Hivi Simba wana uwanja! Nilidhani ni wa mo...GSM ni akili kubwa wanajua kabisa kua haiwezekani. Halafu Yanga wanachekelea badala ya kuwaomba hiyo pesa waanze kuwekeza kwenye ujenzi wa uwanja kule kigamboni wao wanakenua tu kwa ahadi za ajabu ajabu.
Sent using Jamii Forums mobile app