GSM ‘wachomoa betri’ Yanga

Kwani Manji siyo mtu ....vipi kuhusu GSM...wako wengi mno...ila kwa Sasa mazingira hayaruhusu...
Manji hakununa hisa yanga ndo maana yalimshinda pesa hazina records zinaliwa tu ndo maana na yy alitema ngese.
Hata kama wapo wengi ila sio wa kutoa pesa tu bila utararibu watu wazitafune kwa sasa wapo gsm ambao ndo hao wanachomoa betri,yanga badilikeni acheni ubishi mtakwama kila mwaka kwa kuendekeza uswahili.mpira ni business sio porojo na blabla za kiswazi
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Manji hakununa hisa yanga ndo maana yalimshinda pesa hazina records zinaliwa tu ndo maana na yy alitema ngese.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hata hapo Simba fedha za mo zinaliwa nyingi mno...anasajili kwa fedha nyingi lakini fedha zinazotumika nje ya uwanja ni nyingi pia ndiyo maana zinamuuma Sana...Manji aliitema Yanga for political reasons...watu was mikia ndani ya system walifanya Mambo yao..
 
Kumbe...unadhani ilikuwa nivhivyo tu...inawezekana Mimi nina taarifa za ndani kuliko wewe maenzangu 'mwanahisa'
ikiwa taarifa zako za ndani ni kujitoa mpaka kwenye udhamini na uwekezaji basi utaratibu wa kuvunja mkataba ungefuata na pia simba ingeuza tena hizo hisa kwa mwekezaji mwengine.kumbuka said salim bakhresa pia alitangaza nia ya kununua hisa pale simba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Utopolo tatizo lenu mnasaidiwa halafu mnamkashifu anayewasaidia eti ninyi ni timu isiyotegemea mtu na na badala ya kuishia kusema mtu tu mnampa na jina baya.

Basi kwa vile ninyi ni timu ya wananchi,tembezeni bakuli msajili wachezaji na msilalamike tu.

Ninyi ni waswahili,hivyo tabia yenu inaeleweka.Maneno mengi na gubu lazima mtu akate tamaa kuwasaidia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uko sahihi...Ila fahamu tu kwamba Mo is spending a lot of money na faida anayopata sawa na hakuna...wapigaji wengi..kiwango cha timu siyo Cha kutisha ...Kama isingekuwa mambo ya nje ya uwanja pengine ingekuwa ya pili au saa hizi kuongoza kwa tofauti ya pointi mbili au tatu..
 
Kama GSM ameamua kujitoa kusajili wachezaji kama alivyoandika basi Msola na Mwakalebela ondokeni haraka mnataka turudi kulekule kwa kusajili wachezaji mabomu vingenevyo kaeni na GSM myamalize haya vinginevyo wale wanaolalamika wasakwe waondolewe hatuwezi kamwe kurudi nyuma
 
Waondoke hao watuachie timu yetu, tutachanga kama kawaida yetu,
Pia sioni la ziada la hao wadhamini wanatujazia wachzaji wa bei mbaya mwishowe watuachie madeni...

Msimu ujao tusajili wa bei chee ambao tunamudu kuwalipa bila shida, hawa wa bei mbaya hawana lolote wanazidiwa kiwango na timu nyingi ndogo tu...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawajajitoa kusajili.
BALI kufanya USAJILI NA WACHEZAJI BINAFSI.
yaani kama niyonzima,Morrison hao wameingia mkataba na GSM sio YANGA.UMEELEWA HAPO?.
sasa uongozi wa yanga unalalamika kwamba GSM inawaingilia kwenye mambo ya uongozi..
Si unajua tena MASIKINI HABEBEKI.[emoji1][emoji1].
WAO WANADHANI GSM WANATAKA KUITEKA TIMU.
GSM akawa JIBU "HATA MAPATO NA MATUMIZI YA YANGA HAWATAKI KUYAJUA WANACHOTAKA WAO NI KUWASAIDIA YANGA TU..
Isiwe ombaa ombaa.
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtaweza kweliiii? .
Hapo mnasaidiwa na bado mnafeli
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa mtani mo ni mfanya biashara na amewekeza simba hivi muhindi yule atoe tu pesa bila kuona mafanikio ?alafu umeshindwa kusema pesa zipi hizo zinazotumika kaholela nje ya timu !!.
Pia unakiri manji kaondoka sababu za kisiasa huo ndo uswahili sasa.inamaana manji angekuwa yupo kama mwanahisa muwekezaji kama angeamua kuondoka mngeuza hizo hisa kwa mwekezaji mwingine na mambo yangeenda fresh ila hamtaki bali amnataka uswahil na ujanja ujanja.mtani badilikeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usidanganyike mkuu, hao jamaa wanaleta figisu hawakipati watakacho pale Yanga, aondoke tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usiifananishe Simba na upuuzi wenu
 
Japo siukubali huo usajili lakini hao ni wachezaji wawili tofauti.
Tshishimbi anaweza kucheza kama defensive midfielder wakati Mkude ni holding midfielder, sio defensive.

Sent using Jamii Forums mobile app
In principle, kuna ufanano mkubwa kati ya roles za holding na defensive midfielder. Inahitajika akili kubwa ya kocha kuwatofautisha na wachezaji wenyewe wawe flexible sana. Vinginevyo watakuwa wanagongana eneo moja.
Pappy hana strick displine kubaki eneo lake.
 
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…