi Tena![emoji2][emoji2] Hata hivyo ndo kawaida ya wadada wa kihindi, na ndo maana kaka yenu alipotekwa alivalishwa kanga.injury prone kwa wingi hawatakua na effect kwetu watakua na effect kwa mbeya kwanza huko
Huyo huyo ana back to back 4 club mbigwa kafika robo final ×2 ndo utajua hujuiUmebadili usemi Tena![emoji2][emoji2] Hata hivyo ndo kawaida ya wadada wa kihindi, na ndo maana kaka yenu alipotekwa alivalishwa kanga.
Kanji bana! Naona unarukaruka tu kama bisi kikaangoni, kutoka kwenye ubishi wa Djuma Shabani hadi kuchukua ubingwa mara 4 [emoji23][emoji23], ningekuwa ndezi nami ningekuambia habari za ubingwa mara 27[emoji28][emoji28], sijakuambia hapo nimetolea mfano tu!Huyo huyo ana back to back 4 club mbigwa kafika robo final ×2 ndo utajua hujui
Kwahyo kuhusu Djuma imekuaje tena akasajiliwa shekhe??Waambieni kwamba kisinda alikuja kwa mkopo toka sa vita hamjamuuza kwenda morroco kauzwa na wakala wake ,hivi hizo biashara zenu na as vita zimejaa uongo uongo tu ,
Dujma shaban ilitakiwa mummpe usd 45,000 dollars kabla ya kumtangaza mkampa 25,000 usd kisha mkamtangaza kakaksirika na kurudisha hela naye pi anaenda Moroco.
Mkatudanganya eti anauzwa usd 500,000 kisa snitch la GSM liitwalo Manara lilipost, hata beki mpya wa Simba anyejiita Varanae kasajiliwa kwaa usd 35,000 huko Congo nako ni njaa tu
HELA ZA KISINDA ZA USAJILI ZIMEENDA KWA WAKALA WAKE.
Nna mnavyosema replacement yake ni mkali kuliko yeye jiulize kwanini Ibenge asimchukue huyo sasa, jinga kabisa
MWISHO NI KWENU TEAM YANGU YA SIMBA NA NYIE ACHENI AUONGO BANDA KASAJILIWA KWA MILIONI 70 SIYO USD 300,000 HIVI MNATUONAJE LAKINI NYIE IULA ATLEAST BANDA ANAPOKEA 11,000,000 A MONTH KISINDA NA MUKOKO WANAKUNJA 6,000,000 UTOPOLONI
Ongelea sijakukataza maana kila ukifikilia ubingwa ulibeba lin unaishia kusikitikaKanji bana! Naona unarukaruka tu kama bisi kikaangoni, kutoka kwenye ubishi wa Djuma Shabani hadi kuchukua ubingwa mara 4 [emoji23][emoji23], ningekuwa ndezi nami ningekuambia habari za ubingwa mara 27[emoji28][emoji28], sijakuambia hapo nimetolea mfano tu!
Hahaha tutasajili mchezaji wa kiyahudi wapambaneSafari hii Utopolo wamemsajili na yesu, tutapata shida sana, hakina Onyango watanena kwa lugha!
Ni kawaida tu,kumbuka wakati Yanga anabeba ubingwa mara ya tatu mfululizo timu ya simu ilikuwa haijabeba ubingwa kwa miaka 6.Naomba ukumbuke hiloOngelea sijakukataza maana kila ukifikilia ubingwa ulibeba lin unaishia kusikitika
Hii mada haihusu hayo kanji, mada inahusu usajili wa Djuma, Kisinda na Banda, jikite kwenye mada kanjibah au anzisha mada inayohusu hilo suala la mbabe ubingwa wa Tanzania bara.Ongelea sijakukataza maana kila ukifikilia ubingwa ulibeba lin unaishia kusikitika
wewe tikitimaji njoo huku utoe ufafanuzi unaoeleweka kuhusu Djuma kwenda Morocco.Waambieni kwamba kisinda alikuja kwa mkopo toka sa vita hamjamuuza kwenda morroco kauzwa na wakala wake ,hivi hizo biashara zenu na as vita zimejaa uongo uongo tu ,
Dujma shaban ilitakiwa mummpe usd 45,000 dollars kabla ya kumtangaza mkampa 25,000 usd kisha mkamtangaza kakaksirika na kurudisha hela naye pi anaenda Moroco.
Mkatudanganya eti anauzwa usd 500,000 kisa snitch la GSM liitwalo Manara lilipost, hata beki mpya wa Simba anyejiita Varanae kasajiliwa kwaa usd 35,000 huko Congo nako ni njaa tu
HELA ZA KISINDA ZA USAJILI ZIMEENDA KWA WAKALA WAKE.
Nna mnavyosema replacement yake ni mkali kuliko yeye jiulize kwanini Ibenge asimchukue huyo sasa, jinga kabisa
MWISHO NI KWENU TEAM YANGU YA SIMBA NA NYIE ACHENI AUONGO BANDA KASAJILIWA KWA MILIONI 70 SIYO USD 300,000 HIVI MNATUONAJE LAKINI NYIE IULA ATLEAST BANDA ANAPOKEA 11,000,000 A MONTH KISINDA NA MUKOKO WANAKUNJA 6,000,000 UTOPOLONI
Dahkama hujaelewa kwa nini umesema nimeongea kishabiki, ni kwamba tuisila kisinda anenda berkane ya moroco inayofundishwa na florente ibenge ,utopolo wanadanganya wamemuuza ila ukweli ni kwamba kisinda alikuwa yanga kwa mkopo so hela hii inaliwa na wakala wake na kisinda mwenyewe\
djuma shabani kuna hatihati ya kuja bongo GSm walikiuka masharti hawakumalizia usd 20,000 kabla ya august
simba walianzisha rumors kwamba peter banda anauzwa usd 300,000 kumbe ni usd 30,000 waliyomununua nayo