GSM ‘wachomoa betri’ Yanga

GSM ‘wachomoa betri’ Yanga

GSM ANAACHANA NA YANGA KWASABABU YA WAJUMBE HAWA.

Wajumbe watatu wa Kamati ya Utendaji

1. Rodgers Gumbo
2. Richard Shija
3. Salum Rupia

Walikuja na ajenda kwenye kikao cha Kamati ya utendaji kuwa Kampuni ya GSM inafanya usajiri bila kuitaarifu Kamati ya Utendaji. Wajumbe wengi ne walibisha sana juu ya jambo hili na kusema kuwa GSM kafanya hili kwa kuitetea Yanga je kosa lipo wapi. Kamapuni ya GSM iliandikiwa barua isijihusishe na usajiri.

GSM imeandika barua tarehe 24.03.2020 kwenda Yanga na haitajihusisha tena na Mambo ambayo ni nje ya mkataba wa Jezi. Imeachana na mshahara wa Kocha na benchi lote la ufundi.

Huu ndio ukweli.. Maadui wa yanga kwasasa mbali na MAGOMA ni.. Gumbo, Rupia na Shija bila kumsahau Kamgisha. Mambo ya msemaji wetu Bumbuli kukanusha ni uongo. Na baada ya kikao cha kamati bwana Rupia aliongea na muandishi aitwae NAHEKA .. na huyu muandishi ndie alieawafungua wengi macho.

Huu ni ukweli wa asilimia mia moja. Ghalibu kaandika barua na imepokelewa yanga.tarehe 24 mchana. Bodi.ya GSM imemshauri Ghalib kushugulika na jezi tu basi.

Bwana gumbo, shija, rupia na kamgisha hatutachanga tena na tutakufa na nyie
Leeni mwana sasa maana mliona kuzaa ndiyo kazi kubwa.
 
GSM ANAACHANA NA YANGA KWASABABU YA WAJUMBE HAWA.

Wajumbe watatu wa Kamati ya Utendaji

1. Rodgers Gumbo
2. Richard Shija
3. Salum Rupia

Walikuja na ajenda kwenye kikao cha Kamati ya utendaji kuwa Kampuni ya GSM inafanya usajiri bila kuitaarifu Kamati ya Utendaji. Wajumbe wengi ne walibisha sana juu ya jambo hili na kusema kuwa GSM kafanya hili kwa kuitetea Yanga je kosa lipo wapi. Kamapuni ya GSM iliandikiwa barua isijihusishe na usajiri.

GSM imeandika barua tarehe 24.03.2020 kwenda Yanga na haitajihusisha tena na Mambo ambayo ni nje ya mkataba wa Jezi. Imeachana na mshahara wa Kocha na benchi lote la ufundi.

Huu ndio ukweli.. Maadui wa yanga kwasasa mbali na MAGOMA ni.. Gumbo, Rupia na Shija bila kumsahau Kamgisha. Mambo ya msemaji wetu Bumbuli kukanusha ni uongo. Na baada ya kikao cha kamati bwana Rupia aliongea na muandishi aitwae NAHEKA .. na huyu muandishi ndie alieawafungua wengi macho.

Huu ni ukweli wa asilimia mia moja. Ghalibu kaandika barua na imepokelewa yanga.tarehe 24 mchana. Bodi.ya GSM imemshauri Ghalib kushugulika na jezi tu basi.

Bwana gumbo, shija, rupia na kamgisha hatutachanga tena na tutakufa na nyie
Huyo ghalibu ni nani? Aliyewaandikia barua GSM Ana wadhifa gani ndani ya yanga? Ninavyoona kiongozi wengi ndani ya yanga hawajui menejimenti na masuala ya utawala,,,kuhoji ndani ya kikao siyo tatizo..tatizo ni kutoa nje mambo ya ndani ya klabu au kikao...hao akina rupia itabidi wakae pembeni kwa kujiuzulu....vinginevyo watahesabika Kama maadui wa yanga Jambo ambalo ni baya Sana kwao kiusalama wao wenyewe na hata familia zao...huyo magoma ka.a ndiye ninayefahamu ni mtu wa migogoro tangu miaka ya 80.
 
Huyo ghalibu ni nani? Aliyewaandikia barua GSM Ana wadhifa gani ndani ya yanga? Ninavyoona kiongozi wengi ndani ya yanga hawajui menejimenti na masuala ya utawala,,,kuhoji ndani ya kikao siyo tatizo..tatizo ni kutoa nje mambo ya ndani ya klabu au kikao...hao akina rupia itabidi wakae pembeni kwa kujiuzulu....vinginevyo watahesabika Kama maadui wa yanga Jambo ambalo ni baya Sana kwao kiusalama wao wenyewe na hata familia zao...huyo magoma ka.a ndiye ninayefahamu ni mtu wa migogoro tangu miaka ya 80.
Huyooo n JINI mkuu achaa kabisa
 
Simba inaongoza ligi kwa point nyingi sana bado tu ww huoni kama hayo ni mafanikio msimu wa tatu huu simba anachkua ubingwa bado sio mafanikio?
Kuhusu upigaji hiyo ni hulka yetu sisi watanzania ipo kwa kila timu mpaka maofisini serikalini.point kuu ni timu inajiendeshaje?.mfumo wa kuendesha timu kiswahili umekwisha.msipobadilika mtapata taabu sana

Sent using Jamii Forums mobile app
kwa hiyo yanga mafanikio yenu ni kuifunga simba tu?
Yani mkiifunga simba baasi mna relax
Simba inaongoza ligi kwa kuwa inatumia fedha nyingi kuhonga marefa na wachezaji wa timu pinzani...
 
Weka ushahidi mkuu.acha dhana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna Cha dhana hapa ...wanaofanya hawawezi kutaka ushahidi...wataomba yamalizwe kwa wao kupiga magoti...imeshawahi kutokea hi pale baadhi ya viongozi wa mikia walipowaendea wachezaji wawili waandamizi wa Yanga...kumbe Yanga waliweka na wakanaswa..wakaomba yaishe...
 
Hakuna Cha dhana hapa ...wanaofanya hawawezi kutaka ushahidi...wataomba yamalizwe kwa wao kupiga magoti...imeshawahi kutokea hi pale baadhi ya viongozi wa mikia walipowaendea wachezaji wawili waandamizi wa Yanga...kumbe Yanga waliweka na wakanaswa..wakaomba yaishe...
kwa hiyo wachezaji wa yanga kumbe ndo wanahujumu timu yenu.walichukuliwa hatua gani na ni akina nani ?,weka basi ushahidi hata kiduchu mtani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
GSM ANAACHANA NA YANGA KWASABABU YA WAJUMBE HAWA.

Wajumbe watatu wa Kamati ya Utendaji

1. Rodgers Gumbo
2. Richard Shija
3. Salum Rupia

Walikuja na ajenda kwenye kikao cha Kamati ya utendaji kuwa Kampuni ya GSM inafanya usajiri bila kuitaarifu Kamati ya Utendaji. Wajumbe wengi ne walibisha sana juu ya jambo hili na kusema kuwa GSM kafanya hili kwa kuitetea Yanga je kosa lipo wapi. Kamapuni ya GSM iliandikiwa barua isijihusishe na usajiri.

GSM imeandika barua tarehe 24.03.2020 kwenda Yanga na haitajihusisha tena na Mambo ambayo ni nje ya mkataba wa Jezi. Imeachana na mshahara wa Kocha na benchi lote la ufundi.

Huu ndio ukweli.. Maadui wa yanga kwasasa mbali na MAGOMA ni.. Gumbo, Rupia na Shija bila kumsahau Kamgisha. Mambo ya msemaji wetu Bumbuli kukanusha ni uongo. Na baada ya kikao cha kamati bwana Rupia aliongea na muandishi aitwae NAHEKA .. na huyu muandishi ndie alieawafungua wengi macho.

Huu ni ukweli wa asilimia mia moja. Ghalibu kaandika barua na imepokelewa yanga.tarehe 24 mchana. Bodi.ya GSM imemshauri Ghalib kushugulika na jezi tu basi.

Bwana gumbo, shija, rupia na kamgisha hatutachanga tena na tutakufa na nyie
Huyu Magoma kosa lake nini? Yeye si ndiye aliyeujulisha uma Wa wana Yanga kile kibaya kifanywacho na uongozi? Na hayo hayo alosema ndiyo mwelekeo Wa Yale Walosema GSM kwenye barua yao?
 
Ushahidi mmojawapo kwamba huwa mnanunua mechi ni ule Wa Kabwili ambapo kama ingekiwa ni uongo naamini mngemshitaki
Kambwili alijitoa tu kafara ili aonekane mzalendo ndani ya klabu ili awe na uhakika wa kupata namba yanga.ndo maana aliambiwa ataje namba za simu alizopigiwa akasema zimefutika zenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kambwili alijitoa tu kafara ili aonekane mzalendo ndani ya klabu ili awe na uhakika wa kupata namba yanga.ndo maana aliambiwa ataje namba za simu alizopigiwa akasema zimefutika zenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
Simba kama brand iliyochafuliwa vibaya na bw kabwili walichukua hatua gani, au ni hiyo tu ya kuulizia hizo namba? Ni wazi walipima kina cha maji wakagundua wanazama mazima ikabidi warudi nyuma
 
Simba kama brand iliyochafuliwa vibaya na bw kabwili walichukua hatua gani, au ni hiyo tu ya kuulizia hizo namba? Ni wazi walipima kina cha maji wakagundua wanazama mazima ikabidi warudi nyuma
Soma kadi za OOO
SHINDANA MPAKA KUFA
 
Simba kama brand iliyochafuliwa vibaya na bw kabwili walichukua hatua gani, au ni hiyo tu ya kuulizia hizo namba? Ni wazi walipima kina cha maji wakagundua wanazama mazima ikabidi warudi nyuma
Maneno matupu ya kambwili bila ushahidi hayakuleta maana ndo maana alimbiwa athibitishe akashindwa.
Body ya simba iliamua kujikita kwenye mambo ya msingi na kuacha kushupalia mambo ambayo hayana tija kwenye timu ndo maana hapakuwa na mpango wa kwenda mahakamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwa hiyo wachezaji wa yanga kumbe ndo wanahujumu timu yenu.walichukuliwa hatua gani na ni akina nani ?,weka basi ushahidi hata kiduchu mtani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Sina haja ya kuweka ushahidi hapa...lakini kwa siku za hivi karibuni inaelekea mambo yalikuwa yanaendelea...ulimsikia dogo Kabwili aliyosema wiki kadhaa zilizopita? Unadhani alikuwa anatania???
 
Sina haja ya kuweka ushahidi hapa...lakini kwa siku za hivi karibuni inaelekea mambo yalikuwa yanaendelea...ulimsikia dogo Kabwili aliyosema wiki kadhaa zilizopita? Unadhani alikuwa anatania???
Sawa mtani ila ubingwa wa malalamiko mtachkua sana ila ubingwa wa ligi kuu ndo mtauskia tu CNN na BBC

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maneno matupu ya kambwili bila ushahidi hayakuleta maana ndo maana alimbiwa athibitishe akashindwa.
Body ya simba iliamua kujikita kwenye mambo ya msingi na kuacha kushupalia mambo ambayo hayana tija kwenye timu ndo maana hapakuwa na mpango wa kwenda mahakamani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ha ha ha ha porojo na uoga tu
 
Sina haja ya kuweka ushahidi hapa...lakini kwa siku za hivi karibuni inaelekea mambo yalikuwa yanaendelea...ulimsikia dogo Kabwili aliyosema wiki kadhaa zilizopita? Unadhani alikuwa anatania???
mmepata kombe la ulalamishi halafu mkiambiwa washabiki wa yanga wanaongoza kwa kutokuwa na furaha mnabisha kazi kuzusha majungu
 
Back
Top Bottom