GSM ‘wachomoa betri’ Yanga

GSM ‘wachomoa betri’ Yanga

Barua ya GSM kwenda Yanga
IMG-20200325-WA0019.jpeg
IMG-20200325-WA0018.jpeg
 
Kiongozi yeyote wa Yanga anayeikwamisha club ajiuzuru haraka sana.

Nkwabi alikuwa anamkwamisha Mo na aliachia ngazi mambo yanaenda.

Club lazima iende kwenye mfumo mpya. Awe Msolla au Mwakakebela, please ondoka mapema kabla upepo wa kisurisuri haujakufikia.
 
Kiongozi yeyote wa Yanga anayeikwamisha club ajiuzuru haraka sana.

Nkwabi alikuwa anamkwamisha Mo na aliachia ngazi mambo yanaenda.

Club lazima iende kwenye mfumo mpya. Awe Msolla au Mwakakebela, please ondoka mapema kabla upepo wa kisurisuri haujakufikia.
na hii ndiyo solution yan

Sent using Jamii Forums mobile app
 
GSM wanafanya usajili na kila kitu ,viongozi wa Yanga wao wanataka wapewe hiyo hela hayo mambo wafanye wenyewe ili wapige mshiko ,kitu cha thamani kilichobaki yanga ni ile basi la sportpesa . Mda si mrefu watajiita tena timu ya wananchi na kutembeza bakuli
hili lilikuwa swala la muda tu....asilimia kubwa ya viongozi pale yanga ni wanasiasa...na nia yao kubwa ni kupata umaarufu kwa kuitumia yanga ili iwasaidie kisiasa na si vingine....GSM kuisaidia yanga kunazima ndoto zao..

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kiongozi yeyote wa Yanga anayeikwamisha club ajiuzuru haraka sana.

Nkwabi alikuwa anamkwamisha Mo na aliachia ngazi mambo yanaenda.

Club lazima iende kwenye mfumo mpya. Awe Msolla au Mwakakebela, please ondoka mapema kabla upepo wa kisurisuri haujakufikia.
Tatizo la Yanga ni kuwa karibu viongozi wote wa Yanga ni wageni ndani ya Yanga na katika masuala ya uongozi wa klsbu za soka nchini
 
Kule utoporoni hali imechafuka,baada ya GSM kuiandikia Yanga barua rasmi kuwa wanasitisha kuisaidia timu kwa mambo ambayo yapo nje ya makataba,kwa kile walichokieleza kuwa baadhi ya viongozi wa Yanga wanalalamika kuwa wanaingiliwa na GSM katika utendaji.

Baadhi ya mambo ambayo GSM wamekua wakiyafanya zaidi na nje ya mkataba ni pamoja na kusajili wachezaji(Niyonzima,Morison, lamin Moro,na Nchimbi).Pia kulipa mishahara,kulipa gharama za kambi,kulipa nauli za ndege pamoja na kutoa bonasi kwa kila mechi ambazo timu ilishinda ikiwemo ile Mil.200 waliyoahidiwa dhidi ya Simba.

Wakati huo huo kuna taarifa za chini chini kuwa Papii Shishimbi amesaini mkataba wa awali na Simba na ni swala mda tu atatambulishwa rasimi pale Msimbazi.
Inaelekea uongozi Yanga chini ya Msolwa na Mwakalebela unashida kubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni Msola na siyo Msolwa
 
Wamesema wanamsajili was umri mdogo. Pia wanamtaka "yosso" Kelvin Yondani.

Combination ya Pappy na Mkude sioni ikifanikiwa. Similar type of players.
Nyie endeleeni kutibuana GSM na Viongozi wenu huko huko, na vyombo vyenu vya habari, hakuna kiongozi alisema hayo mnayosema.

Simba Nex Level habari zake hazivuji kamwe..!
 
Utopolo fc kazi kweli kweli, pitisheni bakuri tuwachangie msije shuka daraja
 
Hapana tena anaingia kikosi cha kwanza ...huwa naona anamzidi mkude kwa altenative B ya ushambuliaji
Nimesikia tetesi za chama, mkude, mzamiru na mlipili kwenda upande wa pili hivi Kuna ukweli hapo?
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Umeandika kwa mhemko ni ngumu kudhibitisha habari yako
Kule utoporoni hali imechafuka,baada ya GSM kuiandikia Yanga barua rasmi kuwa wanasitisha kuisaidia timu kwa mambo ambayo yapo nje ya makataba,kwa kile walichokieleza kuwa baadhi ya viongozi wa Yanga wanalalamika kuwa wanaingiliwa na GSM katika utendaji.

Baadhi ya mambo ambayo GSM wamekua wakiyafanya zaidi na nje ya mkataba ni pamoja na kusajili wachezaji(Niyonzima,Morison, lamin Moro,na Nchimbi).Pia kulipa mishahara,kulipa gharama za kambi,kulipa nauli za ndege pamoja na kutoa bonasi kwa kila mechi ambazo timu ilishinda ikiwemo ile Mil.200 waliyoahidiwa dhidi ya Simba.

Wakati huo huo kuna taarifa za chini chini kuwa Papii Shishimbi amesaini mkataba wa awali na Simba na ni swala mda tu atatambulishwa rasimi pale Msimbazi.
Inaelekea uongozi Yanga chini ya Msolwa na Mwakalebela unashida kubwa sana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom