GSM waambieni watu wenu ukweli kuhusu Kisinda, Djuma Shabani. Simba mmedanganya bei ya Banda

Kwa sasa nadhani umeupata ukweli baada ya ajenti wa kusinda kueleza ukweli,acha udwanzi

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Acha kujifanya kipofu picha uyo Harris aliweka had kwenye insta story Yake hizi hapa ,pia nugaz na watu mbal mbal wa yanga bila kusahau chawa wa GSM

View attachment 1887973

View attachment 1887974
Nyingine hii hapa kabra waswahili wa GSM hawajaingizwa chaka na jezi akavaa lakini wapi
Utakuwa UTOPOLO wewe [emoji1787][emoji1787]Pole, jikaze kiume. Ndiyo GSM na HERSI hao, wapigaji.
Dada zake Mwamedi mwajisikiaje na hali?!
 
injury prone kwa wingi hawatakua na effect kwetu watakua na effect kwa mbeya kwanza huko
Umebadili usemi Tena![emoji2][emoji2] Hata hivyo ndo kawaida ya wadada wa kihindi, na ndo maana kaka yenu alipotekwa alivalishwa kanga.
 
Umebadili usemi Tena![emoji2][emoji2] Hata hivyo ndo kawaida ya wadada wa kihindi, na ndo maana kaka yenu alipotekwa alivalishwa kanga.
Huyo huyo ana back to back 4 club mbigwa kafika robo final ×2 ndo utajua hujui
 
Huyo huyo ana back to back 4 club mbigwa kafika robo final ×2 ndo utajua hujui
Kanji bana! Naona unarukaruka tu kama bisi kikaangoni, kutoka kwenye ubishi wa Djuma Shabani hadi kuchukua ubingwa mara 4 [emoji23][emoji23], ningekuwa ndezi nami ningekuambia habari za ubingwa mara 27[emoji28][emoji28], sijakuambia hapo nimetolea mfano tu!
 
Kwahyo kuhusu Djuma imekuaje tena akasajiliwa shekhe??
 
Ongelea sijakukataza maana kila ukifikilia ubingwa ulibeba lin unaishia kusikitika
 
Ongelea sijakukataza maana kila ukifikilia ubingwa ulibeba lin unaishia kusikitika
Ni kawaida tu,kumbuka wakati Yanga anabeba ubingwa mara ya tatu mfululizo timu ya simu ilikuwa haijabeba ubingwa kwa miaka 6.Naomba ukumbuke hilo
 
Ongelea sijakukataza maana kila ukifikilia ubingwa ulibeba lin unaishia kusikitika
Hii mada haihusu hayo kanji, mada inahusu usajili wa Djuma, Kisinda na Banda, jikite kwenye mada kanjibah au anzisha mada inayohusu hilo suala la mbabe ubingwa wa Tanzania bara.
 
"Dujma shaban ilitakiwa mummpe usd 45,000 dollars kabla ya kumtangaza mkampa 25,000 usd kisha mkamtangaza kakaksirika na kurudisha hela naye pi anaenda Moroco."

Ugopa sana Mungu na Teknolojia
 
Tunakutafuta we mbumbumbu, maana clip yako hii hapa
Your browser is not able to display this video.
 
wewe tikitimaji njoo huku utoe ufafanuzi unaoeleweka kuhusu Djuma kwenda Morocco.
 
Dah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…