GSM wakisema Yanga kuna hasara, kimya. Akisema Mo Dewji wanashuka naye jumlajumla. Mafanikio ya Simba ni kitanzi cha Mo Dewji

GSM wakisema Yanga kuna hasara, kimya. Akisema Mo Dewji wanashuka naye jumlajumla. Mafanikio ya Simba ni kitanzi cha Mo Dewji

njaakalihatari

JF-Expert Member
Joined
Feb 12, 2019
Posts
4,081
Reaction score
8,671
Mo kusema Simba inajiendesha kwa hasara makanjanja ya media na wapuuzi wako naye bize kwelikweli, ila injinia wenu aliposema hivyo last year mkakausha kimya.

Mo Dewji hii dhambi aliyoifanya kuipa mafanikio Simba kwa miaka minne na kuweza kuingiza teams 4 kwenye michezo ya Afrika kuna watu hawataka wamsamehe kamwe.

Akisimama mshale akikaa mshale, akikaa kimya watasema akizungumza watasema, dah MO usirudie tena kuipa Simba mafanikio wenzako hawapendi hivyo.

Majitu mengine unasikia jezi imejaa matangazo ya Mo kama jezi za Sudan makorokoro halafu kesho anakuja na milioni 3 anakubembeleza uweke logo ya kampuni yake ya utapeli kwenye bega la kushoto uongeze korokoro jingine.
 
Kuna hasara kubwa sana huko utopoloni, Engineer analalamika ikabidi waje na plan ya kutaka Simba waongeze korokoro lao kwenye bega la kushoto ili wapate mileage na ku-boost business yao ya kuuza magodoro yenye kiwango cha chini yasiyokubalika kitaa.

 
Hata hiyo server unaijua kweli?
Ulisikia wapi Punguani wa Akili akafahamu Kitu kama hicho.

Kama ameshidwa kujua ligi nyingi hata Ulaya zinaendeshwa kwa hasara, atajua kuhusu Server..! huyo kazi yake ni kuharisha kama bata..!
 
Hiki ndo nilikisema jana kule kwenye nyuzi zinazojadili kauli ya Mo.

Jaman Simba na Yanga haziwezi hata kulipa mishahara tu ya wachezaji bila kumtegemea Mo na GSM.

Hawa wawekezaji tukae nao vizuri, tuacha kuwakatisha tamaa ilihali wanazisaidia timu zetu.
 
Kwani ni siri, kuendesha Yanga kipindi hiki ni hasara ndio maana wamebuni mfumo ambao ukikamilika baadae Yanga ijiendeshe yenyewe.
 
Si mmesema Simba ina mvuto wa biashara. Hasara inatoka wapi tena
Mo kusema Simba inajiendesha kwa hasara makanjanja ya media na wapuuzi wako naye bize kwelikweli, ila injinia wenu aliposema hivyo last year mkakausha kimya.

Mo Dewji hii dhambi aliyoifanya kuipa mafanikio Simba kwa miaka minne na kuweza kuingiza teams 4 kwenye michezo ya Afrika kuna watu hawataka wamsamehe kamwe.

Akisimama mshale akikaa mshale, akikaa kimya watasema akizungumza watasema, dah MO usirudie tena kuipa Simba mafanikio wenzako hawapendi hivyo.

Majitu mengine unasikia jezi imejaa matangazo ya Mo kama jezi za Sudan makorokoro halafu kesho anakuja na milioni 3 anakubembeleza uweke logo ya kampuni yake ya utapeli kwenye bega la kushoto uongeze korokoro jingine.
 
Hasara ndio njia pekee ya kufika kwenye faida

Kuitenganisha hasara na faida katika biashara ni ndoto ya mchana

Kwenye hasara kuna Siri ya faida
 
Tatizo ni wivu , chuki na roho mbaya zisizo na Maana kwa matajiri utafikiri baba zao walikatazwa kutafuta mali .
 
Mo kusema Simba inajiendesha kwa hasara makanjanja ya media na wapuuzi wako naye bize kwelikweli, ila injinia wenu aliposema hivyo last year mkakausha kimya.

Mo Dewji hii dhambi aliyoifanya kuipa mafanikio Simba kwa miaka minne na kuweza kuingiza teams 4 kwenye michezo ya Afrika kuna watu hawataka wamsamehe kamwe.

Akisimama mshale akikaa mshale, akikaa kimya watasema akizungumza watasema, dah MO usirudie tena kuipa Simba mafanikio wenzako hawapendi hivyo.

Majitu mengine unasikia jezi imejaa matangazo ya Mo kama jezi za Sudan makorokoro halafu kesho anakuja na milioni 3 anakubembeleza uweke logo ya kampuni yake ya utapeli kwenye bega la kushoto uongeze korokoro jingine.
Wewe una Akili Sana....! Unastahili Kupewa udokta Wa Heshima, Sio Wapewe Kina Musukuma tu Peke Yao..!!
 
Ni mpuuzi tu ambaye anaweza kuamini kauli ya Mo na GSM kuwa wanaviendesha hivi vilabu kwa hasara!!, There are is no Free lunch in the world of capitalist. Hakuna jambo wanalofanya yanga au Simba kw mapenzi yao bali nikuziwezesha biashara zao.
 
Kuna hasara kubwa sana huko utopoloni, Engineer analalamika ikabidi waje na plan ya kutaka Simba waongeze korokoro lao kwenye bega la kushoto ili wapate mileage na ku-boost business yao ya kuuza magodoro yenye kiwango cha chini yasiyokubalika kitaa.

Umeongea vizuri lakini upumbavu waki ninpale unaposema magodoro ta gsm yana kiwango cha chini wakati huna ushahidi na hapa ndipo unathibitisha ukolo wako

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom